RPC Mwanza ni Comedy asiyejitambua

Torra Siabba

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
269
332
Jana nimeona Kamanda wa Polisi Mwanza SACP MUTAFUNGWA akielezea kupiga marufuku mikusanyiko ya Chadema hapa Mwanza.

Nikakumbuka Wiki kadhaa nyuma kuna mfanya biashara aliripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha mpaka leo jeshi hilo pamoja na Intelijensia waliyonayo ya kung'amua mambo hawajatuambia alipo mfanya biashara yule.
Ila intelijensia yao imewaambia mapema eti Chadema wanaandaa mikusanyiko kiukweli haya ni Maajabu🤣🤣.

Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe
 
Jana nimeona Kamanda wa Polisi Mwanza SACP MUTAFUNGWA akielezea kupiga marufuku mikusanyiko ya Chadema hapa Mwanza.

Nikakumbuka Wiki kadhaa nyuma kuna mfanya biashara aliripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha mpaka leo jeshi hilo pamoja na Intelijensia waliyonayo ya kung'amua mambo hawajatuambia alipo mfanya biashara yule.
Ila intelijensia yao imewaambia mapema eti Chadema wanaandaa mikusanyiko kiukweli haya ni Maajabu🤣🤣.

Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe
Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe📌🔨
 
Jana nimeona Kamanda wa Polisi Mwanza SACP MUTAFUNGWA akielezea kupiga marufuku mikusanyiko ya Chadema hapa Mwanza.

Nikakumbuka Wiki kadhaa nyuma kuna mfanya biashara aliripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha mpaka leo jeshi hilo pamoja na Intelijensia waliyonayo ya kung'amua mambo hawajatuambia alipo mfanya biashara yule.
Ila intelijensia yao imewaambia mapema eti Chadema wanaandaa mikusanyiko kiukweli haya ni Maajabu🤣🤣.

Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe

Angali anautamani sana ukuu wa usalama barabarani huyo. Akiwa huko alinyanyasa sana madereva akidhani yeye ndiyo yeye!
 
Ukizingatia kwenye press yake hata wale jamaa zake wa pembeni walikua wanashangaa anachokisoma. Ni upumbavu mtupu 😂😂😂😂😂😂😂
 
Hawa ujambazi ukitokea hawanusi tatizo ila chadema sasa wanajua kila wanalopanga.

Polisi imekuwa na kazi moja kupambana na chadema. Ndo maana wanakufa maskini kwa kutojitambua.
 
kwani tanzania kuna polisi mwenye akili hata mmoja? wanashikiwa akili na masiisiiiemu pamoa na minyota yao mabegani, unasaidia watu wenye maisha mazuri ila wewe unakaa kwenye fulusuti na bado unatumika tu, wakistaafu wanahangaika na wanasiasa haohao wawasaidie kufukuzia vimafao vyao kiduchu.imagine lile zee staafu la dodoma sasahivi limeajiriwa kwenye kampuni ya ulinzi stupid.
 
kwani tanzania kuna polisi mwenye akili hata mmoja? wanashikiwa akili na masiisiiiemu pamoa na minyota yao mabegani, unasaidia watu wenye maisha mazuri ila wewe unakaa kwenye fulusuti na bado unatumika tu, wakistaafu wanahangaika na wanasiasa haohao wawasaidie kufukuzia vimafao vyao kiduchu.imagine lile zee staafu la dodoma sasahivi limeajiriwa kwenye kampuni ya ulinzi stupid.
Wapi Huko?
 
Sasa angalia kama leo wamemwagwa barabarani kupambana na Chadema, walivyo wachache wanadhani watu wakiamua watatosha🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom