Sababu za kuikataa CCM Kagera hizi hapa

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,968
7,523
Kupitia taharifa ya habari ya saa 2 ITV makamanda wa CHADEMA wametaja sababu mbili za kuizika CCM kuwa ni

1. Kuitupa rasimu ya Warioba

2. Pesa ya ESCROW

Sasa na mie naomba niongeza zangu mbili ili zifike 4.

3. Kushindwa kutimia kwa ahadi ya meli mpya

4. Hasara ya 18bn iliyosababishwa na Mbunge na Meya mpaka pesa hiyo kurudishwa world bank,hii ni hasara kimaendeleo kwa uchumi wa manispaa na mkoa kwa ujumla.

Tuikatae CCM.
 
Hivi utendaji mbovu wa Raisi Kikwete mnauweka wapi.Hivi tunadhani wananchi hawajui.This is the worst President I have never seen.Raisi asiyeweza kuwajibisha kabisa.Sijawahi kuona.Raisi wangu na Head Prefect wangu Tanga School vipi,jini gani limekuvaa?
 
Naomba mnijuze matokeo yote ya bukoba mjini.
Ni nyumbani hapo tujuzane jamni ,nione namna nguvu ya umma ilivyo fanya kazi.
 
Naomba mnijuze matokeo yote ya bukoba mjini.
Ni nyumbani hapo tujuzane jamni ,nione namna nguvu ya umma ilivyo fanya kazi.

Hapa kuna uzi tayari unaonesha matokeo yote ya manispaa ila kwa haraka kata ya kashai nzima mambo yote kwa CDM
 
hizo sio sababu kuu! by nature wahaya ni wabishi!

Ni wabishi au ni watu wanaojitambua kwa hiyo wanajua na kujiamini wanachokisimamia??!! tofautisha Ubishi na weledi wa mambo?!
 
Hongera na kumfungulia kamanda Rwakatale kesi fake ya Ugaidi...

Huko sahihi sana mkuu,tunachojaribu kukionesha hapa ni kwamba wapiga kura watambue ni matatizo gani ambayo kamwe hayawezi kuachwa kusema ambayo yanatokana na uwepo wa ccm madarakani ..unajua sababu ni nyingi sana lakini hata hili la TBC kwa mfano kuendeshwa kwa maagizo ya ccm huku pesa inayotumika pale ni kodi zetu na mishahara wanayopewa ni pesa zetu pia hatuwezi kukubali,wanatuhumiza hawa,hebu jiulize ni kwanini watu hawakuoneshwa zoezi zima la uchaguzi huu badala yake wanatuwekea taharabu na harusi?
 

Mkuu KWAMHUZI, mimi binafsi ninaomba unijuze kidogo huyu jamaa kwa nini mlimchagua kuwa prefect wenu? Labda ninaweza kupata kiini cha kuwa under performance ya namna hii! Haiwezekani akawa amebadirika kiasi hiki! Nitashukuru kunieleza kwa kifupi ilivyokuwa wakati mkiwa TANGA!
 
Massawe yupi?

Ndugu, anazungumziwa Kanali Mstaafu Massawe, yule Mkuu wa zshule wa zamani wa Jitegemee, DC wa Kinondoni na hatimaye RC wa Kagera........Amendolewa Kagera. Wamempeleka John Getrude Mongella.....aliyekuwa DC wa Arusha....
 
Sababu moja niliyoielezea juzi kati ya zile 4 ya Meli mpya leo imekuwa wazi kama utakuwa umeangalia Tbc habari jioni,Meli hii chakavu ya Mv.Victoria imekwama bandari ya mjini Bkb toka jana imezuiwa kutoka mpaka maafisa toka Mwanza waje wairuhusu kwa maandishi rasmi na kuwa tayari kuwajibika endapo huko mbeleni ikitokea la kutokea,watu wamepakia bidhaa zao za biashara za kuharibika kama ndizi wako wanalia na leo wameandamana mpaka kwa DC,hari ni mbaya haifai na hii meli ni mahuti sahivi na ikumbukwe mkoa wa Kagera unategemewa sana wakazi wote wa kanda ya ziwa mpaka bara kwa kusupply ndizi Bukoba lakini serikali haijali hari mpaka watu wafe.Tembelea HARAKATINEWS.BLOG muone vizuri
 
Hongereni sana wana kagera, huo ni ushujaa

wtu wanaokula ndizi na samaki wa maji baridi ubongo kidogo akili nyingi. we tafuta migomba ilipo uone ccm inavopata shida.CCM WANAIWEZEA BAHARI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…