Dalali mbeya jiji
Member
- Mar 18, 2025
- 60
- 29
Kwq scale ya uuzaji wako, unahis ni sahihi kutumia marketing strategy ya aina hii?Samaki aina ya Mvasa wanauzwa Mbeya mjini. Bei inategemeana na ukubwa wa samaki, kuanzia 15,000/= hadi 45,000/= wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
Bei si zangu ni za wauzaji.Elfu 15 hadi 45; wanatibu maradhi gani?
Kalaga. Nenda kwenye point. Nini shda. Its not the issue of just challenging plz.Nipe page yako ili nijifunze kupitia ww.Kwq scale ya uuzaji wako, unahis ni sahihi kutumia marketing strategy ya aina hii?
Thank uNice
Utapeli unao ww. Lete hao ulionao tuwaone. Unakurupuka sioAcha utapeli wewe, hakuna samaki hapo. Yaani samaki anakaa sehemu moja na kenge, chura, mamba. samaki ni wa baharini tu
Kazi inaendelea!!Utapeli unao ww. Lete hao ulionao tuwaone. Unakurupuka sio
Amina!!