Kuelekea 2025 Salim ASAS: Uongozi CCM umekuwa kama Mnada. Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
91,488
159,121
Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua

ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini

ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi

Credit: Kitenge Tv
 
Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua

ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini

ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi

Credit: Kitenge Tv
Kasema ukweli, na watafanya higyo uchaguzi mkuu
 
Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua

ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini

ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi

Credit: Kitenge Tv
Hao ndio wala kwa urefu wa kamba a.k.a marope.
 
Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua

ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini

ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi

Credit: Kitenge Tv
Yeye mwenyewe amenunua uongozi na anafanya biashara haramu
 
Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua

ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini

ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi

Credit: Kitenge Tv
Hilo ni kawaida sana kwa MaCCM mkuu. Sio jambo la kushangaza kwa MaCCM kununuana kama bidhaa.
 
Back
Top Bottom