A
Anonymous
Guest
Kumekuwa na vitendo vya kudai rushwa kunakofanywa na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya ili waweze kupitisha vikundi vya vijana kupata mkopo wa 10% Inayotolewa na halmashauri.
Hili jambo lipo katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya hapa mji mdogo wa Mbalizi.
Maafisa maendeleo katika kata kama Nsalala wanadai rushwa ili waweze kupitisha vikundi vya vijana katika mchakato mzima wa kupata hiyo mikopo.
Waziri Tamisemi na TAKUKURU wafuatilie hili jambo hasa katika halmshauri ya wilaya ya Mbeya mji mdogo wa Mbalizi.
Hili jambo lipo katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya hapa mji mdogo wa Mbalizi.
Maafisa maendeleo katika kata kama Nsalala wanadai rushwa ili waweze kupitisha vikundi vya vijana katika mchakato mzima wa kupata hiyo mikopo.
Waziri Tamisemi na TAKUKURU wafuatilie hili jambo hasa katika halmshauri ya wilaya ya Mbeya mji mdogo wa Mbalizi.