Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,187
Rais Ruto: Ndege yangu ya kwenda Marekani iligharimu chini ya Ksh.10 milioni. Hakuna njia ninaweza kutumia Ksh.200 milioni. Mimi ni msimamizi mwaminifu. Mimi si mwendawazimu. Lazima niwe kiongozi wa mfano na mjadala huo lazima ukome.
====
Pia soma:
Safari ya Rais Ruto nchini Marekani yadaiwa kugharimu Tsh. Bilioni 3.94. Amekodi Ndege kutoka Dubai
Wakenya: Ruto awe anaishi nje ya nchi kuliko kusafiri kila siku
====
Pia soma:
Safari ya Rais Ruto nchini Marekani yadaiwa kugharimu Tsh. Bilioni 3.94. Amekodi Ndege kutoka Dubai
Wakenya: Ruto awe anaishi nje ya nchi kuliko kusafiri kila siku