ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 65,819
- 75,142
Rwanda imeandika Barua kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikipinga upelekwaji wa Jeshi la SADC la kulinda amani kutoka Nchi za Afrika Kusini,Tanzania na Malawi kuwafurusha M23.
Kwenye Barua yake Rwanda inasema Jeshi Hilo sio neutral Bali ni Vikosi vya kwenda akusaidoa DRC na Burundi kufanikisha malengo Yao ya Kuivamia Rwanda na pia Kuwafuta Wakonhomani wenye Asili ya Kituwi.
Ikumbukwe wiki za karibuni M23 imeongeza harakati zake za Vita Kwa kutumia silaha Kali.
Swali
Nani alimpa Kagame kazi ya kuwalinda Watutsi wa DRC? Je hao ni Raia wa Rwanda au wa DRC?
Pili nini Lengo la Kagame kuwasaidia Watutsi wa DRC?
My Take
Bila kubadili Utawala pale Kigali hakuna amani itapatika huko Eastern DRC.👇👇
View: https://twitter.com/NewTimesRwanda/status/1758477584118026499?t=IXDjigoBEs8ynkhK3utFIw&s=19
Kwenye Barua yake Rwanda inasema Jeshi Hilo sio neutral Bali ni Vikosi vya kwenda akusaidoa DRC na Burundi kufanikisha malengo Yao ya Kuivamia Rwanda na pia Kuwafuta Wakonhomani wenye Asili ya Kituwi.
Ikumbukwe wiki za karibuni M23 imeongeza harakati zake za Vita Kwa kutumia silaha Kali.
Swali
Nani alimpa Kagame kazi ya kuwalinda Watutsi wa DRC? Je hao ni Raia wa Rwanda au wa DRC?
Pili nini Lengo la Kagame kuwasaidia Watutsi wa DRC?
My Take
Bila kubadili Utawala pale Kigali hakuna amani itapatika huko Eastern DRC.👇👇
View: https://twitter.com/NewTimesRwanda/status/1758477584118026499?t=IXDjigoBEs8ynkhK3utFIw&s=19