Bunge la Wananchi
Member
- Jan 30, 2023
- 29
- 48
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Simiyu, amethibitisha kwamba Binti Pendo Paul aliyedai kupewa kazi ya kumuua Mbunge Mpina hakuwa Askari wa JWTZ kama alivyojitambulisha bali alikuwa amepitia mafunzo ya Mgambo zaidi sikiliza Video hii.
View: https://youtu.be/gTzupuaYy7c?si=_wUYi4xRIAVxOMpi
View: https://youtu.be/gTzupuaYy7c?si=_wUYi4xRIAVxOMpi