Rushwa hospitali ya Amana

said reuben

Member
Dec 22, 2018
62
28
Leo nimeenda hospital amana kuna doctor ukiingia chumba cha daktari ukimueleza anakuskiliza na Anakuandikia vipimo lakin ela unampa yeye nimeshangaaa maana ela kuna wakala wa nmb inabidi ukalipe bhass kwa haraka haraka mm na mwenzangu kachukua elfu 40 ya vipimo yani imeingia mfukoni kwake sio kwa serikali sasa napata kwa siku nzima anaondoka na shilingi ngap
 
Je umeridhika na huduma uliyokuwa umefuata?

No increments, no seminar,

net salary kama vile yupo private institute.

what next?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom