Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 11,348
- 20,129
Katika hali inayoelekea kuwachanganya wamarekani Urusi imetuma manowari zake zaidi ya 8 katika pwani ya marekani nchini Cuba sababu ikitajwq ni maandalizi ya mazoezi ya pamoja.
Hii ni mara ya kwanza kwa urusi kupeleka meli za kivita kwa kiwango hiki katika nchi ya Cuba. Wakati huo huo rais Putin anasema Urusi itaanza kutoa silaha za maangamizi kwa nchi zote ambazo ni maadui wa marekani hasa nchi za America ya kusini, North Africa , Iran na Far east.
Kwa mtazamo wa kiuchambuzi haya maandalizi ya Vita ya dunia ambayo kama marekani atalazimisha itokee basi safari hii tutashuhudia mabomu yakidondoka katika ardhi ya marekani.
Hii ni mara ya kwanza kwa urusi kupeleka meli za kivita kwa kiwango hiki katika nchi ya Cuba. Wakati huo huo rais Putin anasema Urusi itaanza kutoa silaha za maangamizi kwa nchi zote ambazo ni maadui wa marekani hasa nchi za America ya kusini, North Africa , Iran na Far east.
Kwa mtazamo wa kiuchambuzi haya maandalizi ya Vita ya dunia ambayo kama marekani atalazimisha itokee basi safari hii tutashuhudia mabomu yakidondoka katika ardhi ya marekani.