Safarini kwenda Songea. nitajieni hotel/guest/lodge nzuri ndugu zangu

HAZOLE

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,551
714
habari,
Ninaenda Songea kikazi na ni mara yangu ya kwanza. sijajua ntapataje hotel nzuri na nitafika jioni sana.

fungukeni nisije nikaenda hotel za ajabu ajabu
 
kafikie SHINYANGA ANNEX LOGDE,ipo karibu na kituo kikuu cha polisi,bodaboda ni tsh 1000 tu.
 
habari,
Ninaenda Songea kikazi na ni mara yangu ya kwanza. sijajua ntapataje hotel nzuri na nitafika jioni sana.

fungukeni nisije nikaenda hotel za ajabu ajabu

Inategemea Budget yako ilivyo, kuna KIHOTEL kinaitwa HERITAGE COTTAGE maeneo ya Msamala njiani kabisa kabla haujafika mjini, ukimwambia conda akushushe HERITAGE COTTAGE atakushusha palepale kwenye Gate la Hotel kuna Kituo. Pia inategemea kazi zako kesho utafanyia mitaa gani, binafsi nakushauri ufikie UGABE HOTEL, ni palepale Bus Stand upande wa Mashariki ukiangalia utaiona ni jengo la Ghorofa kama tatu, ni karibu sana hauhitaji kupanda Taxi wala Bodaboda, ni palepale stendi na Ni Pazuri na PASAFI SANA! Bei nadhani ni 25 kwa 30K kama sikosei. Ungeweka na namba ya simu tungekusaidia na kufanya Booking Mkuu tukakutafutia na Mtu wa kupasha joto kitanda maana sku hizi Songea kijibaridi ndiyo kimeanza (..joking!:)).
Karibu Songea
 
habari,
Ninaenda Songea kikazi na ni mara yangu ya kwanza. sijajua ntapataje hotel nzuri na nitafika jioni sana.

fungukeni nisije nikaenda hotel za ajabu ajabu

Inategemea Budget yako ilivyo, kuna KIHOTEL kinaitwa HERITAGE COTTAGE maeneo ya Msamala njiani kabisa kabla haujafika mjini, ukimwambia conda akushushe HERITAGE COTTAGE atakushusha palepale kwenye Gate la Hotel kuna Kituo, bei ni kuanzia 60K. Pia inategemea kazi zako kesho utafanyia mitaa gani, binafsi nakushauri ufikie UGABE HOTEL, ni palepale Bus Stand upande wa Mashariki ukiangalia utaiona ni jengo la Ghorofa kama tatu, ni karibu sana hauhitaji kupanda Taxi wala Bodaboda, ni palepale stendi na Ni Pazuri na PASAFI SANA! Bei nadhani ni 25 kwa 30K kama sikosei. Ungeweka na namba ya simu tungekusaidia na kufanya Booking Mkuu tukakutafutia na Mtu wa kupasha joto kitanda maana sku hizi Songea kijibaridi ndiyo kimeanza (..joking!:)).
Karibu Songea
 
Inategemea Budget yako ilivyo, kuna KIHOTEL kinaitwa HERITAGE COTTAGE maeneo ya Msamala njiani kabisa kabla haujafika mjini, ukimwambia conda akushushe HERITAGE COTTAGE atakushusha palepale kwenye Gate la Hotel kuna Kituo. Pia inategemea kazi zako kesho utafanyia mitaa gani, binafsi nakushauri ufikie UGABE HOTEL, ni palepale Bus Stand upande wa Mashariki ukiangalia utaiona ni jengo la Ghorofa kama tatu, ni karibu sana hauhitaji kupanda Taxi wala Bodaboda, ni palepale stendi na Ni Pazuri na PASAFI SANA! Bei nadhani ni 25 kwa 30K kama sikosei. Ungeweka na namba ya simu tungekusaidia na kufanya Booking Mkuu tukakutafutia na Mtu wa kupasha joto kitanda maana sku hizi Songea kijibaridi ndiyo kimeanza (..joking!:)).
Karibu Songea
Unataka mwenzio aache kazi? ha haaaaa
 
Unataka mwenzio aache kazi? ha haaaaa

Lol, HAZOLE hawezi kuacha kazi bana, ujue hiyo huduma nimuhimu sana hasa kipindi hiki cha baridi!...na watoto wa kingoni wanavyojua "kunoga"!! hiyo ndiyo itampa ari na kasi mpya ya kufanya kazi kwa bidii, si unajua kazi na dawa @FP!
 
Last edited by a moderator:
habari,
Ninaenda Songea kikazi na ni mara yangu ya kwanza. sijajua ntapataje hotel nzuri na nitafika jioni sana.

fungukeni nisije nikaenda hotel za ajabu ajabu
We nenda MKOMI ukajuwe na biashara ya madini inaendaje huko
 
niliwahi kulala kwa wiki mbili pale ziwani annex lodge iko poa sana karibu na hospitali ya mkoa.parking nzuri na salama maji moto breakfast kitanda safi kwa 20elf tu ilikuwa mwaka juzi ssijui kwa sasa bei zake.
 
Lol, HAZOLE hawezi kuacha kazi bana, ujue hiyo huduma nimuhimu sana hasa kipindi hiki cha baridi!...na watoto wa kingoni wanavyojua "kunoga"!! hiyo ndiyo itampa ari na kasi mpya ya kufanya kazi kwa bidii, si unajua kazi na dawa @FP!
ndo maana nakuuliza unataka mwenzio aache kazi? au aombe kuhamishiwa kituo cha Songea?
 
ndo maana nakuuliza unataka mwenzio aache kazi? au aombe kuhamishiwa kituo cha Songea?

Hahahahaa, hapo umenena haswa, ataomba uhamisho fasta. Btw, naona yuko kimya sijui hata alilala wapi isjekuwa alilala vichochoroni, au ndiyo alilala kwa yule aunt mfupi mnene aliyekaa naye seat moja kwenye basi!!..llol!
 
hahahaha....tena hapo ni affordable kabisa,
kama ni baridi nitavaa sweta mkuu.

Inategemea Budget yako ilivyo, kuna KIHOTEL kinaitwa HERITAGE COTTAGE maeneo ya Msamala njiani kabisa kabla haujafika mjini, ukimwambia conda akushushe HERITAGE COTTAGE atakushusha palepale kwenye Gate la Hotel kuna Kituo. Pia inategemea kazi zako kesho utafanyia mitaa gani, binafsi nakushauri ufikie UGABE HOTEL, ni palepale Bus Stand upande wa Mashariki ukiangalia utaiona ni jengo la Ghorofa kama tatu, ni karibu sana hauhitaji kupanda Taxi wala Bodaboda, ni palepale stendi na Ni Pazuri na PASAFI SANA! Bei nadhani ni 25 kwa 30K kama sikosei. Ungeweka na namba ya simu tungekusaidia na kufanya Booking Mkuu tukakutafutia na Mtu wa kupasha joto kitanda maana sku hizi Songea kijibaridi ndiyo kimeanza (..joking!:)).
Karibu Songea
 
Hahahahaa, hapo umenena haswa, ataomba uhamisho fasta. Btw, naona yuko kimya sijui hata alilala wapi isjekuwa alilala vichochoroni, au ndiyo alilala kwa yule aunt mfupi mnene aliyekaa naye seat moja kwenye basi!!..llol!

hahaha....ebwana tulishuka njiani njombe fulani. leo natimba....nshapata jibi. mwendo wa annex au mkomi.
 
Back
Top Bottom