Kupitia taharifa ya habari ya saa 2 ITV makamanda wa CDM wametaja sababu mbili za kuizika CCM kuwa ni 1.Kuitupa rasmu ya Warioba na 2.Pesa ya escow.Sasa na mie naomba niongeza zangu mbili ili zifike 4. ya 3.Kushindwa kutimia kwa ahadi ya meli mpya na 4.Hasara ya 18bn iliyosababishwa na Mbunge na Meya mpaka pesa hiyo kurudishwa world bank,hii ni hasara kimaendeleo kwa uchumi wa manispaa na mkoa kwa ujumla.Tuikatae CCM.
Naomba mnijuze matokeo yote ya bukoba mjini.
Ni nyumbani hapo tujuzane jamni ,nione namna nguvu ya umma ilivyo fanya kazi.
hizo sio sababu kuu! by nature wahaya ni wabishi!
Hongera na kumfungulia kamanda Rwakatale kesi fake ya Ugaidi...
Hivi utendaji mbovu wa Raisi Kikwete mnauweka wapi.Hivi tunadhani wananchi hawajui.This is the worst President I have never seen.Raisi asiyeweza kuwajibisha kabisa.Sijawahi kuona.Raisi wangu na Head Prefect wangu Tanga School vipi,jini gani limekuvaa?
Massawe yupi?
hizo sio sababu kuu! by nature wahaya ni wabishi!
Hongereni sana wana kagera, huo ni ushujaa