Riwaya: Merisa Jini Mwitu

bioto

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
1,261
2,097
RIWAYA: MERISA - JINI MWITU
MTUNZI: ZAYNAB TALY

Zaynab Taly ni mwandishi chipukizi ambaye ndotozake ni kuja kuwa mwandishi mkubwa katika nchihii. Wapo waliokwisha msoma kazi zake na wapoambao bado hawajamsoma mwanadada huyu. Kwa kuwa Jamvi la Simulizi za Kusisimua ni pageambayo pia inapenda kuinua vipaji vya waandishiwachanga na wanaochipukia, juma hili tumechukuakazi ya mwanadada huyu na kuiweka hapa iliiwaburudishe. Basi ndugu msomaji, unapomaliza kusoma toakomenti yako, wapi aboreshe, nini aongeze.

Pia waweza kutembelea page yake kwa kubofya link pale chini.Tumkaribishe Zaynab.

SEHEMU YA I

Ulikuwa usiku wa furaha,faraja,amani na ndelemokwa wapenda nao wawili Gabriel na Irene .Ambaowalipenda siku ya leo waitangazie dunia kuwabaada ya muda mfupi watakuwa mke na mume,yotealiyafanya kijana geb baada ya kusubiri nakuangaika kwa muda mrefu akimtafuta mpenzi wakeanna ambaye ndio msichana aliyekuwa chaguosahihi la moyo wake kwa wakati ule.Ila leo aliamuakumsahau kabisa anna na kuamua kumuoaIrene.shamrashamra za maandalizi ya mwisho juuya shughuri ile ya utambulisho zilizidi kupambamoto hatimaye wageni waalikwa kuwasiliwakiwemo ndugu jamàa na marafiki wa Irene na Geb.

Kwa upande wa Geb alikuwa akimsubiri kwahamu kubwa mgeni wake rasmi aliyemualika katikahafla ile fupi ili aweze kutumbuiza jukwaani katikasherehe ile,Nusu saa ilikatika wageni wote walikuwawamekwisha wasili katika shughuri ile isipokuwamgeni ambaye Geb alimsubiri kwa hamu iliawezekufungua hafla ile kwa kutumbuiza kwa mashairi yake mazuri ambayo yaliweza kupambwa zaidi nakwa uzuri kupitia sauti nyororo ya mwanadada huyona kumfanya kila msikilizaji wa mashairi yakekupatwa na hisia za kweli juu ya manenoyatolewayo.

Wakati bado Geb anatafakali nikitu ganichaweza kuwa kimempata rafiki yake kipenziambaye kwake alikuwa kama mgeni rasmi katikahafla ile mara mlango ulifunguliwa na kuwa wazikabisay hakuonekana mtu kuingia punde mpakazilipo pita sekunde kadhaa, alikuwa msichanamrembo aliyevalia gauni jekundu lililo buruza mpakachini na viatu virefu alivyovaa ndio vilikuwa msaadatosha wa kupunguza urefu wa gauni lile aliziwekanywele zake vizuri kwa kuzishikilia barabara katikakichwa chake nakuwa mfano wa kofia uso wakeulipangiliwa vyema make up zake nakumfanya azidikuvutia zaidi mbali na uzuri aliokuwa amejaaliwa na mungu ama kwa hakika alipendeza sana siku hiyoaliweza mzidi hata Irene ambaye ndie alikuwamuhusika mkuu juu ya sherehe hiyo.

Haikuwa rahisi kumtambua msichana yule kwaharaka japo wengi walizoea kumuona kwenyeruninga na katika macasino mbalimbali akitumbuizaila kwa siku hii ili iliwawia vibaya. Ukumbi ulikuwakimya kumtazama malikia yule akipita katikati yaohakuna aliyethubutu kusema chochote wote walikaakimya na kumtazama ni wapi anaenda kuketi.Wakati huo geb alikuwa katika chumba ambachoalikuwemo mtarajiwa wake irene wakishauriana ninn wafanye maana muda ulikuwa tayari ushapitakaribuni dakika 45 lakini matumainihayakuwepo.

Ghafra Geb alishitushwa na ukimyauliokuwepo ndani ya ukumbi kutoka akakutana anakwa ana na Angle aliyekuwa akionekana kujawa nahuzuni kubwa ndani ya macho yake ijapokuwa usowake aliupamba vyema na tabasamu bandia kiasikama aujamzoea atajua ni kawaida yake kuwa vilealivyo,jambo hilo kwa geb halikufichika aliwezakugundua huzuni aliyokuwa nayo Angle kwakumtazama macho yake ambayo yalijitengenezavyema machozi yaliyokaribia kutaka kufunika mboniza macho yake na kuangukia mashavuni ghafraakayawahi na kitambaa chke cha mkononi nakusogea pembeni kidogo ya ukumbi ,Geb akuwezakukubali kumuona Angle akilia peke ake bila yayeye kuhisi ni maumivu kiasi gani aliweza kuyapatarafiki yake yule,yapata mwaka na nusu sasa tangugeb kujuana na angle.

Katika moja ya sehemu ambazo Geb alipendakwenda kujipumzisha na kwaajili ya kutuliza akilimara tuuu baada ya kutoka kayika mihangaiko yake, Ila haikuwahi kutokea kwa wawili hawa kuongeleakuhusu maisha yao kuwa ni wapi wametoka na wapiwanaenda ilikila mmoja aweze kumjua vizurimwenzake ila kwa upande wao hakukuwa naumuhmu wowote na kujipq imani watazoeana nakujuana zaidi kadri siku zinavyozidi kwenda.

Siku moja angle alipewa mualiko wakutumbuiza katikamoja ya casino kubwa mjini arusha,Ndipo ambapoGeb aliweza kushuhudia uhodari wanmwanadadayule akiwa jukwaani akiimba na kucheza yeye piaalikuwa ni miongoni wa mashabiki wazuri wamwanadada angle siku hii alipata kumuoona libealipenda kujenga ukaribu naye kama rafiki bila kujuaalikuwa akitonesa kidonda cha angle ambacho kwambali kilianza kukauka na muziki kuwa ndio sehemuya maisha yake na kuwani rafiki mkubwa kwakeambaye aliweza muondolea mawazo yote na kiasiakawa mwenye kufungua kurasa mpya ya maishayake, alijisemea moyoni huku bado akimtazama Gebmachoni ambaye bado alikuwa akisubiri kwa hamukujua tatizo alilokuwa nalo angle"Merisa! Merisa, jini mwitu wewe ndie chanzo chahaya yote wew ndio chanzo cha chozi langu leo hiikuanguka merisa wewe ndio chanzo cha mimikuhisi maumivu ya mapenzi wewe ndo chanzo chamisukosuko yote ya maisha yangu merisa. Aaaaaaaaah,,,,,,,,,,sijuihata niwapi nitaaanziakumueleza geb na kumfanya anielewe kuwa mimindie yule anna wake aliyeniahidi mambo mengilakini haya kutimia baada shetani mwitu kuingiliapendo letu".
 
" Merisa!merisa! Jini mwitu wewe ndio chanzo chahaya yote wewe ndio chanzo cha chozi langu leo hiikuanguka merisa wewe ndio chanzo cha mimikuhisi maumivu ya mapenzi wewe ndio chanzo chamisukosuko yote ya maisha yangu merisaAaaaaah,,,,,,,sijui hata nitaanzia wapi mueleza gebna kumfanya anielewe kuwa mimi ndie yule annawake aliyeni ahidi mambo mengi lakini hayakutimiabaada ya shetani mwitu kuingilia pendo letu".

SEHEMU YA 2

Alishtushwa toka katika mawazo yale baada ya gebkumuuliza " angle una nn?" hakuwa mwenyekujibualijifuta tena machozi na kuinuka na kumtazamaGeb "nipo sawa Geb! Shaka dhidi yangu ondoa "huku akielekea kwenye jukwaa na kushika vizurikipaza sauti na kuomba kusindikizwa na gitaambalo lilipigwa kwaahadhi ya kubembeleza nakuanza kukiweka kipaza sauti mdomoni na kuimba.

Siku hii hakuimba nyimbo yake ila alichagua nyimboya msanii wa kitambo kidogo na kuiimba mbele yahadhira ile ilikuwa nyimbo ya Marlaw iliyoenda kwajina la daima na milele " pendo languuuu halina mwishooooo, wewe ndio wangu leo mpaka keshooooo, sogeaaaa nikumbatieeeeee, kwaninajuaaaaa uamini uko na mieeee,,,usilieufurahieeeee mimi sikuachi kamweeeee Eeeeeeheeeeheeeee utakapo sinziaaaaa na kitanda moyoniiiiili ukilala tuwe wote ndotoniiiiii,,,,daima na milele nitakuwa nawe maishayangu yote eeeeeh ooooooh,,,,,wimbo uleulimkumbusha zamani sana Geb kiasi chozikumtoka ilikuwa ni nyimbo ambayo aliwahi kuisiki kitambo sana.

Akatega sikio vizuri na kusikiliza sauti ile nyororo ili fanana kabisa na ya anna alitamani kumuita anna ila alijistukia na kujisemeamwenyewe.." yule sio anna,geb ni sauti tuuu zimefanana" ilabado akili ilikuwa mbali alikumbuka siku ambayoalikuwa beach na anna wakicheza cheza kwenyemaji anna aliimba nyimbo hiyo kwa hisia kalimpaka kutoa chozi akikimaanisha alichokuwaakikiimba kushtuka mbele yake alikuwa amesimama msichana angle ambaye tayari alikuwa ameshamaliza kutumbuiza mkononi alishika kitumfano wa bahasha iliyokuwa na CD ndani yake na kumkabidhi Geb kisha akamwambia ni zawadi yako siku ya leo ikiwa juu imeandikwa maneno machache yaliyopelekea kumshawishi Geb kujua kilichopo ndani ya ile CD iliyoandikwa kwa herufi kubwa na kwa muandiko uliosomeka vizurI.

Maneno yakeyalisomeka kama" MASIKINI ANNA MIMI" Baada ya anglekuhakikisha ameshamkabidhi Geb CD ile alirudinyuma kabisa ya ukumbi akimuangalia Gebaliyepanda jukwaaani karibu kabisa na DJ aliyekuwaakitoa burudani siku ile ndani ya ukumbi ulenakumuomba aweke ile CD iliawezevkuona kilichopondani ya CD ile .

Punde TV screen kubwa iliyokuwa katika ukumbi ule iliwaka na kuanza kuonyeshachenga chenga haikutimia dakika alionekanamsichna mrembo aliyeonekana katika majonzimakubwa machozi yakitililika katika mashavu yake alionesha kujutia jambo ila hakuna aliyewezakutambua alikuwa anajutia nini au alikuwaakiuzunishwa na jambo gani, akiwa bado ameinamisha kichwa chake alianza kuongea kwakusema"samahani Geb kwa kuyasema haya leo,piasamahani sana Irene uwenda nikawa chachu nachamzo cha kuondoa furaha yako, ila hilo sio kusudio langu ila mimi nilikuwa na hitaji Gebatambue tu kuwa masikini anna mimi nipo haijaponi ngumu kuamini juu ya yale nitakayo yasema ilapotelea mbali ,,,,," alikaakimya kwa muda kishaakainua kichwa hakuna aliyeweza kuamini kamamsichana aliyekuwa akizungumza kuwa yeye na nnaalikuwa ni angle.

Geb alishindwa kuelewa kulikoni ila ghafra ikasikikasauti kutoka kwa mwanadada yule ikiendeleakusema"najua lazima mtajiuliza sana yawaje angle mimikuwa anna wa geb ila ni hivi, ,,,," alitazama juukabla ajasema chochote akiwa kama anatafakariwapi anaweza kuanza .kila aliyesimama alitafutapahali akaketi na kwa wale walio kawa mbaliwslisogea karibu na kusikiliza kwa makini hata irenealitoka nje baada ya kusikia jina lake likitajwa Gebjasho lilikuwa likimtoka kiasi akavua koti la sutialilovaa na kuliweka pembeni na kufungua vifungokadhaa vya shati lake na kujiweka sawa.

Mzungumazaji alikuwa kama aliyepangilia muda na kujuhapa watakuwa wakijiandaa na baada ya dakikakadhaa watakuwa wamemaliza na mimi nitaanzakuongea"miaka saba iliyopita nilikuwa nikiishi ja wazaziwangu wawili nikiwa kma mtoto wapekee katikafamilia yetu.si baba wala mama wote walikuwawakinitegemea mimi kama mtoto wao wapekee, siku moja asubuhi na mapema nikiwa badonimelala, ghafra simu yangu iliita niliinuka kwa uchovu na kwenda kuipokea nilipo tazama katkakioo cha simi yangu ilikuwa namba ngeni kabisakatika macho yang n wala haikuwa ya tanzania uvivuukazidi mara mbili nikaiweka kiganjani na kuipokeakisha sikioni, upande wa pili wa ile simu aliwahikuongea kabla yangu hiyo ni baada ya kujua kuwatayari simu ilikuwa sikioni kwa muhusika sauti ilisikika " hallow?" nami niliitikia kwa kusua suamaana nilikuwa kmamwenyekuifananisha sauti ilena mtu fulani ila bado nilikuwa sijajua ni nani, nikajivuta katika ile sauti iliyolewa usingizi"hallow!""Geb hpa naongea " alijitambulisha yule aliyepigasimu" waow! Geb mpenzi umerudi???"

Niliongea kwa shauku kubwa na furaha nikiwa nataka kujua kama amerudi au laa huku nikikaa vizur kitandanikusikiliza majibu yake" mmmh! Jaman hata salamu?" aliongeailikunishusha papara nilizokuwa nazo pamoja nashauku nikashusha pumzi akaendelea" bado nipo GUENE mpenzi ila tumesha maliza kazizote na tumesha dhuri misitu mitatu huku na ninataraji keshoasubuhi nirejeshe funguo za chumba nakuchukua baaadhi ya taharifa za ziara yetu hukukisha jioni nitaanza safari ya kurejea TANZANIAsawa mpenzi?" aliongea huku akionyeshaunyenyekevu mkubwa sana kwangu kiasi nikawamuelewa kwa kila alichokisema " sawa Geb mpenzikaribu nyumbani"" asante mama nimeshakaribia mpenzi ila niaombauje unipokee kesho kutwa asubuhi maana nawezaingia mida ya saa nne asubuhi hivi"" usijali rubani wangu nitakuwa hapo pindi mudautakapo wadia". ""aminia mama ake ila hiyo siku iabidi uwahimapemaaa kuamka ikibidi saa kumi alfajir maananakujua ukianza kukaa kwenye kioo au malizi"aliongea geb kwa mzaha nami niliifatisha kwamasihara makubwa zaidi" mmmmh mpnz tangu lini mtoto wa mzee magesamimi?"kwa nilikanusha amakwa hakika alinielewa" basi kipenzi chngu yaishe utaniwiii?"

Naye pia alifanya kma nilivyofanya huku akinibembeleza nakunitupia swali,utani wanamna hiyo uliendelea mpkamapale niliposikia mlango wa chumbani kwanguukigongwa ndipo nilipo muaga geb na kumruhusualiyekuwa akigonga mlango wangu kuingia mlangouligiunguliwa aliingia mwanamke mzuri akiwa naumbo kubwa la kiutu uzima likionyesha tayarialikwisha zaauso wake ulipambwa vyema na rangiyake ya kahawia wengi waliita chocolate ,machoyake makubwa na pua nyembamba ya kuchongokakama wahindi na mdomo wake mdogo viliongezeauzuri wa mama huyo mwenye adili ya kinyarwandahakuwa mwingne ni mama yangu kipnz mama annaakiwa mkononi akishika tray ya kubebea chakula naju yake kukiwa na chupa ya chai pamoja nakijisahani kifogo mbacho ndani yake kulikuwa na vijipande viwili vya mikate mapoka n mayai ya kuchemsha maeili n kikombe kimoj bila shakailikuwani kwa ajili yangu ,nilianza kwa kumsalimia" shikamoo mama?"." marahaba ujambo mwanangu?"." sijambo" huku nikijiweka sawa kiuvivu uvivu" mmh ! Mwanangu mm mvivu jamn" alijisemeamwenyew mama angu huku akiweka vitu alivyokujanavyo chini na kujiweka sawa katika kitanda changuna kugungua chupa iliamimine chai kwwnyekikombe kidha akaendelea" hivi unajua saa ngapi saizi mama au unajilaza tunleo auendi chuo au?"

Kipindi hicho ilikuwa nfokwanza nimeingia mwaka watatu sheria chuo nauvivu ndo ulikuwa umekithiri sasa nilimtazamamama yangu",naenda mama" huku nikimuangalia kwa jicho lakudeka" sasa mboma mpka sasa upo kitandani?"aliongeahuku akinipatia kikombe cha chai rohoninilimtazama kwa makini mama angu na kutamanikuongea kitu ila nilijiona niatuwa nakosea sanakumwambia mama angu jambo lile tena kwa wakatiule ila sikuwa n jinsi maana geb alitaka kujanyumbani kujitambulisha mara moja baada yakutoka safari yake ni kajikuta nikianza kujiwekasawa",mama" kwa sauti ya chini nilimuita mama angunaye akawa tayari kunisikiliza nini natka kuongeaalinigeukia na kunitazama usoni " kuna jambonataka kukueleza mama angu".

INAENDELEA...
 
Ilipoishia...

"mama" kwa sauti ya chini nilimuita mama angunaye akawa tayari kunisikiliza nini nataka kuongeaaligeuka na kunitazama usoni"kuna jambo natakakukueleza mama angu"

SEHEMU YA 03


Niliongea nikimaanisha ilikumfanya mama anguaweze kuwa makini zaidi kunisikiliza nilikohoakidogo ilikuitengeneza sauti ile iliyochanganyika naile chai ya moto na kuendelea" mama najua mimi ni mtoto wenu wapekee na kwahivi punde na tarajia kuhitimu elimu yangu ya juukwa mwaka wa tatu ila kubwa nililotaka kukuelezaleo hii mama nikuwa nime bahatika kumpata mwenzangu"nilisita kidogo baada ya kumuona mama angu ananitazama kiumakini zaidi baada yakusikia nimepata mwenzangu ila haukua mwisho wangu wa maongezi yale nilijikaza na kujiweka vizuri na kumalizia nilichokusudia"

Hivyo nilikuwanaomba ridhaa yenu iliniweze kumleta hapanyumbani na kupata baraka zenu" hapo nilimuonamama angu akionyesha tabasamu sasa kiasi nikafarijika ila alionekana mwenyekutaka kuhoji kituikawa kama macho na hisia zangu zilivyo semanakuona"sawa mimi nimekuelewa muhimu umjue vyemamwenzio ilimsije kutupashida baadae ila hayoniyangu mimi ila nitaonge na baba yako bilashakaawezi weka kipingamizi na nilini unatarajiakumleta hapa nyumbani?"

Niliiyona shauku ya wazindani ya macho ya mama angu juu ya kutkakumuona na kumjua mkwe wake"kwa sasa yupo nje kikazi na ndo kesho anatarajiakurudi hivyo akirudi nadhani ndipo atakapo niambiakuwa ni lini anaweza kuja maana hata yeye siomkaaji sana tanzania hivyo anataka jambo hililifanyike upesi pale akipata tu nafasi." nilimjibu kwakujiamini sasa baada ya kupewa jibu lililoniridhisha"anaitwa nani?" mama alihoji ilikutaka kujua anaitwanani"GABRIEL MSIGWA" nilimtajia kwa kifupi jina la gebkamili bila kuongeza neno lolote ndani yake"na anafanya kazi gani?" baada ya kuridhishwa najibu nililo mpatia alihoji tena kuhusu kazianayofanya geb"mmmmmmh mama.

Geb ni mwandishi wa habarikwa professional yake ila baada ya kufanya vizuri nakuchukua tuzo kadhaa za mwandishi bora Tanzaniakwa kuandika habari za kweli na zenye uhakika alichukuliwa na WORLD EVENT COMPANY LTD kwaajili ya kuandika maajabu mbali mbali yanayotokeakatika ulimwengu huu na kumfanya kuwa ni mtu wakuto tulia sehemu moja na kusafiri mara kwa mara"jibu nililoweza mpatia mama nilimtosheleza vyemana sikuona swali lingine tena lolote katika machoyake. aliinuka na kuanza kuondoka alipoukaribiamlango aligeuka akatabasamu tena na kuniambia"nitahakikisha baba akoanakuwa muelewa juu yajambo hili"na minilitabasamu kisha nikamjibu kwa unyenyekevu"nitashukuru mama angu" mamaaliondoka na kuelekea chumbani kwake nami niliinuka kitandani na kwenda bafuni nikajimwagiamaji kisha nikachukuanguo zangu sikusahau makeup nilipo hakikisha nipo sawa nilitoka zangu kisha nikamuaga mama na kuelekeachuoni siku hiinilijawa na furaha kupita kiasi.

Furaha ambayoilijificha zaidi ndani ya nafsi yangu kwa kuaminikuwa kwakuwa mama yangu amekuwa ,muelewa juuya jambo hili hakukuwa na dalili yoyote ya babaangu kulipinga jambo hilo. Ilitimu saa tano kamili asubuhi nilipowasili chuonikila mtualikuwa busy amejiinamia akijaribu kupitishamacho katika kurasa za daftari lake iliawezekuambulia chochote ambacho kitaweza kumsaidiasiku ya mtihani.

Kwaupande wangu haikuwa hivyomaana nilionekana ni mwenyefuraha kupita kiasi kilaaliyenitazama alipata shauku ya kutaka kujuanikipikilicho kuwa kikinipa furaha zaidi,siku wezakuwaeleza chochote maanahawakuwa wakifahamuchochote juu ya uhusiano wangu mimi na Geb .wengi walijua Geb alikuwa ni rafiki yangutuuu,kitendo kilichopelekea wasichana wengi kuanzakujigonga gonga kwa geb wakimtaka kimapenzi,wengi walishapagawa na uzuri wasura aliyokawaamejaaliwa Geb, muondoko wa geb pia uliteka hisiaza wengi ambao aliuiba kutoka kaatika nchi mbalimbali alimokuwaakisafiri kwa ajili ya shughuri zakeza kiofisi ,mpaka ikafikia hatua ya wasichana kujakwangu na uihitajia namba ya geb mwishokuambulia patupu bila kujua uharisia juu ya mimi nageb maana alikuwa akija chuo mara kwa mara nakunichukua na gari yakekisha kunipeleka mpakanyumbani.

Niliketi na kuitafuta simu yangu na kutafuta nambaya rafiki yangu kipenzi Betha na kupigia ilikujuayuko wapi na kama ataweza kuja pale nilipo baadaya kama dakika kumi Betha alikuwa ameshafikapale nilipomuelekeza kuwa nipo naye alionekanakushangazwa na furaha yangu na kuanza kuhojikulikoni .Huyu ndiye wapekee aliyekuwa akijua juuya mahusiano yangu mimi na Geb hivyo siku mfichakitu nilimueleza kila kitu tangu kupigiwa simu nageb na kumfikishia tahariafa zile mama na jinsialivyozipokea ni dhahiri wazazi wanguwalikuwa namoyo wa kumpokea Geb na walikuwa radhi kwa kilakitu japo bado baba alikuwa ajanipa jibu la uhakikaila nilijipa moyo kwa kuwa mama akuwekakipingamizi ni dhahiri baba ange elewa kwa wepesizaidi nakujikuta anakubali mimi kuolea.

Tuliongeamengi mwisho tukaenda darasani na mudaulipoisha tuliweza kuondoka pamoja na betha nakuelekea kunako kituo cha daladala na tukiwa njianituliongea mengi na tamti tukafikia juu ya keshoyake kwenda kumpokea Geb ambapo Betha piaalitamani kwenda mpokea Geb Airport na kwaupande wangu hakukuwa na tabu nilimkubalia nakesho yake tulipanga kuonana nyumbani nakuongozana moja kwa moja mpaka Airport.

Geb alikuwa akijiandaa vyema na wenzie wannejaneth,john,dev na mary ilikurejea Tanzania kwaajilia yakukabidhi report na kuendelea namapumziko mpaka pale itakapo patikana safarinyingne. Kwa upande wa Geb aliamini huo ndoungekuwa muda mzuri sana wa kuweka mamboyake sawa na aliamini kama akipatasafari nyingneakirudi tayari mipango ya harusi itakuwa imefanamaana alimtamani sana anna kwa kuishi naye nakuwa kana mkewe.

Asubuhi na mapema tayari walikuwa wameshawasilikatika uwanja wa ndege wa GUENE INTERNATIOALAIRPORT kwa ajili ya safri yao ya kurejea Tanzaniana sasa furaha ya geb haikusita kujidhihirisha maanaalitamani sana kwenda kwa kina anna nakujitambulisha na kuelezea nia aliyokuwanayoiliwaweze kupata baraka kutoka kwa wazazi waanna kwa upande wake yeye wala hakuwa tatizomaana alijikuta mjini akiwa peke yake na kuishihuku akimtegemea anna kwa kuwandio mtu wakewapekee aliye karibu naye na kumfanya kuwa nafuraha tangupalewalipo fariki dunia wazazi wake Geb kwa ajali ya treni walipokuwa wakitoka darwakielekea kigoma, ilifahamika baadae kuwa katikamabehewa yaliyoripuka moja wapo walikuwamowazazi wake geb na hatawalipojaribu kutafuta miiliyao ilishindikana na mwisho kujikuta wakiaminikuwa ni kweli Baba na Mama yake walikuwawamepotezamaisha.

Hatimaye siku zilipita na ukawa umebakia usikummoja tuu na asubuhi yake nitakuwa Airportnikimsubiri kwa hamu kipenzi changu Geb.Ghafranilishituka nikisikia naitwa ilikuwa sauti ya babaangu MZEE MAGESA niliitika na kutoka nikiifatizasauti ile bila kujua wapiilitokea.Nikweli alikuwanibaba angu mzazi MZEE MAGESA alikuwa ameketina mkewe wote walinitazama nilikuwa kamaniliyefahamu nilichoitiwa nikashindwa kuwatazama usoni hii ni kwa mara ya kwanza tangu nizaliwekuwaonea aibu wazazi wangu niliitika ilikuwa juzakuwa niko tayari kusikia juu ya kile walichoniitia"abee baba" ilikuwa ni sauti ya unyenyekevu kabisa iliyojawa na hofu ndani yake baba alinitazama nakuniruhusu niketi,kisha akanitazama kwa muda nakukohoa ilikuweza sauti yake sawa iliaweze kusikikavyema bila makwaruzo"Anna mama?""abee!baba"niliitika tena katika hali ile ile kama yamwanzo.

"Nimepata taharifa zako kwamba umepatamchumba ni kweli?"aliongea huku akinitazama usoni, hofu na uwoga ulizidi ndani ya nafsi yangunilimuona baba angu kama nimwenye hasira naambaye hakupendezwa na jambo lile,ila kwa upandemwingne wa shilingi nilimuona akiwa na moyowakuyalidhia maombi yangu japo na hofuniliyokawanayo sikutaka kuzunguka sana japomajibu yangu yalidhihirisha uoga nilio kawa naondani ya nafsi yangu"ndi,,,ndi,,,,ndio baba" alinitazama nikalionatabasamu likijitengeneza katika mashavu yakematumaini nilianza kuyaona alipohakikisha matumaini ndani ya nafsi yangu yatakuwa tayariyamekwisha jengwa aliendelea" unajua anna weweni mtu mzima sasa yabidi kutambua lililo baya nazuri ila sio hilo tuu pia umeshamaliza masomo yakonasi jukumu letu tumemaliza hivyo atuwezi pingachochote uamuacho tangu sasa kwakuwa huyomwanaume umempenda basi si mimi wala mamayako wote hatuna kipingamizi na tunawatakia kherina baraka tele ndani yenu ila umrete tumuonekwanza hapa nyumbani." Ilikuwa nifuraha ya ajabu ndani ya nafsi yangusikuweza kuamini kama kweli baba ange nikubaliaombi langu.

Niliwashukuru na kuwakumbatia kishanikarejea chumbani kwangu,nikashika laptop yanguna kumtumia Email Geb kuhusu yote yaliyotokeanyumbani kisha nikajitupa kitandani nilikuwa katikadimbwi kubwa la mawazo na furaha ndani yakeniliona dhahiri matarajio yanazidi kuongezeka nanika elewa wazi Geb ndio mwanaume wa maishayangu sikuwahi kuwaza kutotimia kwa ndoto zanguhata siku moja japo mara kwa mara huwa niwatuwa kugombana ila yote hayo utengenezwa na wivuuliopo ndani ya nafsi zetu.

Ghafra usingizi ukanichukua mwisho siku ikapinduka na kuwa sikunyingne wakati bado nimelala nilisikia simu yanguikinguruma nikafungua macho nikaona simu yanguikitoa mwanga nilihakikisha ilikuwa ni massagemaana ilitoa mngurumo mmoja tuu, nikaishika nakufungua ujumbe ule huku nikiwana shauku ya kutkakujua ujumbe ule ulikuwa umetokea wapi nakwanani hakuwa mwingne ni geb"hallooow,,,,? my love bila shaka bado umelala ilapindi utakapo soma ujumbe huu nakuomba uamkena kujiandaa na uje Airport kunipokea maana midaya saa nne hivi na dakika kadhaa nitakuwanimeshafika TANZANIA" sasa furaha yangu ilizidikifani ikabidi nifanye kama alivyosema na kabla yakufanya chochote nilimtaarifu kipenzi changu Bethailinayeye aweze kujiandaa, Nami nikaingia bafunikuoga kisha nikavaa na kumuaga mama nilikutanana Betha kituo cha kupanda daladala ila kwa siku ilesiku jisikia kabisa kupanda daladala nilichukua Tax na kuondoka mpaka Airport...
 
Ilipoishia...

Sasa furaha yangu ilizidi kifani ikabidi nifanye kamaalivyosema na kabla ya kufanya chochotenilimtaarifu kipenzi changu Betha ilinayeye awezekujiandaa, Nami nikaingia bafuni kuoga kishanikavaa na kumuaga mama nilikutana na Betha kituocha kupanda daladala ila kwa siku ile siku jisikiakabisa kupanda daladala nilichukua Tax nakuondoka mpaka Airport.SEHEMU YA 4Yapata saa tatu na dakika 45 Geb alikwisha wasiliTanzania sasa aliangaika na mabegi yake akiyatoanje ya Airport ghafra alihisi mtu akimsukuma kwanguvu nyuma ya mgongo wake na kumdaka kishaalipeta kwa mbele hakuwa mwingne ni Anna pekeekipenzi na ndo ua zuri la nafsi ya Geb.

Nilishindwakujizuia nilimkiss mbele ya hadhira ile bila kujariwatu wote waligeuka kunitazama sio kwa walewaliojua mimi na geb tuna uhusiano gani na hatawale wasiojua janeth,john, Dav na mary piawalikuwa miongoni mwa walio shuhudia yale na kilaaliyetutazama alijuawazi kuwa tulikuwa tunapendanasana. Niliporidhika nilishika beg moja mkononi najingine alibeba Betha mpaka palipo parking ya tax napo ndipo safari ilipoanza kuelekea magomeniambapo ndo mahali ambapo Geb alikuwa akiishi .

Geb alikuwa akiishi katika nyumba ya kampuniambapo aliishi na marafiki zake wawilialiokuwaakifanya nao kazi Dav na John .Bethaaliishia njiani baada ya kupigiwa simu arudinyumbani haraka sana na kuniacha mimi na Gebtukiendelea nasafari yetu mpaka magomenitulipofika niliweza kulipia Taxi na kuingia ndani.

Tulipoingia ndani geb aliniomba aingie bafuni kuoganami nipange nguo zake kwenye kabati wakatinayafanya yote hayo Ghafra simu ya Geb iliitanilipoitazama hakuwa mwingine ila ni rafiki yake namfanyakazi mwenzie na Geb ambaye jina lilitokezakama David ,nikaona sio vyema kupokea simu yakebila ridhaa yake nikamuita"sweetyy,,?simu inaita" alijibu akiwa chooni bado "ninani huyo tena ,,,?""david ndo anapiga""daah wepokea umsikilize""ok pouw"nikaichukua nakuipokea ilikuwezakumsikiliza anacho hitajia alianza kwakusema"hallow Geb?" "Eeeh Hallow shem Geb yupo choonianaoga,,,,,""Ooooh!kumbe mtoto mzuri bado upo ok! basisawa we mwambie mkurugenzi amenipigia simumuda huu amesema kesho tunahitajika ofisini wotena kesho kutwa tujiandae na safari ya kwendaCANNADA,,," yalikuwa maneno mafupi nayenyekueleweka na yalipita katika tundu za masikioyangu barabara yote ilikuwa ni kutokana na ukaribuulio kawepo baina ya masikio yangu na simu ileniliyaelewa vyema maneno yale ila siku takakuamini kamakilichosemwa kilikuwa ni sahihi kwelinikauliza"nini,,,,? kwa hiyo Geb anaondoka tena""ndio anna,"

David alijua dhahiri Taharifa zilezimeniumiza ila hakua na jinsi hata kamaangeesema amsubiri Geb iliamwambie bado yangekuwa yale yale maana sio David wala John wotewalitambua jinsi nilivyo dhaifu kwa Geb ilahakukuwa na namna, nilihoji tena ilikuonauwezekano wa Geb kutoenda safari"Kwani shemamna wafanya kazi wengine zaidi yake?""wapo shem tena wengi sana ila Geb ana elimu yatofauti na sisi wengne maana yeye mbali na yotepia alishawahi kusomea journalism (uandishi wahabari) na yupo peke ake hivyo ni mtumuhimu sanakatika kampuni""Daah pouw ujumbe umefika""sawa shem ila usimkataze maanando sehemuzenyewe kwakujipatia kipato hizi""najua hilo shem wala usijali"nilijitahidi kutengenezatabasamu ila lilikataa sauti ilitoka ya upole sananilijua dhahiri Dav atakuwa ameju nini kilichopondani ya nafsi yangu sikuwana jinsi taharifanilizopewa ilibidi nizifikishe kwa Geb kama zilivyobaadaya muda kidogo.

Geb alirejea kutoka bafuniakiwa ameshika taulo lake mkononi muda huonilikuwanimejiinamia alisogea taratibu mpaka palenilipo aliponigusa nilishituka na kumtazama usoni"anna???"aliniita kwa upole baada ya kumtazamamachoni"kunatatizo mama?"aliniuliza tena na kwaupole zaidi nilimtazama napo sikuwa na jibu lakumpa nilichukua simu yake na kumkabidhi badoalikuwa njia panda kunielewa nikitu gani haswanilikimaanisha nilivuta pumzi ilikuzishusha hasranilizokuwanazo kisha nikamtazama tena Geb"ni Davndo aliyekuwa akipiga simu" alinisikiliza kwaumakini na mimi sikusita nikaendelea "amesemaamepigiwa simu na mkurugenzi kesho asubuhiunahitajika ofisini na kesho kutwa kujiandaa nasafari ya kuelekea CANNADA"nilifikisha ujumbe kama ulivyo.

Geb alionyesha kuchoka ndipoakasimama kidete sasa na kushika kiuno alionekanakama wakufikilia jambo ilanilishindwa kumuulizaalizunguka kila kona ya chumba chake akionekanani mtuwakutafakari jambo huku miminikimsindikizana macho yangu kila kona aliyopita nikijipa moyouwenda atasema chochote ila haikuwa hivyo. Baadaya nusu saa nilimsikia akianza kuongea mwenyewekwa sauti ya chini"hivi mbona wananifanyia hivi mimi sipatia hatamuda wakupumzika na kujua nitajenga vipi familiayangu mbona hivi lakini"ndiponikajua kumbe siomimi tuu hata yeye anaumia kukosa muda wa kuwana mimi nilinyanyuka nilipoketimpaka pale alipokawa amesimama nikamkumbatia kwa nyuma nilijikaza lakini nilishindwa nikajikuta machoziyakanitoka na kudondokea katika mdongo wa Geb, naye pia alinigeukia nakunikumbatia tukabakitukishare maumivu yale "anna mama?"

Aliniita tenana kwa upole zaidi ya mara ya kwanza nilimtazama usoni kumsikiliza "nivumilie nikirudi nitakuoa sawa mama" ilikuwaideal inzitokwangu kuikubali moyo wangu ulikuwamgumu kukubaliana na wazo lake siku taka kabisa Geb aende CANADA moyo wangu ulisita kabisakukubali juu ya safari ya geb na kila nilipojiulizasababu hasa ya kumzuia geb kutoenda safari badojibu lilikuja anioe ila bado halikukamilika maanabado moyo ulikuwa mgumu mwisho niliridhia safariya Geb ilailikuwalazima aende nyumbani kwanza.

Tulipo fikia muafaka Geb aliendelea kuvaa naminikampangia nguo zake na nilipomaliza tukaondokawote kwa ajili yakupata lunch nilifurahi kumuonaGeb kwa siku ile ijapo kuwa alikuwa anasiku chachetuu angeweza kuondoka tena ila nilipenda kufurahiazaidi maana sikujua huko aendako pia atachukuamuda gani mpaka kurudi,moyoni nilijuwa dhahirikuwa atachukua muda mrefu sana ila nilijifarijinakujipa moyo kuwa baaada ya muda mfupi atarejeasiku hii tulipenda kuitumia vyema kwa upangamipango yetu hasa juu ya utambulisho n harusi .Utambulisho ilibidi ufanyike siku ya pili yake kishaGeb ajiandaae na safari na harusi ilikuwa baada yaGeb kutoka safari aliahidi kulitimiza hilo punde tuuuatakaporejea tanzania.Tulipangamengi sana sikuhiyo tulijaribu kuangalia jinsi siku yetu ya harusiitakavyokuwa nzuri kwa furaha amani na ndelemokila mmoja wetu alisahau yaliyopita hatimaye jualilizama mwezi ukaonekana na giza likaingia kutoaushirikiano kuwa siku inabadilika sasa.

Gebalinichukua na kunirejesha mpaka nyumbaniambapo hapakuwa na mtu kwa wakati ule babaalikuwabado ajarudi kazini na mama piaalikuwaajarudi katika miangaikoyake ,niliagana naGeb na mimi nikaingia ndani nikaandaa chakula nakukiweka mezani na kufanya kazi zingine ndogondogo kisha nikaingia bafuni nikaoga na kuingiasitting kuangalia Tv.punde nikasikia honi ya gari baba na mamawalikuwa wanarudi walionekana wakiwa na furaha yaajabu wakichekeshana na kutaniana wakipiga storyza hapa na pale bila shaka walikuwa wakikumbukiaenzi zao,sikutaka kuwa katisha niliwapokea mizigoyao na kuwasaidia kuingiza ndani nilipowaonawamefikia tamati ya maongezi yao niliwasalimianakuwakaribisha mezani nao waliingia chumbanimwa baada ya muda walitoka wakiwa tayariwamekwisha oga na wapo tayari kukaa mezaniwaliketi nami nikaanza kuwahudumia chakula kishana mimi nikajiudumia na kuketi bado storiziliendelea bila kikomo mwisho nilikohoailikuwaweka sawa kunisikiliza, "baba na mama"walinitazama wote na kuweka nukta katika sahanizao na kutaka kusikia ninachotaka kuwa ambia.

ITAENDELEA...
 
SEHEMU YA 5

Geb amesha wasili tanzania tangu leo asubuhiilaalikuwa anaomba kesho ajekujitambulisha maanaanasafari nyingine hivi karibuni na bado ajajua niliniatarejea tanzania ila anataka atakapo rudituoane"niliongea kwa heshima zote na adabu naunyenyekevu wa hali ya juu iliwanielewe na kwelihaikuwa kazi ngumu kwao walinielewa, tulimaliziachakula na wao kuingia chumbani kwao na miminikaingia kwangu nikajitupa kitandani na kupapasaupande wa pili wakitanda changu ambapo nikaivutasimu yangu ya mkononi na kuanza kuitafuta nambaya Geb na kumpigia haikuita sana simu ilipokelewana sauti ilisikika,

"Hallow xweety ?" na mi nilikuwa tayari kujibu"yes honey, bado aujalala tuu?"niliuliza kwa sauti yakudeka "bado mpenzi ila ndo nipo kitandani hapando nilikuwa najiandaa nakulala ""oooh basi vyema ilanimeongea na baba na mamawamekubali kesho ujenyumbani""waow kweli anna?""ndio nimewaeleza pia juu za safari yako ilawamesihi sana ujekwanza nyumbani""Ooooh basi usijali mpenzi kesho nitakuwa kazinikujua nini kinaendelea ikiwemo na kuniongezea sikuza kurelux alafu nitakuja mama sawa?""ok Geb nimekuelewa mpenzi""ok basi wacha nipumzike mama tutaongea vizuri kesho ""sawa usiku mwema kipenzi changu""na kwako pia "

Maongezi yetu yalikuwa kama hivyona ndo ukawa mwisho wa simu yangu kwa Geb nilikata na kuvuta shuka nikalala asubuhi nilipoamkanilimkuta mama akiwa na pirika pirika za kufanyausafi na kupika chakula"shikamoo mama?""marahaba, umeamka je?""namshukuru mungu mama, naona ndo unaandaamazingira ilikumkaribisha mkweo""sasa weunafikiri nani anataka hii aibu impatemaana mtoto ndo wewe nakuamka kwako ndo saanne kama hivi nisipo jitoa sindo nitaonekana namimi sina mana kama wewe ""mmmh mama..""nini kwani uongo?""basi yaishe usije mwambia Geb tuu"wakati badonaongea na mama simu iliita hakuwa mwingine ilani Geb" hello Geb""mmh anna umeamka je mpenzi?""namshukuru mungu Geb""ooooh ok basi sikia nimetoka ofisini hivi nimepewawiki nzima ya kurelux ""waow!!! na nyumbani unakuja saa ngapi ?""mmmh mida ya saa saba hivi nitakuwa hapo nikilachakula ulichokipika wewe mke wangu mtarajiwa"

Tuliongea mengi utani haukukosekana na hatimayegeb alifika nyumbani na jutitambulisha mbele yawazazi wangu na kuelezea lengo na nia yakekwangu sio mimi pekee niliye kampenda nakujisalimisha kwake pasi na hofu yoyote hata babana mama yangu walimpenda sana Geb alikuwamcheshi kiasi kwa muda mfupi alikuwa mwenyejikwa wazazi wangu na akawa part muhimu katikafamilia hasa kwa siku ile iliyokuwa maarumu naspecial sana kwangu,Hatimaye siku iliishaikisindikizwa na kuzama kwa jua ,kutanda kwa kiza nakuchomoza kwa mwezi angani ndipo Gebalipoomba kurejea kwake nasi tukabaki nyumbanihuku baba akimsindikiza Geb kwa gari mpakakwake naye kurejea nyumbani. siku hii ilipambwa nafuraha na ndelemo nyingi sana hasa kwa wazaziwangu kwani walikwisha amini Geb alikuwa ndiomume au mwanaume sahihi kwa mtoto wao anna.

Siku zilisogea na kabla hata ya wiki aliyopewa Gebkuisha ili aweze kuanza safari yake ya kuelekeaCannada ,Siku moja jioni nikiwa natoka zangu chuowakati naingia ndani simu yangu ya mkononi iliitahakuwa mwingine ila ni Geb nilipokea simu nakuiweka sikioni kabla sijasema chochote aliyepigasimu aliniwahi kuongea" anna mpenzi toka nje utakuta Gari jeusi haponaomba uingie nikueleze kitu najua umchovu namihangaiko ya leo ila tafadhali kama unanipendakweli nakuomba ufanye hivyo laa sivyo utakuwaumenipoteza nakuomba ufanye hivyo mpenzi"sikubahatika kusema chochote na simu ilikatwananilipokuwa na jaribu kupiga simu tenahaikupatikana nilihakiki mara mbili ni kweli ilikuwanamba ya geb nilitua mizigo yangu yote pale palena kutoka nje kweli nililiona gari jeusi niliingiwa nahofu kubwa ila sikuwa najinsi maana ni kweli sikuwa radhi kumpoteza Geb.

Nililikabiri na kugonga kioo cha dereva ambaye sura yake kwangu haikuwangeni ila sikukumbuka niliwahi kumuona wapi nayehakunisemesha alinielekeza kwa ishara kuwa nipitemlango wa nyuma kufungua nilimkuta Gebamejiinamia ile kufungamlango iliniweze muulizavizur geb kakubwa na ninigari lilianza kuondoka na Geb aliinua kichwa na kunitazama"asante anna nina imani ni kwa upendo wako tuukwangu umeamua kujitoa ila bado kunamojanaomba pia unisaidie" aliongea kwa upole mithiri yamtu mwenye huzuni sana"kitu gani hiko Geb?" niliuliza kwa shauku la kutakakufanya chochote asemacho, alijiinu kidogo nakuingiza mkono mfukoni na kutoa kitambaa kidongo chekundu kilikuwa na maneno ila kwa jinsi Geb alivyokuwa amekishika ilikuwa ngumu sana kujuakimeandika nini"naomba nikuzibe macho mpaka tutakapo fikamwisho wa safari nitakifungua "roho ilisita nakukataa kabisa ila sikuwa na namna maaana nikwelinilikuwa nina nia na lengo la kujitoa kwa ajili yake Geb alinifunga kitambaa na baada ya nusu saanilisikia sauti ya Geb akimuelekeza yule kijanasehemu na namna ya kupark gari.

Mwisho nikasikia gari ikiwa imezimwa mara milango ikafunguliwa nakushikwa mkono nakukokotwa taratibu mara nikawanasikiasauti za baruti pamoja na watu wakiwa nashangwe kama wapo katika hafla ila bado nilihisimasikio yana nidanganya baada ya hatua kadhaa nikahisi kusimama maana aliyekuwa amenishika mkono na yeye alikuwa amesimama mara mtualikuja nyuma yangu na kuuangaliza uso wangu juukisha kunifungua kile kitambaa aaah sikuamininilichokiona angali paliandikwa happy engagement dayanna and Geb wakati bado sijakaa sawa niliona Geb akipiga goti na kuingiza mkono mfukoni nakuitoa pete ndogo ya gold" anna ni kwa ajili yakompenzi naomba ulilinde penzi langu kufatiwa napete hii ikiwa kama ishara ya kuwa upondani yahimaya yangu haikuwa furaha pekee ila isiyo nakifani kila aliyekuwepo pale alikuwa akipeperushabendera ya amani na upendo kati ya Geb na anna.

Geb aliandaa hafla fupi kwa ajili yangu ambapoalinizawadia kidani cha dhahabu na cheki ya pesakwa ada ya chuo na matumizi madogo madogompaka namaliza chuo.Ilikuwa hafla ndefu kiasiilipotimu saa sita niliomba kurudi nyumbani na Gebakanichua na gari moja kwa moja mpaka nyumbani.

"Mama anna huyu mtoto mpaka saizi usiku huubado tu ajarudi kutoka chuo"aliongea baba hukuakiwa mwenye hofu na wasi wasi mkubwa juuyangu"labda tumpigie simu mume wangu"mama alitoawazo na hatimaye lilichukuliwa kama lilivyo bila yakujadiliwa baba alichukua simu yake ya mkononi nakunipigia mara simu iliita pae walipoketi kutazamapalikuwapo na vitu vyangu vyote vya chuo walizidikupatwa na hofu zaidi juu yangu...
 
SEHEMU YA 6

Mara nikiwa na Geb simu yake ya mkononi iliitakuangalia alikuwa baba angu akimpigia akapokeakumsikiliza bila shaka walikuwa na hofu zidi yanguwalitaka kumtaarifu geb pia juu ya kutokuwepokwangu nyumbani iliwaweze jua watafanyanini."hallow baba shikamoo?" Geb alianzakumsalimia baba baada ya kuitikia tuu salamu yakesikujuanini alimuuliza geb mara nikasikia gebakisema "samahani baba ni mimi ndo nilikuwanimekujamchukua hapo nyumbani wakati ndoanarudi tuu kutoka chuo na saizi nipo naye namrejesha nyumbani niwieni radhi katika hilo wazaziwangu" sikujua kitu gani alijibiwa maana alikaa kimya kwamuda kuisikiliza simu ile mwisho akajibu sawababa nimekuelewa na simu ikakatwa akanitazamausoni na kuniambia mzee MAGESA anamtakamwanaye ,akakanyaga mafuta na kuongeza mwendo mwisho tukafika nyumbani kutahamaki wote walikuwa wamelala hivyo Geb akaamua kurudi nyumbani na kuniacha nikiingia ndani.

Nyumba nzima ilikuwa kimya nilipita mpaka chumbanikwangu na kujitupa kitandani kushtuka mlangowachumba changu unagongwa ilikuwa tayariasubuhi na mama ndio aliyekuwa akigonga mlangoakapita mpaka ndani baada ya kumruhusu aingiendani"shikamoo mama?" nilimsalimia nikiwa badonimelala" marahaba ,ndo nini anna hivi kutuweka kiroho juu jaman au kukubaliwa kuolewa ndo unajiona unawezakufanya chochote unachojisikia sio?" aliitikia nakuniambatanishia swali niligundua mama alikuwa na hasira kwa nilichokifanya jana yake"hapana mama?""ila nini ?"aliniuliza tena baada ya kumjibukishaakaendelea tena"anna nimekulea katika malezi ya tofauti sana usijenitia aibu ukubwani mama baba ako ajapendakabisa kitendo chako cha jana umetupa wasiwasikweli""smahani mama sitorudia tena."

Nilimuwahi mamaangu kabla ajaondoka "mimi nishakusamehe ila langu kubwa usijeukaiachia sana eti kisa ndo ushaaidiwa kuolewa nasisi wazazi wako tushakubali maana wanaume hawaawatabiliki wanabadilika kama mvua za masikazikiamua kunyesha zina nyesha tuu hata kama dalilizake za mawingu hazipo na kinyume chake ni sahihizaidi" nilimuelewa vyema mama angu na nilijutiakwa jana yake kuondoka bila kuwaambianimekwenda wapi ilasikuwa na jinsi.

Siku hii ndo siku ambayo Geb alikuwa akiitajikakuianza safari yake ya kuelekea CANNADA kunakoMERISA NATIONAL PARK laiti ningalijuaningemkataza na kumzuia Geb asindoke tanzaniamaana ndo mfarakano wa kwanza katika safariyangu ya mapenzi na Geb ila ningelijua huja baadaya kuwa yameshatokea nilimuaga geb ambayealikuja nyumbani kwa ajili ya kuchukua baraka zawazazi katika safari yake nilimsihi sana asijenisahau baada ya kukutana na wasichana warembozaidi yangu maana mbali na uzuri niliokawa nao ilasikuwamwenye kujiamini kwani niliamini kauliisemwayo na walimwengu kuwa uzuri wa mtu upomachoni mwa mtu ila mama yangu alininyimakabisa nafasi ya kuamini kuwa nilikuwa na mvutokwa asilimia zote na kiasi yoyote anionayeanatamani kuwa na mimi na kwa wasichana kutamani kuwa kama mimi ila nimshukuru sanamama yangu maana alinijengea dhati thabiti kwaGeb.Geb alikaa nyumbani karbu nusu saa nzima akipewa wosia na wazazi wangu kisha akaondoka sikuwa nanguvu hata za kumsindikiza hivyo ilimbidi aendemwenyewe mpaka airport.

Kwa muda wa masaasaba walikuwa wamekwishafika CANNADA nakuelekea moja moja kunako hotel ambayowalipaswa kulala siku ile kabla ya kuanza safari yaoyakuelekea katika mbuga isiyo na wanyama kwa ajiliya kutarii maajabu yaliyopo huko maana nimsituusifikao CANNADA nzima kwa maajabu ,uzurina vituko vilivyomo ndani yake.Siku ya pili Geb aliamka mapema na wenzakeDav, John,mary na janeth pia na kujiweka sawa kwaajili ya kupewa muongozaji wa safari yao na kupewamaelekezo kwa ujumla kabla ya kuianza safari yao ambayo ingewezakuchukua takribani wiki mbili haditatu mpaka kumaliza ziara yao.

Waliwasili mapokezimuda wa saa tatu asubuhi baada ya kunywa chai nakuhakikisha kila mtu yuko tayari kwa ajili ya safariile ambayo siyakutumia gari, walikabidhiwamuongozaji amaye alijitambulisha kwa jina la MIKE alianza kwakuwaelezea historia fupi juu yambuga ile"mnamo mwaka 1975 mbuga hii ilipogunduliwa nakuanza kutunzwa kama hifadhi iliitwa THECANNADA MAGIC GARDEN ambapo bado mambomengi hayakugundulika na kuipa sifa zaidi hifadhihii ya ajabu watu wengi walipenda kuitembeleahifadhi ile ambayo wala haikuwa na kiumbe hai aumnyama aliye weza kuishi ndani ile hifadhi zaidi yawatarii na ni kwa muda maalumu na kuondoka zao "aliyaongea hayo muongozaji huku akiwa tayariamewapatia kipeperushi kilichoandikwa MERISA NATIONAL PARK geb aliuliza"na kwanini merisa ?" muongozaji aliendelea"imeitwa merisa kunako mti ndani ya msitu huuuliona umbo la mwanamke mrembo na dhaniukiangalia hapo juu ya kipeperushi kunapicha ya mtiunaiyona na ndo mti uitwao merisa na ndo kubwaambalo watu huwa wanakuja kuangalia katikahifadhii.

Wote waliangalia kunako kipeperushi nakuutazama vyema mti ule.wote waliridhishwa najibu lile nahakutokea mwenye swali mwingine safariilianza rasmi kwa ajili ya kutarii kulikuwa na vituokila baada ya hatua kazaa ambapo watalii waliopitahuko mwanzo walikuwa wakiweka kambi katikamaeneo hayo kwa siku ya kwanza msitu ulikuwaumetulia kupita kiasi kulikuwa na ukimya wa namnayake ilipoingia jioni waliwekakambi mahali nakuwasha moto na kutengwa mahema matatuambalo moja alilala Mary na Janeth na pili alilaladav,mike na john na lingine alilala Geb na mizigoyote wakati bado awajaingia kulala walikaa wakiotamoto nje ya hema moja wapo huku mike akiendeleakuwaeleza mawili matatu juu ya msitu hule.

Kiukweli Mike hakuwa mwenyeji sana japo alikwisha anzakuyaelewa mazingira baada ya kuwepo pale kwamuda wa miaka miwili sasa ila bado hakutoshakuwa na uzoefu mkubwa juu ya msitu ule"kunako kambi tatu mbeleni tuuone mti huo ambaoumejawa na maajabu kupita kiasi ambao kilaifikaposaa sita usiku katikamacho ya yule mwanamkealiyejiegemeza katika mti uleuitwao merisa huwakamithiriya balbu nyeupe na humulika usawa wa kjijina karibu ya hivyo hupaswi kuwasha moto kwamiiko ya maeneo yale inavyosema" geb alidakia "kwani ukiwasha moto nikitu ganikinatokea?""kwa hapo sijawahi shuhudia maana mimi pia cna muda mwingi tangu nianze kazi hapa na sijawahikupewa historia juu ya kilichowahi kutokea baada yakufanya hivyo sasa cjui"alijielezea mike"hivi mnaonaje tukajaribu ilikuona kitakachotokea"lilikuwa ni wazo kutoka kwa geb"hapana si vyema kufanya hivyo kwa kuwatumeshaambiwa tusifanye hvyo mimi sioni umuhimumaana lisije zuka balaa hapa bure watutukaanzakutafutana" yalikuwa maneno ya janeth,wotewalicheka baada ya kumsikia janethakitoa mawazoyake.

"Acha uwoga wewe mwanamke jiamini" aliongea Dav akimtaka Janeth ajiamini na awe na moyo mkunjufujuu ya wazo la Geb lakini haikuwa hivyo kwaupande wa janeth moyo wake ulikataa kabisa kuafikijambo lile mwisho muongozaji ilibidi atoehitimisho."sikilizeni ndugu sio mimi wala nyinyi sote niwageniatuwezi kujua kwa nini tulipewa miiko hii tafadhalitusijaribu kuivunjaa maana hatujui ni lipi litatokeanani vipi tulikabili baada ya sisi kukiuka miikotuliyopewa miminaona ni vyema tungeendelea tuuna mambo yetu mti tutaupita tuuu na kuangaliamaajabu menginemakubwa yaliyopo ndani ya msituhuu"
 
SEHEMU YA 7

Wote walikubaliana na kila mmoja aliingiaanakostahiki kwaajili yakujipumzisha Geb alikuwapekeyake chumbani kwake akiwaza mengi hasaalipenda kufanya jaribio la kuwasha moto sikuatakapo ukaribia mti ule wenye taswira ya mtualimkumbuka anna pia ambaye alimuacha tanzaniamuda mfupi tuu maana haikutimia hata wiki tanguaondoke tanzania.hatimaye akapitiwa na usingizimzito kutokana na uchovu wa mihangaiko ya sikuhiyo nzima na kama ulivyomwili wabinadamu huitajikupumzika pale tuu uingiapo usiku maana imekuwakama kanuni na sheria katika maumbile yetu maanani ngumu kupinga kutosinzia kwa muda wa masaaishirini na nne na ndivyo ilivyotokea kwa geb alilalapasipo kutaraji na akiwa bado ajaamua juu ya kilealichokuwa akikiwaza.

Haikuwa rahisi kwangu niliyaona mengi katikamacho yangu roho iliniuma sana ila sikuwa na jinsiila kumuacha geb akatafute pesa ilituje kuwa nafamilia bora na watotowetu wasijepata tabu namatatizo madogo dogo.hakuna ambaye hakutambuakama furaha yangu ilitoeka ghafra haikuwa chuoniwala nyumbani sikutamani kusoma tena japotulikuwa karibu na mitihani ila sikujali hilomaranyingi nilikuwa nikienda tuu chuo ila sio kwa lengola kusoma na hata sikuwa nikisoma nilitamani gebarudi ila ilikuwa ngumu sana .

Siku zilisogea hatimaye nikazoea na kuendeleakujisomea kama kawaida siku za mitihani ziliwadiana nikafanya mitihani yangu vizuri bila kikwazochochote na kutulia nyumbani nikisubiri matokeo.wiki sasa ilipita na safari ya kina geb ilikuwa ndokwanza inakaribia nusu ilikufikia ukingoni siku hiiwaliweka kambi tena sehemu kwa ajili yakujipumzisha walipotaka kuwasha moto mikealiwakataza"hapana msifanye hivyo zimebaki hatua chache tuutuufikie huo mti wa ajabu na kunako kutimu saa sitakamili usiku mutaona msitu ukibadilika na gizakutoeka na kuwa kama mchana " sio siri kila mtualifurahishwa na kwa kuona tayari watakuwamaweifikia nusu ya safari hiyo maana walijua fikamti huo upo katikati ya msitu ule hakuna aliyekubalikulala pasi na shuhudia maajabu ya msitu ule kilammoja alikuwa radhi kukesha ajionee maajabuyaliyokawepo ndani ya msitu ule stori za hapa napale zilizuka utani kwa sana ilimradi tuu wasiwezekupitiwa na usingizi huku kilammoja akiwa makinina saa yake ilikukaa tayari pale itakapo karibia saasita kamili mara Dav aliitazama saa yake nakusema zimebaki dakika mbili kutimu saa sitakamili kila mmoja alihakiki kupitia saa yake nakuungana na Dav kuwa alikuwa sahihi .

Wote walikaa kimya kusubiri mpaka dakika mbilizilipopita na kutimu saa sita kamili mwanga ulianzakuangaza poli zima na kufanya wajione ilikuwamchana uliofunikwa na giza zito na sasa giza lileliliondolewa ulikuwamwanga mkali kweli uliokuwatayari hata kuumiza macho ya watu ila walipewamiwani ya kukinga macho yao kabla hawaja dhurikana walipoona mwanga unazidi kuwa mkali walivaamiwani ile ili wasijepoteza nuru za macho yao.Ilikuwa ajabu sana kwao wote na hikuwahi kutokea kukutana na ajabu kama ilewaliweza kukutana na miti yenye matunda mfano wa umbo la mwanamkemti wenye matunda mfano wa maumbile ya kiumeila mtiule ulikuwa na maajabu zaidi."hivi mike ni muda gani tunaweza kuufikia mti huukutoka hapa tulipo" aliuliza geb kama ilivyo kawaida yake ya kuhoji kila jambo" inategemea na jitihada zetu ila na zani keshotutaweza kukaribia kabisa kuuona mti huo" mikealijibu swali la geb kwa ufasaha zaidi japo hakuikizi haja ya geb maana geb alitamani kufika katika mtihule mapema zaidi maana nafsi ilishamtumakufanya jambo.

Walikaa kwa muda huku wakielezanaya hapa na pale mwisho mike aliaga nakwendakulala akabaki Geb na Dav hali ya kuwa wotewakiwa wamelala"unajua mimi natamani sana kuonakitakacho tokeabaada ya kuwasha moto "aliongea Geb kwa sauti yachini akiwa kama ana mnong'ong'oneza dav"mmh! Geb mi naona tuache tuu yasije yaka tutokeapuani" aliongea dav na yeye akaingia ndani ambakoalimkuta john akiwa amekwisha lala ajielewi kabisana yeye akajiweka pembeni yake na kuvuta shukawala haikuchukua muda mrefu tayari na yeyealikuwa katika sayari mpya ya kuijenga kesho yake.

Huku nyuma geb alikusanya majani kiasi navijivipande vya miti na kuviweka pamoja kishaakatazama kushoto na kulia kama kuna yoyotealiyekuwa akimtazama juu ya kile alichokuwaanakifanya ila hakubaini uwepo wa yeyote mahalipale ndipo alipo chukua kiberiti na kuwasha motona kuusubiri mpaka utakapo zima, haikutokea dalilimbaya yoyote wala baya kwa upande wake na hataalipojaribu kuangaza huku na kule bado kulikuwashwari. ndipo alipoamua na yeye kuiuka na kuingiandani kujilaza.

Ghafra alihisi usingizi mzito sanabaada ya muda alijikuta katika himaya tofautiilikuwahimaya ya kifalme ambapo Geb hakuwezakujua kuwa niwapi pale au ni himaya ipi ilealizungukwa na watu wenye sura mbaya na zakutisha bila shaka mara akasikia sauti ikitoka kwamwangwi"mleteni hapa mbele yangu" aliinuliwa geb ktokapale alipokawa na kupelekwa mpaka kule ilikotokeasauti ile akiwa anaburuzwa, naam ilikuwani himayaya kifalme sasa geb alithibitisha zile fikra za akiliyake alikuwepo mzee mmoja aliyekalia kiti chathamani kubwa na hata mavazi yake yalikuwa nathamani kiasi geb alimtambua vyema kuwa ndiyemfalme pembeni yake alikuwapo mwanamke mzurimwenye asili ya kiarabu Geb aliweza kumgunduapia kuwa bila shaka ndiye malikia wa himaya ile ilabado alikuwa ajaelewa haswakilichomfanyaapelekwe kule haswa kilikuwa nikitu gani.

Ghafrah mfalme alitoa hukumu ya kumtoa uhai Gebkwa kumuingiza katika miamba moto iliyopo chiniya ardhi punde ikasikika sauti ya mtoto wakike"hapana baba adhabu hiyo hailingani na uzitowakosa alilolifanya hata hivyo huyu ni binadamu yupotofauti xana na sisi ambao siku zotetumezaliwa,tumekulia na tunaishi katika himaya hii"
 
SEHEMU YA 08

"kimya mwanaharamu wewe"alikatishwa na sautinzito ya mfalme iliyojawa na ghadhabu pamoja nahasira baada ya kumsikiliza binti yake kwamudamrefu bila kuweza kutia neno ndani yake bilashaka kilichosemwa kilikuwa na ukweli ila mfalmehakutaka kabisa kuingiliwa katika himaya yake nahasa upande wa maamuzi. Ndipo mfalme alipopatwa na hasira na kuamuru vijakazi wake kuwakusanya wote wawili na kuwa weka pamoja nakesho yake kutupwa katikamiamba moto huko chiniya ardhi. Ilifanyika kama mfalme alivyosema nahatimaye asubuhi ilifika hakuna aliyemsemesha mwenziwe tangu usiku ule mpka kunapochomozajua walipo kuja kuchukuliwa na kupelekwa kunakomiamba moto aridhini ambapo yule msichana alipewa heshima yake bado akiwa kama mtoto wa mfalme hakuwepo aliye amini kama mfalme angeweza kumfanyia vile binti yake tena wa pekee ila pia hakuwepo aliyeweza kufahamu ukweli juu yabinti yule zaidi ya mfalme na mkewe pekee.wakati wapo njiani binti alijaribu kumuuliza mfuasiwake ambaye alimlea tangu yungali mdogo mpaka pale alipofikia kama inawezekana kweli yeye kutupwa miamba moto na baba yake mzazi maana tayari akilini mwake lilikuja wazo jipya kuwa uwendahakuwa baba yake mzazi.

Japo alielezwa mengi juuya matukio mbali mbali ya baba ake tena ya kutishana mengi yalijawaukatili na uonevu ijspo kuwawalikuwa wakimkosea mfalme ila aliwapa adhabukali na nzito tofauti kabisa na uzito wa kosalenyewe. mara Geb akashitu kumbe ilikuwa ndotombele yake alikuwa mike aliyekuwa akimtikisamguu kwa muda wa kama dakika ishirini bilamafanikio yoyote ghafra geb alifumbua macho"kulikoni mshikaji mbona unalala hivyo kama haupokazini bwana" aliongea mike huku akinyanyuka"daaah sijui hata nimekubwa na nini kwaniumeniamsha muda sana ?""nusu saa sasa nipo na wewe hapa tunapigizanakerere tuu wala au amki ""Daaah samahani bhna sijui hata nilikubwa na niniuwenda ni uchovu tuu" aliongea Geb ilikumuwekasawa muongozaji wa safari ile .Baada ya mudawalijiandaa na safari kuanza upya ilikuu karibia mtihuo wa maajabu .

Hatimaye nilimaliza vizurimitihani yangu na kufanyasherehe kubwa ya mahafari kwa pale chuoninanyumbani pia nilifanyiwa sherehe ya kupongezwajuu ya kumaliza kwangu elimu ya chuo kikuu sasanilikaa nyumbani nikisubiri majibu iliniwezekujishikiza popote nitakapo bahatika siku zote hizonilikuwa nikiwasiliana na Geb kwa mjia ya Email nakumjuza mambo mbali mbaliyaliyokawa yanatokeahuku upande wa pili wa shilingi hata majibu yamitihani yalivyotoka na kuonyesha nimefaulu vizuripia siku acha kumjulisha maana sasa nilianzakumuona Geb ni zaidi ya kila kitu kwangu naupendo wangu uliongezeka mara dufukilanilipokuwa nikifikiria kuwa ndoa yetu ipo karibuzaidi ili nasi tuweze kuwa mwili mmoja.

Sasa zilibaki takribani wiki mbili Geb arudi naulishatimu mwezi mmoja na wiki mbilitangu gebaondoke. Siku hii baba na mama waliniita na kutakatuongee baadhi ya mambo,"Abee mama" niliitika nikiwa wima"pita uketi tuna maongezi mafupi na wewe" alisemamama huku akinionyesha pakuketi kwa mkononaminilifatiza kama vile mkono wake ulivyo onyeshanikaketi na kuwa tazama " anna mama?" aliniitababa"Abee baba""unajua zimebaki siku chache tuu mchumba wakoGeb aweze kurejea tanzania na wewe tayariumekwisha maliza kusoma sasa nimikakati ganiambayo mko nayo mpaka sasa juu ya ndoa yenupindi atakapo rudi?"aliongea baba akitaka kujua ninikinaendelea maana ulipita ukumya mwingi tangunilipo wasiliana na Geb wakati wakumueleza juu yaufaulu wangu chuoni " mara ya mwisho nilimuelezajuu ya matokeo ya chuo ambapo yeye pia aligusiasuala la maandalizi ya harusi ila bado sijaenda kuchukua pesa ilituweze kujua tuna fanyaje

"Hapo ndipo ilipokawa furaha ya mama angu maanaaliwaogopa sana vijana wa kileo aliwaza uwendageb akawa miongoni mwao kuwa ashatambulishwakwetu sasa anakimbia nyumba na kutafutamwingine ila kwa Geb haikuwa hivyo maana alikuwanizaidi ya mwanaume muaminifu kwangu, Tulipangakwenda kuchukua pesa na kuanza maandalizi yaharusi kukicha niliiyandaa harusi yetu katika kichwachangu nilitamani sana Geb arudi ilituipambe harusiyetu ila bado halikuwa tatizo maana baba na mamawalikuwa bega kwa bega na mimi na tuka andaakila kitu kikawa sawa tukawa tuna msubiri Gebpekee aweze kurudi ili vikao vya harusi viwezekufanyika .

Siku hii Geb alikuwa mkimya sana akiitafakali ndotoyake ambayo aliota amepelekwa katika falme zamajini mwituhakuelewa kabisa yaliyotokea nandotoile haikumuingia akilini kuwa ilikuwa ni ndoto tuu zakawaida kama ndoto nyingine akilini mwakealisema lazima kuna kitu hapa aiweze kani nikaotandoto kama hii wakati anayawaza hayaakujuakumbe alikuwa akiongea kwa sauti kabisakiasi wenzake waliweza kugundua kuwa Geb hakuwa sawa" una nini ?"aliuliza janeth huku akimshika bega Geb"am,,, am,,,amna"alijibu huku akibaba ika hukuakiwatazama wenzie mmoja baada ya mwingine"tuambie umeota ndoto gani mbaya"aliuliza mikesasa Geb alishindwa kabisa kujitetea na kukaa kimya kila mmoja alimshawishi katika aina yake.

Geb alikuwa mzito sana kuielezea ndoto ile maanakwake ilimjia kama nikweli yale yaitokea kwaupande wake baada ya kuona wamemaliza muda mwingi kumuuliza kuhusu ilo na jibu halikupatikana sasa waliamua kuendelea na safari ambapo baada ya hatua kadhaa mike alisimama na kuwa geukiawe nzie na kuwa ambia "tumeshafika sasa kunako mti wa maajabu kilammoja alikuwa tayari kusikiliza huku wakiangazahuku na huku iliwaweze kuuona mti ule wa maajabu baada ya kupewa maelekezo ya namna za kuufikia mti huo walitoa camera zao kwa ajili ya picha na kusongea mbele kidogo ambako waliweza kuuona mti hule kiurahisi zaidi hatimaye waliuona kila mtu aliusogerea na kutaka kupiga picha pembeni yake ilipofika hatua ya Geb kutaka kupiga picha alitaka kwanza kuushika mti ule ambao katika mikono yake kulichuruzika maji mfano wa chemichemi iliyo hai aridhini.

Alisogea akapitisha mkono wake katikashavu la ule mti wenye tawira ya mwanamke Ghafra ilitokea sura ya yule msichana aliyemuona akiwandotoni akitabasamu na kupotea alisita kufanyahivyo akarudi nyuma akatazama kama kuna yoyotealiyemuona kati ya ule msafara hakuwepo akafanyavile tena mauza uza hayakuacha kumtokea walipigapicha na kuifurahia safari yao napo walikuwawamefika nusu ya safari yao na maajabu yaliyokawayamebakia katika msitu ule yalikuwa machache nalile ndo lilikuwa kubwa,"mti huu hutumika kutengenezea dawa za magonjwambali mbali ikiwa kama kuotesha meno namengineyo na dawa zake huwa gharama sana nahakuna nchi waliyoweza kuzitengeneza dawa hizo kwa kutumia mti huu zaidi ya India peke yake napo alikuja mwanachemia mmoja ndo alipogundua ponyola mti huu.

Ila ajabu jingine katika mti huu nikwamba hauna miche kusema uchukue ukapandepengine au kusema ukate kipande ukakipandesehemu kingine maana hakitoota kamwe" alifafanuamike baada ya watalii wake kutulia kwa purukushaniza kupiga picha za hapa na pale"Oooh kwa hiyo huu ni mti pekee duniani kote ?"aliuliza janeth akiwa na shauku kubwa la kutakakujua"ndio na kwa upande wangu sijawahi kusikia kamakunamti kama huu na kama upo basi badoaujajulikana ila huu mti ni wakipekee sana "alijibumike kwa msisitizo na janeth alimuelewa vizuri sana Mike"na vipi kuhusu hiyo hospitali tunaweza kuiyona ?"aliuliza Geb huku kichwa chake kikiwa bado hakijakaa sawa"ndio tena nilisahau kuwaambia tripe za kuendakatika hiyo hospitali inakuwa kama zawadi kutoka kwetu na kutibiwa huko pia inakuwa juu yetu na hata kuhusu safari yako na gharama zote zitakazohusu safari pia tutahusikanazo"kwa umahili wa mike katika kuongeanidhahirialikuwa na rafudhi nzuri upangiliaji wamaneno na kaulizilizo njema kiasi mtu kuhamasikawote waliweza kumuelewa baada yamapumziko mafupi waliendelea na safari.

Hatimaye gizalikaingia kwa mahesabu ya guider mike walikuwahawachukui wiki watakuwa washa maliza ziara yao.Giza lilitanda na usiku uliandamana kwakishindokulivamia jua na kuliondoa kabisa kaika usowadunia nakuwa fanya watu kuangaika kwa vijitochi iliwasiweze kupatwa na madhara maana badowalikuwa karibu na ule msitu hivyo hawakupaswakabisa kuwasha moto mahali pale maana ilikuwahatari kwao wakati wamekaa wanajadili la hapa napale mara Geb alisikia sauti ya mwanamke akilia nakumtaja jina lake"Geeb Geb njoo unisaidie Geb?" Geb aliinuka nakuisikiliza sauti inatokea wapi"Jamani tumsaidieni " aliongea Geb huku akiwa nahofu kubwa sana wote waliinuka na kumtuliza Geb" kulikoni Geb mbona hatukuelewi?" aliuliza marybado Geb alirudia kauli yake na kuanza kukimbiakuelekea kusiko julikana walimfatisha nakumkamata na kumtuliza tena chini"kulikoni Geb ?"aliuliza Dav sasa Geb alikuwa yuposawa naakili zake zilikuwa zimerudi kama kawaidaaliwatazama mmoja badala ya mwingine alitamanikusema jambo alishindwa walimuomba awaelezekinacho mtatiza ila bado lilikuwa tatizo Gebhakuweza kusema chochote,

Mwisho storyilibadilika na Geb alikuwa wa kwanza kulala ila chaajabu siku hiyo japo walikuwa bado wapo karibu naule mti ila mwanga ule ambao huwa unawaka kilaifikapo saa sita usiku kwa siku hii haukutokea tenajambo ili lilimpa sana hofu mike kulingana nauzoefu wake pia katika msitu haikuwahi kutokeakabisa wakati anatafakari jambo hilo akakumbukakauli aliyo ambiwa na geb mchana wa siku ilebaada tu ya kuanza safari upya kuelekea mbelekidogo na mti ule wa maajabu" mike unauhakika kabisa msitu huu hauna vioja vyamajini ?" swali ambalo mike halikumuingia akilinikwa muda ule ila sasa lilijirejea kichwani mwakeikiwa kama msisitizo wakati huo kila mtu alikuwaamekwisha lala alitamani kwenda kumuamsha Gebwalijadili ilaiikuwa ngumu kwa hilo kwani Gebalikwisha lala zamani wakati bado anatafakarialipitiwa na usingizi.

Yapata saa nane na nusu usiku Geb anaisikiasautikama ile aliyokaisikia mara ya kwanza ikimuita nakulalama kuomba msaada kutoka kwa Geb, Gebalianza kupagawa tena ila hakutaka kumuamsha mtumara hii sauti ile ya mtt wakike ilimuumiza sanakwani mwanamke yule alionekana kuna kitu kilikuwakikimuumiza sana naaliitajia msaada kutoka kwaGeb,Geb aliinuka na kutembea kwa kunyata mpakakatika hema walilolala mike, Dav na John kisha kwamary na Janeth alipo hakikisha wamelala wotendipo alipoanza kunyata taratibu ili asijekuamkayoyote na kujua kama alikuwa akiondoka kinyemela...
 
SEHEMU YA 9

Aliifata sauti ile bila mafanikio yoyote baada yakuona amepoteza muda mwingi sana katika poli lilealirudi kulala asubuh waliendelea na safari ilikuwezakukamilisha mzunguko wa kwenda na kuanza kurudiwalikotoka alifanya hvyo mara tatu kila usikuulipoingia na kuisikia sauti ile katika msitu ule hukuikimuita kwa jina lake na kumtaka msaada sikumoja wakiwa wapo katika pita pita za utalii wao Geb alikuwa nyumakabisa na mike alimuuliza tenatena mike"mike unauhakika kabisa msitu huu hauna vioja vyamajini ?"

Swali ambalo lilizidi mtia shaka mike nakunza kuwaza uwenda kukawa nakitu cha ajabuambacho Geb kilikuwa kikimsumbua kiasi anakosaamani ilahakuelewa moja kwa moja aliendeleakutafakari swali lile ila bado hakupata jibu usikuuliwadia kamailivyo ada watu hukaa nje na kuongeamawili matatu kisha kila mmoja kuingia katikahema lake na kulala ilipotimu saasita usiku sasailikuwa kama kawaida kwa Geb alishitushwausingizini nasauti ya msichana yule yule aliyekuwaakimuita siku zote na kumuomba msaada leo Gebalisema liwalo na liwe lazima aonane na yulemsichana alitoka nje Geb nakuangaza macho katikapembe zote za mahali pale kisha katuliza akilikusikiliza vizuri sauti ilipotokea akarudi ndani yahema na kuvaa koti kubwa ilikujikinga na baridindani hakuwa amevalia chochote akaanza ifata ilesauti taratibu mpaka ikafika mahali sasa sauti ileilimuonyesha ilitoka mahali karibu kabisa na palealipo akasimama na kutazama kushoto na kulia ghafra aligongana macho na msichana mrembo mwenye uzuri wa rangi macho ya makubwa na meupe nywere ndefu mpka mgongoni alionekana na asili ya Kighana alikuwa uchi wa nyama hakuwa nanguo hata moja na alitetemeka sana kwa baridi.

Geb alishitushwa na hali ya kumkuta msichana yule mahali pale akiwa uchi alijiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu"amenijua je huyu msichana mpaka akaniita kwajina langu?,alifika kufanya nini mahali hapa ? mbonayupo katika hali kama hii?kakutwa na nini dadahuyu?" maswali yote kichwani mwake yalikosamajibu alipo mtazamadada yule machoni aligundualihitaji msaada wa dhati kabisa mahali pale"tafadhali Geb nisaidie nina teseka mahali hapa"alisema msichana yule kwa sauti ya chini hukumachozi yakimlenga katika mashavu yake.

Gebalipiga goti na kuvua koti alilo kawa amelivaa nakumfunika yule msichana kisha akamuinua mahalipale palipo na majani mengi na kumkalisha katikamoja ya jiwe lililo kawepo karibu na pale alipokawa amemkuta msichana yule "unatatizo ganidada angu na mbona nimekukuta mahali hapayaonyeshahaupo sawa lazima kuna kitu kinasumbuanieleze una nini au kimekukuta kipi?"aliuliza Geb"ni kweli ngumusana kumkuta mtu katika msitu huutena akiwa katikahali kama yangu ila nakuombaunipe hifadhi kwa leo kesho asubuh tukiamkanitakuelezea tatizo langu"alimjibu dada yule hukuakimuomba msaada wa hifadhi Geb"dada angu nitakuhifadhi wapi mimi maana mimi ni mtalii tu katika msitu huu na hata sina mamlakayoyote mahali hapa nitakuweka wapi dada angu?""hapo hapo ulipo nikwausiku wa leo tuu ikifikakesho asubuhi nitakuwa ninapo pa kwenda tafadhalinisaidie kwa hilo tuu"aliongea maneno ya upole yulemsichana yakamjaza hofu na huruma Geb.

Mwisho geb aliamua kuondoka na yule msichana mpakakatika hema alilokawa akiishi na kulala wote.Asubuhi ilipofika Geb alichelewa sana kuamka kiasiwatu waliogopa kila aliyejaribu kumgusa ili awezekuamka hakuamka mwishoni ndipo alipo shituka nakukuta watu wote wakiwa ndani ya hema lake chakwanza alipo amka alimuulizia yule msichanaaliyekuwa naye ambaye alifanana sana na yulemsichana aliyekutana naye katika zile falme za jinimwitu"yuko wapi yule msichana aliyekawa amelalahapa?"aliuliza huku akiangaza huku na kule"msichana yupi ?"Mike alikuwa wa kwanza kuhoji"kuna msichana jana nilimtoa huko bondeni akiwahana nguo nikamstiri kwa koti langu na kuleta humundani alidai anatakahifadhi na ana matatizomakubwa akasema ikifika asubuhi atanieleza kilichomsibu" wote walicheka kwa kumdhihaki Geb nakuondoka huku wakiuhimiza kuaamka na kujiandaamaana muda ulikwisha enda isipokuwa Mikeambaye tayari kuna picha ilianza kumjenga katikakichwa chake"Geb unanini mbona hatukuelewi?"alisema mikeiliaweze kuelezewa vizuri akiwa peke yake.

"Ni kweli gaider maana kama ingekuwa ni ndotobasi lile koti langu ningeliona ila cha ajabu hata kotilangu nililo mpa kama msaada nalo aliondoka naloni kweli Mike nilimuona ule msichana na niyuleniliyekutana naye katika falme za jini mwitu "aliongea Geb bila nukta hakutaka kusimamishwahata alitaka aelezeee yote bila kukwama ila badomike alikuwa njia panda akijiuliza ni jambo ganilililopo katika ule msitu na lilitaka kujidhihirishakatika upande wao aijawa nahofu sana ila hakujuacha kufanya alimuacha Geb akijiandaana yeyekutoka njee wakimsubiri baadaya muda tayari Gebalikuwa amekwisha jiandaa na safari ya kumaliziautalii wao ilianza kulikuwa na utani mwingi kati yaoila Geb na Mike walikuwa kimya muda wote kilammoja akitafakari la kwakehakuna aliyejari ukimyawa watuwale wawili na wote waliendelea na storizao za hapa na pale.

Geb ndiye aliyekuwa wamwisho katika msafara ule ambapo sasa walifikakatika mto wenye maji ya ajabu ambapo Mike sasaalikuwa akiwaelezea chimbuko la maji yale" maji haya yalitokea katika chemchem ndogoiliyopo katika ile miguu ya yule mwanamke katikaule mti na kutembea taratibu kama mfereji mdogowa maji na kufika mahali hapa ambapo pamekuwakama kituo kikubwa " wakati mike akielezea kuhusumto ule Geb akiwa mbali kabisa kimawazo ghafraakahisi mtu akimshika bega alipo geuka hakuwamwingine alikuwa ni ule msichana aliyemsaidia janayake akiwa ameshika koti mkononi"asante sana Geb kwa msaada wako nimekujakukupa kushkrani na kurejesha koti lako japo jananiliondoka nalo bila ridhaa yako na kuhusu nilifatanini mahali pale au nilikutwa na nini mpka nikawamahali pale nitskueleza siku moja"" kwani wewe unaitwa nani?" aliuliza Geb kitendokilicho wafanya watu wote wamgeukie nakumtazamaalikuwa akiongea na nani ila waliweza kumuona Geb akiongea ila ilikuwa kazi kujua Geb alikuwa akiongea na nani katika msitu ule tena ni mtu ambaye wao hawakumuona wala kumsikia"naitwa merisa na ndiye mmiliki wa msitu huu kwasasa" alijibu yule msichana na kupotea.

Geb alitamani kumuuliza swali jingine ila kabla hata ajaliweka vizuri swali lile kichwani mwake msichan ayule alikuwa tayari amekwisha potea katika mboni za macho yake, kutahamaki aliwakuta wenzie wakimshangaa."vipi Geb ulikuwa ukiongea na nani?"aliuliza mike"yule msichana niliye waambia leo asubuhi nakanirejeshea koti langu" wote walicheka kwa dharau"Geb acha kuota ndoto za mchana bwana msichanahuyo mbona sisi hatuja muona ?" aliongea marryhuku akionyesha kutomuamini kabisaaa Geb juu yakile akisemacho mike alitazama uhalisia maana nikweli Geb hakuwa ameshika koti tangu wanatokahemani ila bado swali lilikuwa kwa nini ni Geb pekeyake na si mwingine au Geb amefanya kosa ganikatika ule situ mpka yamkute hayo yote ila badojibu halikupatikana kwa uwakika.
 
SEHEMU YA 10

kwa upande wa Geb bado halikumuingia akilini etianaota juu ya jambo lile mbona yy aliona kama nikeli lilikuwa likitokea mbele ya macho yake mbalina hilo hakutokea hata mmoja aliyeweza kuaminikauli zake, ila alijiuliza kama sio ndoto kwa ninialikuwa akimuona peke yake msichana yule Geb alijipa maswali mengi kiasi kwa siku ile hakuwezakuandika taharifa yoyote katika msitu ule alianzakuwa na hisia mbaya juu ya yule mwanamke nahata ule msitu pia.

Jioni ilipoingia watu waliwashamoto na kuketi wakiuzunguka na kupiga stori ni Geb pekee aliyeonekana kuwa kimya na walahakutokea yyte aliyekapatwa na wasi wasi juu yahali aliyokuwa nayo Geb na baada ya muda kuwaumeenda sana kila mmoja aliingia katika hema lakena kulala isipo kuwa Geb bado aliendeleakuchochea moto na kutafakari yote aliyokuwaakiyashuhudia kwa macho maangavu ila watuwaliyaita ndoto mara Mike alitoka katika hema lakena kumkuta Geb akiwa bado ajalala.

"Geb nini tatizo mbona umekuwa unakosa furaha nakuwa na mawazo mengi kiasi hiko?"swali la mikelilimtoa Geb katika msongo ule wa mawazo"hivi una uhakika katika msitu huu amna tatizololote?" aliuliza Geb akiashiria kutaka kujua kitukilicho na uhakika zaidi"sikia Geb mimi sina muda mrefu tangu niajiriwekatika huu msitu nikiwa kama muongozaji wa wataliihii ni safariyangu ya nne tangu nianze kazi mahalihapa na hapo nyuma sijawahi kusikia tatizo lolote lile likijitokeza katika msitu huu kwa wenzangu hata kwangu kwani Geb emu nieleze tuu ukwelinikituganinilisema watu wasifanye wewe ukajaribu kufanyahata kam ulifanya kwa siri we niambie tu usiogope maaana hili nitatizo sasa na namna ya kutatua tatizoni ngumu mpaka ujue chanzo chake ni kipi?"

Geb alijarbu kurudisha akili yake nyuma kujua kitu gani alikifanya wakati aliambiwa asikifanye ndani yamsitu uleila akili yake ilikataa kabisa Geb hakukumbuka jambo lolote wakati ule"siku mbuki mike na sijui kwanini ni mimi tuu""basi usijali tatizo litaisha tuu tumebakiza siku tatukutoka ndani ya msitu huu, ila ningependaukajipumzishe maana muda umeenda sana" Mikealimsihi Geb na kuingia ndani ndipo Geb na yeye alipozima moto na kuingia ndani kulala asubuhi ilipofika kila mmoja aliamka na kujiandaa na safari isipokuwa Geb hakusikika akiamka katika hema lake ndipo walipo anza kugongea kwa nje kama ilivyo kawaida kuwa walisha mzoea Geb alikuwa akichelewa kuamka walianza kuongea mara"oooh huyu bwana na yeye amezidi sasa kila siku anachelewa kuamka ndo nini?"mwingine"aaah hii sasa imezidi mbona kurudishana nyuma huku sasa kilasiku mtu mpaka uamshwe utafikiri haujui majukumu yako ya kazi bwana" kila mtualisema la kwake na kwakuwa walijaaliwa midom obasi hakukuwa na wa kuwakataza wasiongee.

Mike aliyekuwa akimgongea Geb sasa alianza kupatwa na hofu ikabidi apitishe mkonowake sehemu ya hemailiawezekuvuta kamba ya kufungulia mlango, mlangoulipo funguka akaingia ndani bahati mbaya Gebhakuwepo alijaribu kumtazama huku nakule ila Gebhakuonekana alitoka nje huku jasho jembambalikimtoka"vipi ameamka sasa huyo kibosile ?" aliongea marry"Geb hayupo humu ndani"alijibu mike baada yakuona shauku yao ya kujua alichokawa anakifanyaGeb ndani kiasi watu wana mgongea asikii, sasawalipatwana hofu juu ya jibu a Mike ilibidi waingiekuhakiki kwa macho yao na kweli hawakuwezakumuona Geb walitoka kila mmoja akiwa aelewi chakufanya lilikuwa swala gumu na zito kwa upande waMike kwani kibarua chake kilikuwa na hatia yakunyemelewa na nyasi baada ya mtalii mmoja kupotea tena katika mazingira yasiyo eleweka hivyowalikubariana kujarbu kuzunguka sehemu za karibu kumtafuta uwenda wange weza kumpata.

Mwanga wa jua ulimpiga usoni baada ya sehemukidogo ya hema kuwa wazi palikuwa kimya mahalipale akasimama na kwenda kutazama katika mojaya dirisha ilikuwatazama wenzie kama na waowalikuwa tayari wamekwisha amka cha ajabu nachakushangaza hakuona hema lolote mahali palewakati bado anaendelea kuangaza huku na kulealishitushwa na sauti ya mwanamke mremboambaye sura yake haikuwa ngeni machoni mwakemkooni alikuwa na trai iliyobeba chupa ya chaimkate kikombe pamoja na sahani"pole na uchovu wa usingizi Geb najua leo utakuwaumechoka sana kufuatiwana safari yetu ya jana ilausihofu nimekuandalia chai ya tangawiziikuchangamshe mwili" yalikuwa maneno ya upole kutoka kwa mwanamke yule huku akiiweka trai ilekaribu kabisa na kitanda, Geb alimtazama kwamuda huku mapigo ya moyo yakimuenda mbiohakuelewa imekuwaje mwanamke yule kuwepomahali pale"umefata nini mahali hapa kwani kosa langu nilipimbona kilakukicha unafata nyayo zangunimekukosea lipi?"

Hofu yakuwa uwenda yulemsichana akawa sio mtu wa kawaida sasailimuingia kichwani Geb hakutamani hatakumsogelea alijuta hata ni kwanini alimsaidia sikuile hakuwa mwingine ila ni merisa"usijali Geb mimi ni kiumbe wa kawaida sina lengobaya na wewe na nimekutoa kule ulipokawa nawenzako kukuleta hapa kwa makusudi maana ninamaongezi na wewe na kwa siku ya leo hawato wezakukuona ""na kwanini ufanye hivyo huoni kama utakuwaunawapa kazi ya kunitafuta pasi na kujua niliponiache niondoke tafadhali " Geb aliukaribia mlangona kutaka kuondoka ghafra hema likawa giza nahata pale palipotegemewa kupitisha mwanga napohapakuwa na msaada juu ya giza lile totoro sasailisikika saut tuu ya msichana merisa .

"Kwa hapa ulipo usijidanganye auwezi kwendapopote mpaka nitakapo ridhia mimi na niekuletahapa sina ubaya na wewe ilanakumbuka kuna sikuuliniuliza mimi ni nani na ilikuwaje ukanikuta mahalipale na leo ndo nilitaka kukueleza yote hayo maananajua una siku chache sana za kukaa ndani ya huumsitu" baada tu ya kumaliza kuongea maneno hayomwangaza ulirejea tena na Geb alisogea karibu nakitanda kusikiliza msichana yule, baada ya kuketikaribu na kitanda merisa alimimina chai katika kikombe na kumkabizi Geb"kwa jina kama nilivyokueleza hapo awali ninaitwamerisa hapo mwanzo panapo msitu uliitwa THE CANNADA MAGIC GARDEN ilikuwa zamani sana kabla hata ya mimi kuwepo katika ulimwengu huu lilikuwa nipori la watalii mbali mbali lililo milikiwa na mama wa Kighana ambaye aliitwa GRORY DANIEL kwa sasani marehemu mama huyu aliamiamahali hapa na kununua eneo hili na kuanzishasehemu ya utali wakati huo alikuwa akihitaji nguvuzaidi kwa ajili ya ulizi katika uharibifu wa mazingirandani ya pori hili.

Ndipo alipoafuta mtu atakaye wezakumpa ulinzi mkubwa ambao utakuwa tofauti nabinadamu akapewa himaya ya majini, waliostahimili kukaa mwituni kwa kipindi chote chamaisha yao huitwa majini mwitu ambao chimbukolao ni watoto wafu na maiti za watu wazimawatakao kufa na kuzikwa bila kufuata sheria ya diniyoyote" aliweka kituo na kumtazama Geb kwa makiniambaye alikuwa akiweka fundo lake la pili mdomoniilikumsikiliza vizuri"pori lilikuwa na kujengewa heshima kubwa sana nakila siku kulikuwa kukivumbuliwa vivutio mbalimbali ambapo watu wengi walipenda kwendakupata upepo na familia zao palipo namsitu usionawanyama ila miti yenye harufu nzuri na hewa safi kila kukicha siku moja pori lilipata wageni, wageni ambao walikuwa mke na mume ambao walikuja kupata upepo katika kipindi ambacho mke alikuwa mjamzito waliweza kufika mapokezi na kupewa maelekezo yote na kupatiwa msindikizaji.

Walizunguka nusu ya pole na sasa walikuwa katikatiambapo mwanamama JULIETH alianza kuhisimaumivu ya tumbo nakushindwa kabisa kutembeaalilalama kwa uchungu nakukaa chini alishika tumbolake nakuliminya katika kitovu chake damuzilianzakumchuluzika na hatimaye akajifungua ilamtoto hakuwa amekamilika japo alikuwa aihema ilailikuw bado kupata taswira halisi ya kibinadamuhawakuwa na chakufanya wakatafuta mti nakuichimba shimo refu na kukizika kile kiumbe najuu yake waka pandikiza mti ikiwa kamakumbukumbu kwao iwapo wata jaaliwa kurudi tenakatika lile pori, na wao waliamua kurudi likumkimbiza julieth hospitali baada ya kuona alikuwa akitokwa na damu nyingi.

Walipofika hospitali julieth alipokelewa vizuri na kuingizwakatika chumba cha matibabu baada ya nusu saadaktari alitoka na taharifa zilizo kawazimemshitusha mume wa julieth, EVANCE kuwa mke wake kipenzi julieth alikuwa ameagadunia baadayakupoteza damu nyingi na kuto pata hudumayoyote kwa muda wa siku mbili baadaya taharifahizo ikabidi arejee nyumbani ilikuweza kuandaamazishi ya mkewe njiani akaata ajari mbaya yakugongwa na gari na kufa hapo hapo, na huo ndo ukaw mwisho wa familia hiyo ambayoiliacha mali nyingi zisizo na mlithi kitendo kilichopelekea kila ndugu jamaa na marafiki kuchukua mali ya marehemu na kuifuja vibaya.

Baaada ya miaka kadhaa kile kiumbe kilichokawa kimezikwa katika ule msitu kilichukuliwa na himayaya jini mwitu na kuhifadhiwa mpaka kilipo patataswira ya binadamu na kulelewa huko katikahimaya ya kifalme ambapo mfalme aliishi na mkewake muda mrefu bila kupata mtotona ni kwa mudasana walitamani kupata mtoto ndipo ilipoletwataharifa juu ya mtoto aliyezikwa akiwa hai ndani yamsitu ule na kijana aliyekuwa akiwinda mfalmeakachukua jukumu la kulea mtoto yule kama mtoto wake wapekee wa kumzaa na kumtoa katika uhalisia wake wa kibinadamu na kumfanya kuwa jinimwitu kisha kumpa jina ataitwa MERISA ."
 
Sehemu ya kumi na moja (11)
Ilipoishia.........................
Baaadaya miaka kadhaa kilekiumbe kilichokawa
kimezikwa katika ule msitu kilichukuliwa na himaya
ya jini mwitu na kuhifadhiwa mpaka kilipo pata
taswira ya binadamu na kulelewa huko katika
himaya ya kifalme ambapo mfalme aliishi na mke
wake muda mrefu bila kupata mtotona ni kwa muda
sana walitamani kupata mtoto ndipo ilipoletwa
taharifa juu ya mtoto aliyezikwa akiwa hai ndani ya
msitu ule na kijana aliyekuwa akiwinda mfalme
akachukua jukumu la kulea mtoto yule kama mtoto
wake wapekee wa kumzaa na kumtoa katika
uhalisia wake wa kibinadamu na kumfanya kuwa jini
mwitu kisha kumpa jina ataitwa MERISA ."
SEHEMU YA 11
Alipumzika kwa muda ambapo sasa alikuwa
akitembea tembe huku na kule akitafuta wapi aanze
tena ilikumuelezea vizuri historia ya maisha yake
mpaka pale alipo fika alifikaje kabla ajaendelea
alikutana na swali kutoka kwa Geb
"na huyo merisa unaye msemea ndo wewe?" merisa
alimtazama Geb kwa makini kisha akatingisha
kichwa kwakukubaliana na wazo lake kisha
akasema
" ndio ndo mimi merisa ambaye chanzo changu ni
binadamu ila nimelelewa katika himaya ya kishetani,
wakati wote niliishi katika himaya ile nikijua mfalme
ndiye aliyekuwa baba yangu mzazi na nilijua
nilizaliwa katika himaya ya kijini ila jambo lililokuwa
likinishangaza nikuwana roho ya utetezi kila
itakapotolewa amri ya kuadhibiwa binadamu, wakati
ule mti uliopandwa juu ya shimo nililokwa
nimefukiwa basi na mimi nilikuwa na kupewa windo
ambalo lilikuwa ni mahali pale palipo na ule mti, na
kadri miaka ilivyokawa inazidi kwenda mti ule
ulikuwa na umbo la msichana na kupelekea
watuwengi kuja kutembelea maajabu yale ya mti
kuwa na umbo la mwanaadamu haikuishia hapo tuu
ila usiku wasaa sita nilikuwa kazini nikiwinda hvyo
macho ya lile umbile lamwanaadamuhuwaka taa
ilikuweza kunifanya nikione kila kinachotokea katika
mipaka ya windo langu haliyakuwa nikiwanimetulia
sehemu moja.
niliendelea kuwa mtumwa katika himaya ile nikiwa
kama mtoto wa mfalme mpaka siku
uliyoletwa mbele ya machoya mfalme ukiwa kama
mkosaji sikuweza kustahimili kuona unapewa
adhabu kali kiasi kile ndiponiipojitoa kukutete na
kujikuta wote tukipewa adha bu ile ndipo nilipo
kawa nikihoji uhalisia wa mfalme kunipa adhabu ile
kwa binti yake kipenzi na wapekee nikaelezewa
historia yangu kuwa mimi ni nani ndipo nikaamua
kukutetea kwa kila hali ili uweze kutoka katika
himaya ile kitendo ambacho kilinifanya nifukuzwe
katika himayaile ya jini mwitu na mpaka siku ile
ukaja kunikuta nikiwa mtupu mahali palena ni wewe
pekee unaye stahiki na kuweza kuendelea kunisaidia
katika upande wa utetezi ilibinaadamu wengine
waweze kuelewa uhalisia wangu ila itabidi iwe siri
baina yangu mimi na wewe mpaka nitakapo
kuambia sasa nikotayari viumbe wajue ukweli wote
kuhusu mimi cha kwanza inabidi uachane na mpenzi
wako uliye naye haraka sana na unioe mimi," Hili
lilikuwa jambo zito la lakushusha katika moyo wa
Geb kumuacha anna bila sababu kwake ilikuwa na
sawa na kuuchoma moyo wake kwa kisu nakuutia
ndimu katika kidonda kile pasi na kuogopa
maumivu atakayo yapata.
Ilipofika jioni wote walirudi katika mahema yao pasi
na mafanikio ya kumpata Geb tukio kama hili
halikuwahi kutokea katika eneo hili tangu kuanza
kwake kazi Mike hakuwahi hata kusikia tetesi za
watu kupotea ndani ya msitu huu baada ya kwenda
kutalii sasa Mike aliwaza kuwa na nguvu ya ziada
pamoja na ulinzi ilibidi kufanya mawasiliano na
mapokezi iliwaweze kujua nikitu gani watafanya
mike wali wasiliana na dada wa mapokezi naye aka
ahidi kuzifikisha taharifa kwa mkurugezi mkuu na
baada ya nusu saa atakuwana suluhu na kama
alivyo ahidi baada ya nusu saa aliweza kuwasiliana
na mike tena na kumuhakikishia kutumiwa jopola
watu wa usalama ilikuweza kumtafuta Geb akiwa hai
na hata kufa na kujua pia kitu gani kilichopelekea
kutokuonekana kijana huyo, sasa kila mtu alikuwa
na hofu ndani ya nafsi yake juu ya kilichotokea sasa
walianza kuona dalili za kutokuwepo na usalama
katika pori lile kila mtu aliogopa waliunganisha
mahema kwa usiku ule hakuna aliyetaka kulala
mbali na mwenzie kwa uwoga kwani kila mtu alihisi
uwenda ingefata zamu yake kupotea katika
mazingira yasiyoeleweka .
****************************************
mambo yalikuwa mambo upande wa anna harusi
ilishapamba moto na alikuwa akisubiriwa Geb pekee
kila aliyemjua Geb na anna na mahusiano yao
alitamani kuliona jambo lile likifanyika haraka
maana ilikuwa pea yenye kupendeza machoni mwa
watu kilakukicha sio kwa mama na baba anna
pekeehata kwa walio salia nje ya familia ile, anna
alipata taharifa juu ya ziara ya Geb kuwa walishafika
robo tatu ya safari yao namuda simrefu Geb
atakuwa akirejea tanzania rasmi kwa ajili ya harusi
yao, na hiyo ndiyo ilikuwa furaha ya anna mwenyewe
pamoja na wazazi wake.
siku hii ilikuwa mbaya kwa upande wa anna ambapo
alipata Email yenye taharifa za kupotea kwa Geb
msituni tena katika mazingira ambayo hayakuwa
mazuri mazingira usiku watu wote wakiwa wamelala
anna aliumia sana alijua tayari amekwisha mpoteza
Geb wake japo juhudi za kumtafuta zinafanyika
ilikuweza kumpata Geb akiwa hai na hata amekufa
taharifa zilisambazwa nchi nzima katika ma
televisheni na hata katika magazeti, magazeti ya
siku hii mengi yalikuwa na kichwacha habari
kilichosema
" MWANDISHI HODARI WA THE WORLD EVENT
CONPANY LTD APOTEA KATIKA MAZINGIRA
YAKUTATANISHA HUKO CANNADA KATIKA PORI LA
MERISA THE MAGIC GARDEN"
habari zilizo zidi kumchoma moyo anna kila kukicha
habari zilizopelekea kuona ndoto zake za kuolewa
na Geb zikikatika mipango ya harusi ilivunjwa
mpaka itakapo patikana hatimayake hakuwa na
ndugu Geb isipokuwa anna na wazazi wa anna na
ndo watu pekee waliokawa wakijishughurisha katika
kumuombea akutwe hai nakurejea salama kila
kukicha anna alikuwa mtu waujifungia ndani rafiki
yake Betha alikuwa akijamara kwa mara kumfariji na
kumtia moyo ila ilikuw sawa na kazi bure maana
akiondoka umuachia anna kilio kama ilivuokawa
mara ya kwanza anna aliiyona hatima mbaya katika
ndoto zake ila hakuwa najinsi ya kulizuia lolote lililo
pangwa na mungu kutokea.
Yapata wiki sasa Geb hakuonekana mahali popote
katika msitu ule watalii wote walisitisha safari zao
kwa mudailikuwa ni heka heka juu ya kuvumbua
ukweli alikokawa Geb. Dav,John,Mary na Janeth
walirudishwa katika hoteli waliyokawa wamefikia
kwa ajili ya mapumziko ya muda huku bado
shughuri za kumsaka Geb zikiendelea kila mmoja
alikuwa na hofu ya uhai wa Geb hakuna aliyeweza
kuamini kama Geb atakuwa salama mahali alipo
kawa, baada ya kumtafuta kwa muda mrefu
matumaini ya kumpata Geb akiwa hai au amekufa
yalitoweka ndani ya jopo lile la watu lililotumwa
kumsaka walirudi mapokezi wakiwa hawana cha
kueleza kwa urefu ilibidi itambulike Geb amepoteza
maisha hata kama mwili wake haukuonekana pahali
napo habari zikatapakaa dunia nzima na magazeti
mengi hasa yanchini Tanzania yalipambwa na
kichwa cha habari kuwa
" MWANDISHI HODARI WA THE WORLD EVENT
CONPANY LTD ALIYEPOTEA KATIKA MAZINGIRA
YAKUTATANISHA HUKO CANNADA KATIKA PORI LA
MERISA THE MAGIC GARDEN ASADIKIWA KIFO
BAADA YA KUTAFUTA NDANI YA PORI HILO KWA
MUDA MREFU PASI NA KUPATIKANA habari zaidi
UK...."
zilikuwa ni habari zenye kumuumiza moyo anna
hakuwa kuwaza kumpoteza Geb aliumia sana katika
hilo John,Dav,Mary na Janeth walirejea tanzania pasi
na kuwepo Geb ambapo walikuta watanzania
wakiwa katika majonzi makubwa ya kumpoteza
mwandishi yule mahirililikuwa pigo kubwa katika
kampuni ya THE WORLD EVENT ila pigo kubwa
zaidi kwa anna aliyekuwa akitarajia ndoa na
Geb,yalifanywamaombolezo kwa muda wa wiki sasa
na kuamua kuzika jeneza ambalo halikuwa na mwili.
Kwaupande wake Geb aliruhusiwa na merisa
kuondoka na kufanyiwa mipango yote ya safari
mpaka kufika tanzania ila alipaswa kufata yote
aliyoambiwa na merisa ilikuweza kumsaidia kama
alivyosaidiwa yeye wakati yupo njiani alikuwa na
mawazo mengi sana aliwaza namna atavyopokelewa
na anna na jinsi atakavyo mueleza jambo hili na
atakavyo lifikiria kichwa kilimuuma sana ila hakuwa
na jinsi alijipa moyo yabidi nifanya hivyo ili anna
asije nifikilia vibaya wakati tayari yupo ndani ya
Tanzania alichukua taxi na kuomba apeekwe moja
kwa moja maeneo ya mikocheni ambapo ndipo
alipokawa akiishi njiani alikutana na msafara
mkubwa wamaombolezo ya msiba walikuwamo
watu wazito kama raisi wa jamuhuli ya muungano
wa tanzania, waziri wa habari ,makamu wa raisi
mkurugenzi wa THE WORLD EVENT COMPANY na
wengine wengi ilikuwamo picha moja kubwa mbele
ya gari lililo onekana kubeba maiti kwa uwingi wa
watu Geb hakuweza kuiyona vizuripicha ile watu
walivaa T-shirt zilizondika maneno na kubandikwa
picha ya marehemu kwa pembeni Geb alitamani
kujua kuhusu mazishi yale ila ilikuwa ngumu sana
kwa jinsi msongamano wa watu ulivyokawa
walisimama pembeni kuupisha msafala ule upite
kisha wakaendelea nasafari yake walipo fika mahali
wakakuta foleni ambapo Geb aliomba kununua
gazeti huku akijisemea mwenyewe " nina muda
mrefu sijafatili kuhusu nchi yangu tanzania baada ya
kuwa nje kwa muda kiasi naombaniangalizie gazeti
la Nipashe laleo kama lipo hapo " alisema hivyo
huku akimpa pesa dereva iliaweze kufungua dirish
ana kumuangalizia gazeti alilokawa amelihitaji
"na kama haukuwa tanzania kwamudamrefu utasikia
mambo mengi ya kusikitisha siumeona ule msafara
wa pale njiani watu wakienda kuzika?" alisemahuku
akiuliza yule jamaa
"eeeeeh kwani nani aliyefariki maana anaonekana
mtu mkubwa kweli kweli?"
"kiasi sio sana ila kifo chake kina utata sana maana
alikuwa huko cannada kikazi na akapotelea huko
huko mpaka leo hawajui kama yuko hai au
amekufana ndo wameamua kuzika jenezalisilo na
kitu ilikumaliza matanga waliyoakyaweka kwa muda
wawiki tatu huku wakisubiria jibu kutoka kwa watu
wa usalama waliopelekwa katika hilo pori
alilopotelea" alimaliza kuongea hayo huku
akimkabidhi gazeti tena habari yake ni hii apa hata
katika hili gazeti soma utaipata Geb sasa alianza
kuoata taswira juu ya yote aliyokawa akiyaona pale
bila shaka alikuwa ni yeye aliongezea yule jamaa
" na hata hivyo alikuwa na mchumba wake ambaye
walitarajia kufunga ndoa baada ya jamaa kurudi
cannada ila ndo hvyo kila kitu kilikuwa tayari
alikuwa anasubiriwa arudi tuu "masikini hakujua ni
maumivu kiasi gani alikuwa akiyapata Geb juu ya
stori ile ambayo Geb hakuwahi kuwaza kutokea
aliwaza kuto onana na yoyote yule ambaye alikuwa
akijuana naye akamuomba dereva abadilishe
muelekeo hakutaka kwenda tena mikocheni mahali
ambapo ndo alikuwa akiishi,
" sikia naomba unipeleke lodge yoyote nzuri hapa
town achana na ishu za mikocheni kwanza " kauli
ambayo ilimshangaza sana yule dereva
"kwani vipi bro kuna tatizo?" wakati akiuliza hvyo
aligeuka nyuma kumtazama vizuri kutahamaki
aligundua alikuwa ni Geb ambaye alisemekana kufa
na ndio muda ule ulikuwa wakati w mazishi yake
ghafra akajikuta akisimamisha gari kwa uwoga
alitamani kufungua milango alishindwa kila
alipobonyeza kitufe cha kushusha kioo hakiku
bonyezeka Geb alikuwaakitokwa na machozi kama
mtoto
"ni...ni..ni wewe kweli?" aliuliza yule dereva huku
akiwa na kigugumizi kikali, Geb alifuta machozi
kisha akamshika mkono
" ndio ni mimi Geb ila sikufa ila nahitaji sana
msaada wako ndugu yangu tafadhali usiniogope
nitakuelezea kila kilichotokea mimi sikujua kama
huku ndio habari zilizotokea laiti ningelijua
nisingerudi tanzania ila tafadhali naomba msaada
wako " Geb aliongea maneno ya busara na hekima
na upole pia kiasi aliweza kumuweka sawa yule
jamaa walielewana mwisho yule jamaa ambaye
sasa Geb alimtambua kwa jina la Roby aliamua
kumpeleka kwake ambako alikuwa akiishi
mwenyewe na kumuomba aweze kumuelezea kila
kilicho msibu katika maisha yake mpaka kuzushiwa
kufa , hakuweza kumueleza kila kitu ila kwa ufupi
" nilitekwa na himaya nisiyo ielewa katika ule msitu
na kupewa baadhi ya masharti ikiwa kuachana na
anna na kumuoa msichana wa kishetani nilipo
kubaliana na ombi lao ndipo walipo nipa ruhusa ya
kurejea tanzania ila kubwa kwa hivi sasa nilikuwa
nahitaji kuonana na anna kwanza ilikumthibitishia
kuwa nipo hai maana najua atakuwa anaumia sana."
waliweza kushauriana mambo mengi ila wazo la
Geb kumuoa anna lilikuwa pale pale ilatatizo
lilikuwa ni wapi pakuanzia ili anna aweze kuamini
kuwa yeye bado yuko hai.
 
SEHEMU YA 12
Kila mmoja alitahamaki baada ya kuambiwa juu ya
ukweli kuhusu Geb,
“Masikini anna sasa itakuwa je?”Aliuliza marry
ambaye naye alikuwa nyumbani kwa kina john
wakilijadili swala hili
“tume panga baadaya Geb kesho kurejea hapa
nyumbani atapigiwa simu anna na kuombwa aje
mahali hapa ndio tutamueleza ukweli”alijibu Dav
ambaye bado alikuwa haja amini juu ya kile
alichokawa amekiona masaa machache yaliyopita .
Siku ilipowadia Geb alisindikizwa na Roby mpaka
kwa kina Dav ambako ndiko aliko kawa
akiishizamani kabla ya kwenda safari yake ya
cannada, alipofika alipokelewa vizuri nawenzake kila
mmoja alikuwa ananafsi ya uoga isipokuwa Dav
peke yake kwani ndiye aliyekuwa wa kwanza
kugundua kama Geb alikuwa hai baada ya nusu saa
mlango uligongwa ambapo wote walikaa kimya na
kusikiliza kwa mara ya pili mbapo mlango
uligongwa tena Dav aliinuka na kuenda kuchungulia
aliyekuwa akigonga hamadrasuli alikuwa anna
ambaye alipigiwasiu muda mchache akiitwa
kukiwana jambo muhimu alihitajika kulijua kuhusu
Geb, Dav alifungua mlango na kumkaribisha anna
mpaka ndani ambapo anna alipoingia tuu
aligonganisha macho yake namtu aliyefanana zaidi
na Geb alihisi uwenda alikuwa ndotoni ghafra
akagonganisha macho yake na Roby alilikumbuka
vyema lile tukio la kupewa msaada kule makaburini
na pamoja na kulipiwa pesa ya bajaji na kaka huyo
ambaye haku bahatika kumjua kwa jina hivyo
ilimbidiasiwe na uhakika kwa ndo mwenyewe au
amemfananisha aliyazungusha macho yake na kutua
katika kila point ya kila mtu aliyekuwepo mahali
pale mara Geb aliinuka na kumfata anna pale alipo
anna ambaye alijawa na uwoga kw kushuhudia maiti
aliyezikwa kwa kusadikika kuonekana tena hai
mahai pale
“samahani mpenzi najua utajiuliza na kudhania
mengi sana juu yakuniona mahali hapa mtu ambaye
uliambiwa atakuwa amekwisha fariki baada ya
kutafutwa sana ndani yam situ ule , ni kweli ilikuwa
ngumu sana kwa yeyote Yule kuniona mahali
nilipokawa nimehifadhiwa kwani himaya ya kifalme
ya jinni mwitu iliyopo ndani yam situ ule
walidhamiria kunipoteza ki kweli ndipo nilipojikuta
nikiangukia mikononi mwa mwanamke wa kijini na
kujikuta nikipewamasharti chungu nzima ikiwa
nisioe mwanamke yoyote Yule duniani isipokuwa
yeye na iwapo nitafanya tofauti sito ishi kwa raha
ndani yandoa mpaka pale atakapo amua yeye,
mbali na hilo alinitaka niwe mtunzaji wasiri hii juu
ya utawala wa majini mwitu ndani yam situ ule, na
leo nimeamua kuitoa siri hii anna mbele yako
ilikuweza kujitetea ujue ni nini kilitokea mpnz
wangu” alimaliza maneno hayo na kutaka kumshika
mikono kipenzi chake anna ghafra alimponyoka
akikimbia pasi na kujulikana alikuwa akienda wapi
wakati anatoka kwa kina Geb alipitiliza moja kwa
moja kuvuka barabara ghafra gari ndogo aina ya IST
ilikuwa ikikatisha nayo barabarani hapo ikiwa spidi
ikamgonga sehemu ya kiuno tukio lile lilishuhudiwa
vyema na Geb ambaye alikuwaakimfatilia anna kwa
nyuma walimchukua na kumtia katika gari na
kwenda naye hospitali kwa wakati huo hakuna
aliyekuwa akijua kilicho mpata Anna sio kwa mama
yake wala baba yake baada ya masaa mawili
daktari alitoka katika chumba cha emagence
alichokawa amelazwa anna na Geb ndiye aliyekuwa
mtu wa kwanza kunyanyuka na kumfata dktari na
kumuuliza hali ya mgonjwa
“naam doktar hali ya mgonjwa wangu inaendelea
je?” lilikuwa swali baada ya salamu na daktari Yule
“mgonjwa wako yu salama nabado anafanyiwa
uchunguzi pamoja na kupewa huduma ya kwanza ila
kuna jambo siwezi kukueleza mahali hapa tafadhali
nifate ofisine “ aliongea hayo huku akiusukuma
mlango wa chumba alichokawa akikaa nakufanya
shughuri zake kisha nakuketi akiatiwa na Geb
ambaye alitawaliwa na uwoga juu yamsichana Yule
kwani bila shaka hakuwa akiaga kwao kuwa
anakwenda wapi na mara zote alikuwa akizuiliwa
kuondoka kutokana na kupenda kwake kutembelea
makaburini,
“Naam Mr Geb umesema mgojwa ni nani
yako?”Aliuliza daktari
“ ni mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga naye
ndoa siku za hivi karibuni “alijibu kwa kujiamini Geb
“Ok sio tatizo pia ila mpenzi wako anatakiwa
kufanyiwa upasuaji katika sehemu yake ya nyonga
ambayo kuna mfupa nabaadhi ya mishipa imeleta
itirafu sasa tulikuwa tunahitaji saini ya wazazi wake
katika hilo maana ni mawili either kumpoteza
mpenzi wako pasi na sisi kufanya lolote au
kumuokoa nakukipoteza kizazi chake “ hilo lilikuwa
pigo jingine ndani ya moyo wa Geb kwanza alijiuliza
ni wapi ataanza kujielezea iliwaweze kuamini kuwa
yuko hai na waweze kuaminikila kilichotokea ni kiini
macho tuu,pia aliliona gumu jingine ambalo kwa
vyovyote alistahiki kujitwika kichwani na kutembea
nalo na anna kuto zaa maisha yake yote iwapo
atapona alishindwa kuipa ruhusa akili yake kuamua
lolote alitoka katika chumba cha daktari akiwa
amelowa jasho mithiri ya mtu aliyemwagiwa maji
machozi yalimtililika kama motto ilikuwa kama
ndoto kwake au hadithi aliyosimuliwa zamani
kidogo juu ya pendo la kweli “Dah kwanini mimi
lakini?” ndiyo kauli iliyosikika baada ya Geb kutoka
ndani ya chumba cha daktari .
Alisogea karibu kabisa na walipoketi wenzie kisha
naye akaketi
“ kulikoni Geb?” wote walimuuliza kwa pamoja
wakiwa na shauku ya kutaka kujua ni kipi kilitokea.
“itabidi tuende kwa kina anna na tuwaeleze juu ya
hali ya anna na kuwaeleza uwepo wangu na kuwatoa
katika sayari ya ajabu ambayo imebeba historia juu
ya kifo change katika msitu ule”
“Mmmh kwani kimetokea nini tena Geb?”alihoji john
“tafadhali nisaidieni juu ya hilo mengine tutaongea
tuu nikiwa sawa”hakutaka kuongea chochote mpaka
atakapo hakikisha amewatoa wazazi wa anna katika
ulimwengu ule wa ajabu walitoka pamoja
nakuelekea palipo maegesho ya gari wakimuacha
marry na janneth wakimuangalia mgonjwa na wao
kufunga safari mpaka kwa kina anna.
Walipofika walimkuta mama anna akitoka nje
kumwaga maji machafu aliyokawa akifulia
“ Hodi mama?” kabla ya salamu Dav alibisha hodi
ilikupewa ruhusa ya kuingia ndani ya nyumba ile,
kwa kuwa mama anna alikuwa akiwajua vyema Dav
na John hivyo hakumpashida mtu wa tatu kati yao
ambaye hakuweza kumuona vyema sura yake baada
ya kuvaa kofia iliyoziba nusu ya uso wake
“Aaah kina baba hao karibuni jamani leo
mumemkumbuka mke wenu, karibuni mpaka
ndani?”aliongea maneno hayo huku akijaribu
kumtazama vizuri Yule aliyevalia kofia alianza kuhisi
kumjua kutokana na mwendo wake ila jibu halikuja
kwa haraka nahata hakuweza kukumbuka wapi
alimuona, waliingia mpaka ndani na kuketi “
shikamoo mama ?” walisalimia wote isipo kuwa
Yule aliyevaa kofia
“ marhabaa wanangu, karibuni mkewenu katoka
kama kawaida yake bila hata kuaga kaenda kulia
makaburini huko ikifika jioni ndo anarudi” alijieleza
mama anna akijua bila shaka walikuja kumtembelea
anna
“Duuh kumbe ajaacha tuu, ila hiko sicho
kilichotuleta mama, sisi tuna habari mpya na za
kuhuzunisha kiasi vipi baba yupo ilituweze
kuwapatia kwa pamoja?” aliuliza Dav ambaye ndiye
mtu aliyechaguliwa Geb kuwatoa watu wote
waliokuwa katika ulimwengu wakifo chake
“ mmmh ndio yupo ngoja niwaitie” aliyasema
maneno hayo na kuingia ndani akiita kwa kupaza
sauti “ baba anna! Baba anna!” ghafra ikasikika
sauti ya kiume ikiitika “ naamu mke wangu “
“kuna ugeni huku ?”
“ugeni! ugeni upi huo ?” huku akitoka alipokawa
ameketi na kusogea sebuleni ambapo alikutana na
mama anna katika varanda aliyokuwa ameketi.
“ni rafiki zake na Geb” walisogea pamoja na kuketi
wakiwasikiliza
“ Habari zenu vijana?” aliwasalimu
“salama shikamoo mzee?” wote kwa pamoja
waliitikia nakusalimia sauti ya Geb ilisikika vyema
masikioni mwa mama na baba anna ila hawakutaka
kuamini hilo ghafra Geb alivua kofia aliyokawa
ameivaa na kufanya aonekane vyema uso wake
Haikuwa rahisi kama ilivyo dhaniwa maana mama
anna alianguka pale pale na kupoteza fahamu
walimpepea na kumnyunyizia maji mpaka
akazinduka Geb aliwaeleza juu ya kila kilichotokea
na kuwafanya wote warudi katika ulimwengu
wazamani ambao waliishi wakijua Geb yuhai,
hakuishia hapo tuu aliwaeleza na juu ya hali ya anna
hospitali ambapo ilihitajika saini zao iliaweze
kufanyiwa upasuaji, kwa kuwa wazazi wa anna
walikuwa na imani juu ya dini na ndani ya ufufuo
jambo lile alikuwa watia shaka sana moyoni mwao
ila walimuombea Geb kisha wakajiandaa na kwenda
hospital ambapo waliweka saini na anna kufanyiwa
upasuaji na baada ya masaa kadhaa alitolewa
katika chumba cha upasuaji akiwa ajielewi na
kupelekwa katika chumba cha emergency ambacho
hakustahili mtu yoyote kumuona kwa wakati huo na
alikuwa chini ya uangalizi mkubwa wamadaktari
wakati wame keti kwenye benchi wkisubiri kupewa
majibu ya mgonjwa wa mara daktari mmoja alitoka
katika kile chumba alicho kawa amelazwa anna ,
geb na baba anna walimkimbilia wakimuita “
Daktari,Daktari?”
Aligeuka na kuwatizama kisha akawapa ishara ya
kumfata nyuma kule aendako walifika mpaka
kunako mlango ulioandikwa Daktari Room no. 3
waliketi na kumsikiliza
***************************
ITAENDELEA...
 
SEHEMU YA 13
Bado msaada wa roby uliitajika zaidi na Geb
ilikuweza kufanikisha Geb anaonana tena na anna na
kuendelea kuishi maisha yao ya kawaida kama hapo
awali,
Yapata wiki sasa mazishi yaliyosadikika kuwa ni ya
geb yalikweisha isha na maombolezo pia yalikwisha
ila kwa upande wa anna ilikuwa ngumu sana
kuziamini mboni za macho yake kwa kuzika jeneza
na kuamini kuwa Geb wake aliyempenda kwa moyo
wote ametoweka tena bila hata kumpa salamu za
mwisho.
Mawazo hayo yalimtesa sana anna kiasi akakonda
mpaka kupungua uzito aliishi maisha ya kulia kila
kukicha, alisali akiomboleza juu ya kifo cha kipenzi
chake Geb.na alikuwa akifanya dhihara ya
makaburini lilipozikwa jeneza la Geb kila apatapo
upenyo wa kutoroka nyumbani.sasa alikuwa Roby
ambaye alitakiwa kujua kila hatua atakayo kuwa
akipitia msichana anna siku hii asubuhi na mapema
Roby aliamka na kujiandaa na safari ya nyumbani
kwa kina anna ambapo sasa ndio kilikuwa kibarua
chake rasmi baada ya kukosa muda wakuweza
kulitumia gari lake likiwa kama Taxi.
Wakati amejibanza pembezoni kabisa na nyumba
yam zee magesa ghafra aliwaona wasichana watatu
wakitoka ndani na kusimama nje ya nyumba mara
ikatokea bajaji wakapanda na kuondoka roby
aliweza kuwajua miongoni mwa wale walio kawemo
pale alimtambua vyema anna hasa kw sifa alizowahi
kupewa na Geb kwani alikuwa mweupe kupita wote,
mtaratibu kupita wote ila hata kwa uzuri wa sura
yake pia alikuwa mzuri kupita wote aliokuwa nao
katika safari ile, Baada ya Roby kugundua kuwa
malikia aliyetumwa kumfatilia naye alikuwamo ndani
ya bajaji ile ndipo alipo kanyaga mafuta gari yake
na kuwafuata kwa nyuma huku akiwa muangalifu
asijejulikana kama alikuwa akifatilia safari ile tangu
awali baada ya mwendo wadakika kadhaa bajaji
ilipaki pembezoni mwa nyumba ya hali ya kawaida
ndipo wasichana wale watatu walishuka na kuingia
ndani .
Hazikupita sekunde tatu anna alitoka ndani ya
nyumba ile huku akilia alipotoka nje alikuta bajaji
ikigeuka na kutaka kuondoka nayo akaiwahi kuiita
kisha kuanza safari “samahani unaweza kunifikisha
sinza makaburini?”aliuliza anna kwa sauti ya
uchungu “yaah… ni buku mbili tuu” alijibu Yule
dereva na kumuacha anna akijipekua pekua katika
mifuko yake mpaka wanafika mahali pakushuka
anna alikuwa bado hajaiyona pesa yakumlipa dereva
bajaji
“Daah samahani kaka angu nina hofu pesa itakuwa
nimeiangusha huko nitokapo”aliongea anna kwa
sauti ya upole
“dada mbona unacheza na kazi za watu sasa
unataka nikusaidie vipi ? “alijibu kwa ukali kiasi
anna akaogopa na kusimama kando kidogo kitu
kilicho mpa uwazi roby kujua nini kilikuwa
kikiendelea aliweza kuhisi anaakigombezwa na
deleva Yule wa bajaji hvyo ilimbidi kushuka
nakusogea karibu na pale alipo simama anna
”kulikoni dada angu?” ndio lilikuwa swali lakwanza
kutoka kwa robybila hata ya salamu juu ya hali
iliyokawa mahali pale
“daaaah we kaka angu acha tuu nimedondosha pesa
huko njiani wakati na kuja huku nimekosa kabisa
pesa ya kumlipa huyu kaka”? Roby alimtazama Yule
kijana kwa muda
“ hata mimi nimfanya biashara ila sio kweli ikitokea
umepakia abilia mmoja bila kumtoza pesa utakuwa
umeua biashara hapana hiyo sio kweli?” aliingiza
mkono wake mfukoni na kutoa kiasi kidogo cha
fedha na umkabidhi Yule jamaa ilikuwa kama elfu
ishirini hivi
“nooo sio pesa nyingi kiasi hicho ni elfu mbili
tuu”aliongea anna huku akizionea uchungu pesa zile
zilizotolewa na msamalia mwema makaburini baada
ya sekunde chache bajaji aliondoka wakabaki anna
na Roby peke yao ambapo ana alimshukuru Roby
kisha akaondoka zake kuelekea kunako kaburi la
Geb alishinda huko siku nzima akisali na kulia
mchna kuchaa kigiza kilipoanza kujongelea
mawingu ndipo anna alipopatwa na akili ya kurejea
nyumbani kwa kuwa.hakuwana pesa hakutaka tena
masemango akaamua kujikongoja taratibu ghafra
taxi ndogo ilisimama kwa kasi karibu na miguu
yake ilionyesha dhahiri ilikuwa ikimuwahi yeye mara
kioo kilishushwa hakuwa mwingine alikuwa ni Yule
Yule roby aliyemsaidia kulipapesa kule makaburini
“wewe tena ?” alisema huku akimtazama vizuri”yap
vipi unaelekea wapi nikusogeze?”
“ammm … samahani kaka angu unaweza tuu
ukaenda”
“Hapana kwa hali uliyokuwa nayo kiubinadamu
siwezi kukuacha uende mwenyewe naomba
nikupeleke nyumbani”
Aliomgea roby kwa upole na kuonyesha busara zote
ambapo anna alitathimini ukweli wa maneno yale na
akalitazama anga jinsi lilivyozidi kutanda kiza
akaona ni bora apate usafirina kurejea nyumbani
roby alimpeleka anna mpka kwao na kuhakikisha
amepokelewa na wazazi wake.
*********************************************
***************
ASubuhi moja katika kampuni ya THE WORLD
EVENT CO kuliandaliwa kikao adhimu na moja wa
wakurugezi wa kampuni hiyo ilikuweza kufanya
uteuzi rasmi katika pengo aliloliacha Geb ambaye
kwao alikuwa marehemu kwa kipindi kile,
walikutana wafanya kazi wote na ma afisa utumishi
ilikuweza kujadili swala lile,waliongea juu ya
umakini wa Geb,ufanisi wake wakazi ubunifu na hata
utafiti wake wa mambo, nidhamu na ucheshi pia
vilimfanya kuvutiwa na kila mfanya kazi aliyefanya
naye kazi lilikuwapengo kubwa sana kwa kampuni
na ilihitajika maamuzi magumu juu ya kuliweka
pengo lile katika hali ya kawaida ilishaurika
kutafutwa tena muhandishi wingine mahiri ilikuweza
kuziba pengo lile kikao kilipo isha kila mmoja
alirejea sehemu yake ya kazi. Wakati wapo katika
sehemu zao za kazi mara simu ya Dav iliita .
“hallow” upande wa pili wa simu ile ulijibu “ hellow”
“samahani ninaongea na Dav aliyekuwa rafiki yake
Geb ?”bila kufikiria jibu lilikuwa
“ndio”
“Ok! Nitakuitaji land mark hotel sasa hivi kuna
habari kumuhusu nahitaji kukupatia “alipomaliza
alikata simu alibaki akishikwa na bumbuwazi asijue
nini cha kufanya maneno yalimrudia rudia kichwani
mwake zaidi ya mara mbili aliinuka na kusogea
karibu na aliyekuwa rafiki yake john na pia walikuwa
wakiishi nyumba moja tangu enzi za uhai wa Gabriel
msigwa ambayewengi walipenda kumuita Geb
wakilikatisha jina lake.
“John kuna simu nimepigiwa hapa ya umuhimu
kidogo nilikuwa naomba funguo ya gari na nyumba
ukiwa unahitajia kurudi nitakufata”
“mmmh mbona mapema hivyo salama huko kaka ?”
aliuliza John akiwa na hofu juu ya hali aliyokuwa
nayo rafiki yake lakini Dav hakuonyeha kujali lolote
alichukua funguo zote mbili na kutoweka mpaka
kunako landmark hotel alipowasili alipiga simu kwa
Yule aliyemuita mahali pale ambapo alielekezwa
kuingia chumba namba 102 alifanya kama
alivyoambiwa na kugonga mlango wa chumba hiko
aliwakuta vijana wawili mmoja alikuwa anaangalia
pembezoni kabisa karibu na dirisha kiasi hakuweza
kumona sura wa pili ni Yule aliyekuja kumfungulia
mlango aliingia na kujitambulisha kisha akaketi
huku aimtazama Yule kijana nadhifu dirishani ghafra
akageuka alikuwa ni Geb.
“Mungu wangu GEB?” Alishtuka na kuanguka chini
mashavu ya Geb yalijawa na machozi uso wake
ulipambwa na huzuni alichokiwaza zaidi ni kuwa
jinsi gani atamjuza anna kuwa yeye yuko hai
“naam! Ni mimi Geb niko hai rafiki yangu na nina
wiki ya tatu tangu nirudi nchini,ila matatizo tuu
ndugu yangu yamenifanya nipoteze kila
kitu”aliongea kwa huzuni huku akijitahidi
kumsogerea Dav ambaye alikuwa akitokwa na
kijasho chembamba cha uwoga “ usiniogope Dav
mimi sikufa na wala sijafa kwani ni nani kati yenu
aliishuhudia maiti yangu?” aliuliza swali Geb huku
akijitetea iliawezekumuweka sawa Dav wa weze
kusaidiana juu na namna ya kumwambia anna kuwa
yeye bado yupo hai
“ni,,,ni kweli Geb sikupata kuona mwili wako pahali
ukiwa mfu ila ishasemekana hivyo na kila mtu
anajua umefariki”dav alijitetea huku akijitahidi
kupunguza uwoga aliokuwa nao
“naelewa yote hayo Dav tangu siku ya kwanza
nawasili nchi hii Roby ndiye alikuwa kimbilio langu
kwa kila namna nilitamani sana kuondoka na
kuenda kuanza maisha yangu mapya ughaibuni ila
imeshindikana maana kuna vitoyangu ya thamani
kubwa sana nimeiyacha Tanzania , Dav naomba
unisaidie kuonana na anna najua wazi kwa hali
aliyokuwa nayo sasa kupitia wewe ndo atanielewa
mimi”
Lilikuwa niombi kutoka kwa Geb lakini pia lilikuwa
amri katika akili ya Dav ijapo kuwa alitaka kujua ni
wapi alikuwepokipindi chote hiko historia ile fupi
aliyopewa Dav ilimsikitisha sana akajikuta naye
akiamini juu ya uwepo wake Geb duniani kwani
hakuwepo aliye shuhudia maiti yake ikiwa mfu
,walipanga siku ya kukutana na annana kumueleza
ukweli juu ya yote yaliyotokea.
*******************************
ITAENDELEA...
 
SEHEMU YA 14
“Naamu! Na zani ni ndugu wa anna magesa?”aliuliz
a daktari
“ bila shaka”alidakia mzee magesa aliyekawa na
shahuku ya kutaka kujua hali ya binti yake
“Mmh!!!! Mgonjwa wenu anaendelea vizuri ila
tumefanikiwa kuokoa maisha yake na kufeli
kukirinda kizazi kisizurike mpaka hivi sasa ninavyo
waambia anna hato zaa maisha yake yote”kisha
akawatazama kisha kasema tena “ nina imani Mr
gablier nilikueleza haya kabla ?”
“ndio ni kweli hilo nalielewa amna tatizo kwangu”
baada ya Maelezo yale walipewa ruhusa ya kutoka
nje iwapo hawana la ziada.
Walipotoka tuu mama anna ndiye aliyekuwa wa
kwanza kumluck mumewe na kumuulizakulikoni
ambapo akaelezwa hali iliyotokea kiasi ilimuumiza
ila swali lilibaki mioyoni mwao kuwa je Geb
atakubali kumuoa anna katika hali yoyote ataayo
kuwa nayo?
Siku hii hawakupewa kabisa wasaa wakuonana na
mgonjwa kwani bado alikuwa ajarejewa na fahamu
zake mpaka baada ya muda wa siku tatu hivyo
atakula ma kumywa kwa kutumia mibomba na
kupumua kwa kutumia oxygen mashine, siku ya pili
walihudhuria pia hospitali japo waliata nafasiya
kumuona mgonjwa ila alikuwasi wakusema wala
kufungua macho mpka siku ya tatu ambapo asubuhi
na mapema baba na mama yake walifika hospitalini
na kuingia moja kwa moja katika chumba ambacho
alilazwa anna ambapo walikuta madaktari
wakimuandaa vizuri na kumtoa mipira yote
walizuiliwa kwa muda wasiweze kumuona kisha
baada ya dakika zile waliruhusiwa
“Shikamoo mama?” aliongea kwa sauti ya tabu anna
“Marahabaa mwanangu unaendelea je?”aliitikia
mama anna na kumjulia hali binti yake wapekee
“Naedelea vizuri , lakini mama nimefikaje mahali
hapa kwani mi naumwa ?” aliuliza na kutaka kuinuka
kitandani ghafra akajikuta akisikia maumivu makali
sehemu ya chini ya kitovu na kupiga kelele
“mamaaaaa!”
“Pole mwanangu usiinuke kwa kasi hivyo utaumia
sawa ?”Alimtuliza mwanaye huku akimlaza tena
taratibu
“Kwani mama kitu gani kimenifika katika tumbo
langu”aliuliza anna
“Uligongwa na gari kiasi ikapelekea mifupa ya kiuno
chako kusigana hivyo wameiweka sawa “
“Ooooh ok!” alisogea karibu baba anna pia na
akawaomba wafumbe macho kwa ajili ya maombi
kwa mola wao iliazidi kudumusha afya ya motto
wao baada tu ya maombi alisikika mtu akiingia
ndani ya kile chumba huku akisalimia
“Shikamoni wazee?”ilikuwa ni sauti ya Geb ambaye
alikuwa ameshikilia mfuko katika mkono wake wa
kushoto, baada ya kuitikiwa salamu yake alijisogeza
panapo usawa wake anna na kumbusu katika paji
lake la uso wakati huo anna hakuwa mwenye
kukumbuka chochote kilichotokea wala
kumkumbuka yoyote hapo awali isipo kuwa baba na
mama yake pekee hivyo hakuweza kumtambua Geb
alikuwa ninani yake walakumkumbuka alikuwa kama
yupo ndani ya sayari mpya, picha nyingi za zamani
zilijificha.
Zilipita siku kadhaa na sasa Anna aliruhusiwa
kutoka hospitali na kurejea nyumbani kubwa walilo
ambiwa amepoteza kumbukumbu kwa muda ila pia
atakuwa ni mtu wakuuliza maswali sana ninyema
akajibiwa kweli iwapo kama mtu atakayekuwa
akiulizwa atakuwa anajua ukweli juu yajambo
atakalokuwa akiulizwa na hiyo pekee ndio itakuwa
njia pekee ya kurejesha fahamu zake,
maishayaliendelea na anna alikuwa akiishi na Geb
kama mpenzi wake huku akiwa amesahau kipindi
kifupi kilicho muumiza hapo nyuma hakuna
aliyetamani anna ajue tena ule ukweli wa zamani na
hasa Geb alihofia kuliondoa tabasamu ambalo kila
leo liliongezeka katika uso wa anna.
Wakiwa chumbani wamepumzika anna alianza
kumwambia Geb” hivi mpenzi mbona mimi
nimejikuta tuu nakupenda wewe na nikijaribu kufikiri
ni wapi tulikutana huwa jibu na kosa kabisa “
“kwani we unakumbuka mara y kwanzauliniona
wapi?” aliuliza Geb ilikuhakikisha kumbukumbu za
anna
“Mimi nakumbuka tu siku ile naumwa ulikuja
hospitali kunitazama ndo mara ya kwanza kuonana
na wewe”
Geb alitabasamu kisha akamshika anna mkono
wake wa kushoto na kumtazama machoni “ mimi ni
Geb anna Geb wako Yule wa kipindi kile unasoma
ambaye nilikuwa nikisafiri kila kukicha na mara ya
mwisho nilisafiri huku nikiwa nimeshakuvarisha pete
ya uchumba “aliyasema hayo huku akiichezea pete
ilipendeza vizur kidoleni kwa anna na kuibusu” pete
hii nilikuvalisha siku moja kabla ya wewe
kunitambulisha kwenu kisha nikasfiri na kwenda
cannada kikazi kwa muda wa miezi sita sikuwa
nchini na hatimaye nikapotelea huko na kuzaniwa
nimefariki dunia”alimtazama anna usoni ambaye
alikuwa yupo makini kuisikiliza hadithi ile ambayo
ilikuwa na picha ya ajabu kichwani mwake ambayo
ilikuwa ikikumbuka kila kilichojiri, wakati Geb
anataka kuendelea kuelezea ilivyokuwa alishtuka
kumuona anna akifumba macho na kulegea mithiri
ya mtu aliyepoteza fahamu au kuaga dunia kabisa,
alimtikisa bila mafanikio alimuita hakuamka
alichukua maji pia haiku saidia alimpigia simu
mama anna ambaye alikuwa nje akipika pikakwa
ajili ya mkwe we.
Aliacha kila kitu na kuja kuangalia hali ya binti yake
ambapo walipata wazo la kumchukua na kumpeleka
hospitali ambapo walipewa jibu kuwa ni hali
ambayo huwa inamtokea mtu aliyepoteza kumbu
kumbu hasa siku atakayo fikiria sana juu ya jambo
ambalo lilimfurahisha sana maishani au kumuumiza
sana nahivyo ndivyo ilivyokuwa kwa anna kiasi
daktari aliwatoa hofu ila aliwaomba warudi siku ya
pili ilikuwezakuona hali yake inavyoendelea na wao
walifanya hivyo ambapo siku ya pili walivyofika
walimkuta anna akiwa na fahamu zake na akilia
“Kulikoni mama mbona kilio tena?”aliuliza baba
yake anna huku akimsogelea binti yake na
kumuweka sawa mara Geb naye aliwasili ile kuingia
tuu akakutana na anna macho kwa macho anna
alishtuka na kuanza kujivuta pembezoni mwa
kitanda kila Geb alipokaribia na kutaka kumshika
anna alitetemeka sana
“anna mama mbona unaniogopa hivyo?”
alinungunika baada ya kuwa kafanikiwakumshika
mkono
“Geb we siumekufa ni kipi kimekufanyauwe hapa
leo?” maneno ya anna yaliuchoma vilivyo moyo wa
Geb kiasi akajikuta akimkumbuka merisa
mwanamke ambaye anaamini hakuwa mwema
kwake na kumfanya aishi maisha ya ajabu tofauti na
awali haikuwa kazi ngumu kumuelekeza anna juu ya
yale yaliyotokea na kwa kuwa tayari wazazi wa anna
walishalielewa hilo naye alimuelewa vyema Geb.
Baada ya masiku kadhaa annaaliruhusiwakutoka
hospital na kurejea nyumbani mipango ya harusi
ilifanywa upya ilikuhakikisha ndoto za wawili wale
zinafikiwa ,siku hii Geb na anna walitoka pamoja
kwa ajili ya kwenda kuangalia nguo za harusi
watakazo zipenda pia kukodisha ukumbi wa sherehe
za harusi hiyo vikao vya harusi vilifanywa kwa muda
wa mwezi sasa na ndovilikuwa vipo mwishoni
tarehe ya kharusi ilikaribia na watu kujipanga
kushuhudia harusi ile iliyotikisa jiji la Dar es salaam
kabla hata ya kufanyika kwaka kwake.
“Sikia Geb unastahiki adhabu kali kwa kila kosa
ulilonitendea, nitakuadhibu kukaambali na mkeo
kwa muda wa takribani miaka mitatu napo ndipo
hasira zangu zitakapo fanikiwa kwisha nitamuadhibu
mkeo pia kumfanya kijakazi wa himaya
yangu”aliongea kwa ukali msichana mrembo
aliyekawa amesimama mbele ya mboni za Geb na
anna
“Jaman kwaninimekukosea jambo gani?”aliuliza Geb
huku akimkumbatia vilivyo anna wake iliasije
kuchukuliwa kimiujiza
“sikia Geb nilikuambia kwa mali nilizo kupa
hupaswi kuishi na mwanamke yoyote isipo kuwa
wakijini ila ninazo taharifa zako kuwa kesho ni
kharusi yako,nilikuambia Geb iwapo utafanyajambo
bila kunishirikisha utapotea na kupoteza ndoto zako
zote “ alituli akacheka kwa dharau kishaakamsogele
a tena Geb ambaye alimuogopa sana Yule
msichana pili umefanya kosa ambalo unastahikihata
kifo ,umetoa siri za himaya ya jinni mwitu kwa
viumbe wenzio basi na wewe huu ndo mwisho
wako” Ghafra alipotea na anna
“Merisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!”alipiga kelele
geb kiasi nyumba nzima waliamka na kwenda
kuangalia anatatizo gani kumbe alikuwa akiota
*******************************
ITAENDELEA...
 
SEHEMU YA 15
“Vipi Geb?” alimuuliza anna huku akimuweka sawa
“ni ndoto tu mpenzi wangu tulale “ alijibu huku
akijiweka sawa kulala tena ghafra mlango
uligongwa
“ nani ?” aliuliza anna
“Mimi hapa fungua mlango kulikoni?” ilikuwa ni
sauti ya mama ake na anna
“amna kitu mamailikuwa ndoto mbaya tuu”
“ndoto ndo makelele yote hayo?”aliuliza mama anna
wakati tayari amekwishaingia ndani
“Eti baba kulikoni?”alimgeukia Geb na kumuuliza
“nikama alivyosema mwenzangu mama ni ndoto
tuu”alijibu Geb akimtoa hofu mama anna kiasi
mama anna akarudi zake kupumzika akimuacha
anna na Geb mule chumbani.
“Mpenzi ni ndoto gani hiyo mbona umeshituka sana
na kupiga makelele hukitaja jina la merisa ?”alihoji
anna ilikuweza kujua ni kitu gani hasa kilimtisha geb
ndotoni
“tulale anna kesho asubuh nitakuhadithia kila
kitu”walivuta shuka zao vizuri na kukumbatiana
mpka usingizi ulipo wachukua mwanga wa jua
ulipita pembezoni kidogo mwa dilisha ambalo
halikufunikwa vizuri na panzia kiasi mwanga
uliwamulika usoni anna alikuwa wa kwanza kushtuka
na kuitazama saa ya mezani ilikuwa ya pata saa
mbili kasoro asubuhi
“we Geb tuna darasa leo kanisani la ndoa saa tatu
kasoro na saizi saambili amka tujiandae” aliongea
anna huku akimtikisa Geb,Baada ya muda mfupi
walikwisha amka na kujiandaa kwa ajili ya kwenda
kanisani walipotoka nje walikuta tayari mama anna
amekwisha pika chai wakanywa na kumuaga mama
anna wakaelekea kanisani sala ya ndoa ilisomwa na
wanandoa wa tarajiwa anna na Geb walibarikiwa na
mzee wakanisa kisha wakaombewa,Ilikuwa furahi
isiyo na kifani kwa upande wa wapendanao hao
wawili kabla ya kurudi nyumbani walipendelea
kwenda beach kupanga familia yao na maisha yao
baada ya ndoa waliongea mengi juu ya harusi yao ,
na familia ambayo wanatarajia kuijenga
“ILA Geb wenimwanaume wa ajabu sanasijawahi
ona?”aliongea anna kwa sauti ya chini
“Kwanini?” aliuliza Geb
“ni dhahiri umeridhia kunioa hali ya kuwa sito
kupatia motto ?” lilikuwa ni swali zito ambalo anna
kwa kipindi chote hiko tangu kutolewa kwake kizazi
alikuwa akilifikiria sana na kudhani awez kuolewa na
mwanaume yoyote Yule
“sikia anna hata kama ungelikuwa na kizazi kama
nimeandikiwa sito itwa baba na mtoto wa damu
yangu mwenyewe basi sitoitwa tuu hata
nikatambikemizimu ya kwetu” alimjibu anna kwa
masihara ila alikuwa akikimaanisha walijikuta
wakitabasamu baada ya jibu la Geb kumlidhisha
anna
“hivi hukuniambia uliota ndoto gani usiku ule
wamanane?” aliuliza swali jingine anna ambaye
alitamani kujua kilichomshitua Geb kiasi akamtaja
mwanamke Yule wakishetani (merisa)ambaye anna
alimuelewa vyema kutokana na historia nzima
ilivyokuwa naalivyohadithiwa ni kweli merisa alikuwa
msaada mkubwa sana kwa Geb tangu aliporudi
kutoka cannada kwani tayari nafasi yake ya kazi
ilikuwa imeshachukuliwa na mtu mwingine na hata
mali zake zingine ziliandikwa kamamtu aliyefariki
sasa zilihitaji kurithiwa na kwa kuwa Geb hakuwa na
ndugu mali zile zilitawanyika bila kujulikana
zimekwenda wapi lakini merisa alimpati kila kitu
kwa sasa Geb alikuwa na nyumba yake
mwenyewe,gari la kutembelea zuri kabisa na mbali
na hayo geb alikuwa na biashara ambazo zilimsaidia
pia kumuweka mjini kwa muda wote huo ambao
yeye hakuwa na kazi ya kufanya .
“Merisa alinijia ndotoni kunamaneno aliniambia
yalinitisha ghafra nikashuhudia akiondoka na wewe
katika mazingira ya ajabu”
“Mmh na mm tena?” aliuliza anna huku akiwa na
hofu kubwa moyoni
“ndio, ila usijali ndoa yetu imezungukwa na maombi
mengi awezi kufanya lolote lile ila inabidi tuwe
imara sana juu ya chochote kitakacho tokea mbele
yetu”alisisi tisha Geb ambaye alikuwa akiihofia zaidi
siku hiyo ikifika na namna ya kuziepuka harisa za
merisa ilikuwa ni kwa kupitia maombi pekee, jioni
walirejea nyumbani ambapo anna ilibidi akaendani
siku kadhaa kabla ya kharusi mnamo tar 23 july
yamwaka huo ndiyo ilikuwa siku rasmi ya wanandoa
hawa kutambulika katika ulimwengu kuwa wao sasa
ni tayari wanandoa.
Siku hii ilikuwa ya shamla shamla kubwa ndani ya
jiji la dar es salaam kwa kila aliyeifahamu vyema
historia ya wapenzi hawa wawili alitamani kuona
siku hii wakiwa mke na mume tayari majira ya
asubuhi anna aliamka na kujiandaa ilikuweza
kwenda saluni akiongozana na wapambe wake na
bila kukosa betha rafiki yake wa kipindi kirefu kwa
upande wa Geb pia alikuwa sambamba na bestman
wake Dav akifatiwa na Roby wakimsindikiza Geb
saluni iliaweze kuwekwa ndevu nanywele sawa.saa
tano kamili walihitajika kanisani kwa ajili ya
kufungishwa ndoa. Geb ndiye aliyekuwa wa kwanza
kuwasili akimsubiri anna baada ya muda kidogo
anna alipokea simu akiwa saluni “baby kulikoni
mbona mpaka saizi?” aliuliza Geb kwa sauti nzuri ya
upole
“Nakuja mpenzi kuna vitu ninamalizia kuviweka
sawa”
“Ok usichelewe basi maana tunakusubiria wewetu
hapa”
“Ok mpenzi nakuja “alikata simu na kuitumbukiza
katika pochi baada ya muda alikuwa tayari
amekwisha wekwa sawa na kutoka saluni na
wapambe wake
“Sikia kaka nakuomba usimamishe gari mara
moja”aliomba anna baada ya kugundua ameisahau
pochi yake kule saluni
“Kulikoni tena jamani?” alihoji betha
“Pochi yangu naomba turudi saluni nimeisahau
pochi yangu”
“Mmh inakitu gani cha muhimu hivyo wacha
miniwasiliane na Yule dada wa pale saluni
atuhifadhie”
“Hapana betha wacha tukaichukue kuna simu yangu
kule nitamtia hofu Geb iwapo atapiga alfu simu
isipokelewe “
“Sawa basi we nenda na dereva sisi tutafute taxi
ilitukawatie moyo unakuja au?”Betha alitoa wazo
ambalo hakuwa na yakini juu ya kukubaliwa kwa
wazo lile hatimaye anna alikubali nay eye akarejea
saluni akiwa na dereva.
Yapata saa sita na nusu sasa anna hakuonekana
kanisani kila mmoja alianza ingiwa na hofu simu
yake iliita mpaka na haiku pokelewa na hakuna
aliyekawa na taharifa zozote zile Geb alimtafuta
betha na kumuuliza kulikoni
“Vipi shem yupo wapi mwenzio?”aliuliza Geb huku
akiwa na hofu kubwa juu ya usalama wa anna siku
ile kwani alijua vyema hasira za adui wake siku
ilendio zilikuwa ziki zidi mara dufu
“Mmh mimi mwenyewe sielewi shemu tuliachana
naye njiani ambako aliombakuifatilia pochi yake
aliyoisahau saluni”
“we shemu inakuja kweli unamuacha bi harusi
mwe….”kabla ajamalizia simu yake ya mkononi iliita
ilikuwa namba ya anna
“Hellow?” ilisikika sauti ya mwanaume shababi
upande wa pili wa simu ile iliyomfanya Geb
ashindwe kuelewa jambo lolote kabla ya Yule jamaa
kujitambulisha “hellow” alijibu Geb kwa unyonge
huku akitumia busara kubwa
“Samahani naongea na Mr Gabriel?”alihoji kuhakiki
“Naam ndo mwenyewe sijui naongea na nani na
mwenyesimu yuko wapi?”alijibu huku
akimporomoshea maswali mengine mawili mfululizo
“am..mimi ni daktari nilikuwa nakuhitaji hapa
mwananyamala hospitali mara moja huyu binti
kapatwa na matatizo kidogo”
***********************************
 
SEHEMU YA 16
Baada ya maelezo ya daktari kumthibitishia kuwa
anna alikuwa amepatwa na matatizo Geb alikata
simu na kumfata baba yake na anna ambaye
hakuwa na stori naye zaidi ya kumshika mkono na
kuongozana naye mpaka katika maegeshoya gari na
kuondoka wakiongoza kuelekea mwananyamala
ndani ya gari mzee magesa ambaye ndiye baba
mzazi wa anna alijaribu kuhoji kutaka kujua kilicho
jili ila ilikuwa ngumu sana kwa Geb ambaye aliwaza
adhabu atakayo kuwa amechaguliwa anna kwa ajili
yake aliwaza kupotezwa na kubaki mwili pekee
ambao baada ya muda ungezikwa kwa kusemekana
amekufa na baadae roho iachwe huru itange tange
tange ila pia aliwaza juu ya harusi yake aliyoifanya
kwa gharama kubwa iwapo itavunjika aliwawaza
watu wa heshima aliowahalika ndani ya hafla ile kwa
jinsi watakavyo mchukulia aliikumbuka ahadi
aliyopewa na merisa kupewa adhabu ya kutoishi na
anna kwa miaka kadhaa macho yalikuwa
yakimtiririka kila kona na kujikuta akijutia safari
yake ya kwenda cannada, safari ambayo aliitilia
shaka kabla hata ya kuondoka kwake ,safari
iliyomuhalibia ndoto zake na siku hii iliyokuwa
maalum kwake pia aliwaza uwenda yote ni juu ya
hasira za mwanamke Yule wakishetani ( merisa)
aliyekutana naye kipindi hicho wakati akiwa safarini
cannada.
Baada ya dakika kadhaa walikuwa katika maegesho
ya magari ambapo Geb alisimamisha gari na kupiga
simu “nimefika nijechumba namba ngapi”alihoji
kisha kukaa kimya akifatisha maelekezo kisha
wakashuka na kuelekea kule ambapo Geb
alielekezwa,walifika mahali nakuhesabu vyumba
kutoka kulia cha kwanza mpaka cha nne ambacho
kiliandikwa Emegence room yaani chumba cha
dharura,wakati anaingia Geb alikutana uso kwa uso
na sura iliyojawa damu kiasi ilikuwa ngumu kuelewa
zaidi juu ya kilichotokea msichana aliyekavalia gauni
jeupe la bibi kharusi gauni lote lilichafuka kwa damu
alibaki akilalama kwa mauivu juu ya kitanda alicho
lazwa alisogea moja kwa moja na kumshika anna
kichwani”masikini anna wangu kulikoni mpenzi?”
aliuliza Geb huku matone ya machozi
yakimdondokea anna juu ya kifua chake ilimuuma
Geb kwa kumuona anna katika hali kama ile
ambayo alijua dhahiri ni adhabu za merisa ambayo
alikuwa akimuadhibu mtu ambaye akustahili
kupewaadhabu hiyo.
“naam” aliitika mzee magesa ambaye sasa ndiye
ilibidi asimame kama mwanaume juu ya kusikiliza
tatizo la mwanaye baada ya Geb kukosa kabisa
nguvu ya kufanya lolote ila kulia tuu na kufikilia
mwisho wa hukumu ya mateso ya merisa kwake ni
lini/
“hali ya binti yako ni kama hvyo unavyoiyona,binti
yako amefikishwa mahali hapa na wasamalia wema
baada ya gari alilokawa amepanda msichana huyu
kuacha njia na kugonga mti hali ambayo
imepelekea vipisi vidogo vidogo vya vioo kuingia
ndani ya mboni za binti yako na kuziba kabisa nuru
iliyopelekea kuto kuona chochote tangu hapo”
“Daaah kwa maana hiyo mwanangu nikipofu tangu
sasa?” aliuliza tena mzee magesa iliaweze kupata
uhakika ila halikutoka jibu tofauti na la kwanza ni
kweli anna alikuwa amekwisha nyang’anywa uwezo
wake wa kuona
“masikini mwanangu”aliongea kwa masikitiko
makubwa akionyesha kuumizwa na hali iliyomfika
anna kwawakati ule ila daktari hakuishia hapo tuu
“na ila dereva aliyekuwa akimuongoza binti yenu
amefanikiwa kutoka akiwa salama ila amechanika
kidogo sehemu ya mkono wake na kioo cha gari
hilo.
Ijapo kuwa dini au imani yam zee magesa ilikuwa
mbali kidogo na ushirikina ila kwa sasa aliziona
dalili zote zakuwepo kwa mkono wa mtu japo
hakutaka kulitilia maanani sana kwa kuhofia
kuchukiza mola wake kwa kumuamini binadamu au
viumbe vilivyoumbwa nayeye huyo huyo mola
mmoja.
Harusi ilivyunjwa kisheria mpaka pale bi kharusi
atakapo pona, baada ya miezi kadhaa tatizo la anna
lilipungua kwa asilimia 0.5 ambayo aliwezakuona
ila ni kwa mbali sana Geb ndiye aliyekuwa mtumwa
wake alikuwa akimtumikia anna bila kuchoka
kuanzia asubuhi mpaka jioni na siku akienda katika
biashara zake humchukua pia, watu walimuona wa
ajabu sana na wenginekufikia kumcheka kupita kiasi
siku moja walikuwa wameketi pahali hali ya kuwa
anna ameegesha kichwa chake katika mapaja ya
Geb
“ mpezi ?” aliita Geb kwa sauti ya upole na
unyenyekevu wa hali ya juu kabla ya kuongea
chochote simu yake ya mkononi iliita,aliitazama
vizuri na kuipokea kisha kuiweka sikioni upande wa
pili wasimu ile ulitoa salam na kujieleza kisha Geb
alitoa maelekezo ya muda mfupi na kukata simu
“ naam! Kama kuna kitu ulitaka kukiongea hapo
awali?” alioji anna “yap ni kweli nilikuwa nataka
kukuambia kuwa nataka nikajaribu kukutafutia
daktari india ili uweze kupata matibabu na kuona
tena naumia kukuona katika hali hii” aliongea Geb
kwa hisia za kweli kabisa japo aliweza kuishi na
anna takribani miezi sita sasa hali ya kuwa nimpofu
ila hali ile ilimuumiza sana ndani ya nafsi yake
alipenda amuone tena anna akimtazama ila hali ya
macho yake kupoteza nuru ndio kikawa kikwazo
“Geb kwanini unajitesa hivyo juu yangu? Naona watu
wanavyokucheka kuwa na mwanamke kipofu,pili
asiye na kizazi kutwa mimi ni wakukaa na
kufanyiwa kila kitu geb ushapoteza pesa zako
chungu nzima na tatizo langu limeonekana halina
ufumbuzi leo unataka upoteze pesa zaidi kunipereka
hadi india hali ya kuwa bado sito pona , sikia Geb
najua unaumizwa sana na maneno ya watu juu
yangu kuwa sizai sio hilo tuu pia kipofu mimi
ningekuruhusu tuu kuoa mwanamke mwingine”
aliongea anna kwa kwikwi huku akiashiri ametoa
maamuzi lakin n yale ambayo hata moyo wake
haukuridhia
“ anna usiseme hivyo mpenzi wangu mimi siko
kama unavyofikiria kumbuka tumetoka mbali sana
umenivumilia kwa mengi kwanini leo mimi tuu ndo
nishindwe kukuvumilia wewe come on nielewe basi”
aliongea tena Geb kwa msisitizo akimaanisha
alichotaka kukifanya
“ Geb tuachane na hayo minimesha choka kukaa
hapa nirejeshe nyumbani nikapumzike”alisema hayo
huku akiinuka taratibu na kujikongoja huku
akiipapasa fimbo yake na kuifungua vizuri kisha
kusimama wima na kusubiri muongozowa Geb
mahali pale iliwaweze kufika katika maegesho ya
magari na safari ikaanza kuelekea nyumbani kwa
kina anna.
Walipofika Geb aliongea na mama anna juu ya wazo
lake la kumpeleka anna india kwa ajili ya matibabu
na wote waliliafiki swala hilo ila bado kazi ilibaki
kwa anna ambaye alikuwa tayari kujitoa hata ndani
ya pendo lile kuliko kumpoteze pesa,kumpa aibu na
fedhea mbele ya rafiki zake. Jukumu liliachwa
mikononi mwa mama yake anna ambaye aliombwa
kuongea na anna ili aweze kuikubari safari ile
ambayo Geb aliwaza ni dhahiri kabisa anna
angeweza kuona tena, mama anna alifanya kama
alivyoambiwa na hatimaye anna aliweza kukubariana
na wazo lile tiketi zilikatwa nawalikuwa tayari kwa
ajili ya safari ambayo ilikuwa siku tatu mbele.
Kama ilivyo ada kwa Geb kumchukua anna nyakati
za jioni na kwenda naye beach basi na siku hii
ilikuwa hivyo hivyo Geb aliweza kupata mazoezi ya
kuuweka mwili sawa kisha wakaketi wakiongea
mambo mengi kuhusu maisha ghafra Geb alipitiwa
na usingizi, kushituka hakumuona anna tena
alimtafuta usiku kucha hakumpata alirejea nyumbani
ilikutoa taharifa juu ya upotevu wa anna lilikuwa
gumzo jipya mjini walitoa taharifa police na anna
alitafutwa kila kona ya jiji hakupatikana mawazo
yalimsonga mama kipenzi wa anna na kupelekea
kupoteza fahamu kwa kipindi kirefu mzee wa
Magesa alirukwa akili kwa kutazama maradhi ya
mkewe na upotevu wa binti yao na ni Geb pekee
akawa msaada juu ya familia ile , mambo yake
mengi yalisimama na mpaka kujikuta uchumi wake
ukishuka bila kizuizi sio makampuni biashara zake
na nyumba na magari vyote alifirisiwa na vingine
kuuza ilikuweza kuwatibia wazazi wake na anna na
kumtafuta anna alipo.
Siku moja baada ya miezi kadhaa kupita Geb
alipata wazo la kwenda kwa mtalamu kuangalia
kilichotokea na pia kujua ni wapi anna alipokawa
alipofika alionyeshwa juu ya mazingira ambayo
alichukuliwa anna katika ufukwe ule wa bahari kisha
kupelekwa katika himaya ya jinni mwitu
kutumikishwa, ambako huko alitolewa upofu na
kufanya kijakazi wa mfalme na familia yake hayo
yalifanywa na merisa ilikuweza kuisafisha nyota
yake nakurudishwa tena katik himaya ile ya kijini
mtaalamu alimuhesabia Geb masiku machache
yaliyobaki kwa anna kutoka kifungoni na kumuomba
awe na subra sana juu ya kumuona tena
“kijana yakubidi uwe na subra sana juu ya hili hasa
kma bado utahitaji kuwa naye tena huyu msichana
hii hiyama uliyokaikosea ni hatari sana hata
nikisema nianzishe vitu bila shaka itanishindwa
wale ni majini wenye uwezo mkubwa sana wakuishi
kunako maji na nchi kavu, wamejaaliwa roho mbaya
hata kwa majini wenzao ila kubwa niuvumilivu”
yalikuwa maneno ya busara sana aliyokawa
akiambiwa Geb, na alitakiwa kuvuta subra kuweza
kumuona tena anna wake miaka ilienda na masiku
yalisogea hakukuwa najibu lolote juu ya kurejea
kwake anna ulimwenguni na Geb sasa alianza
kuweka imani ya kusadikika kuwa uwenda
amekwisha fariki huko aliko na ndomana imekuwa
ngumu kuonana naye.
*************************************************
Kila aliyekuwepo ukumbini alishusha pumzi kwa
simulizi ile yenye kugusa hisia za watu Geb sasa
alikuwa mwenye kupata hofu na kunajambo
lilikwisha anza mtia shaka rohoni walipojaribu
kumuangalia angle alipokawa ameketi hakuwepo
tena, tayari akili ya Geb ilitaka kutoa maamuzi ila
yote aliyaona ni maamuzi magumu sana kwake
kuyachukua alitamani kupata muda zaidi kufikiria ila
dhahiri alikumbuka mbali walipokawa wametoka na
anna
******************************
 
SEHEMU YA 18
Jioni moja tulivu kupita kiasi Geb alipendelea
kwenda pembezoni mwa ufukwe wa bahari akijifariji
na kijiupepo mwanana mpaka jua lizamapo nay eye
kurejea zake nyumbani wakati bado yupo katika
ufukwe wa bahari alipita mahali ambapo watu wengi
walikuwa wamejaa kuzunguka msichana aliyelala
pembezoni mwa bahari ambaye alionekana kuchoka
sana na kuzaniwa uwenda akawa amepoteza maisha
kwa upande mwingine, kwa Geb kwake ilikuwa
kawaida tuu kuona watu wamezingira vile alisikia
sauti za watu wakinong’ong’ona juu ya kuonekana
kwa msichana huyo ghafra alitokea msamalia
ambaye alijitolea kumchukua nakumpeleka hospital.
Kizakilipo tanda Geb naye alikumbuka kurudi
nyumbani ilikuweza kupumzisha akili yake, huku
nyuma Yule dada aliperekwa hospitali na kupatiwa
matibabu ila baada ya muda ilionekana akili yake
haikuwa sawa yaliitajika matibabu ya kisaikolojia
zaidi, walimtibia kwa Dar es salaam ikashindikana
ikabidi wamuamishie Dodoma katika hospitali ya
wagonjwa wa akili MILEMBE.Jioni moja aliketi peke
yake na kujitenga mbali kabisa na wagonjwa
wengine alionekana kama mtu mwenye mawazo
kupita kiasi alionyesha dalili zote za kuwa na
fahamu zake, wakati daktari anakagua wagonjwa ni
msichana yule pekee alikuwa kajitenga mbali na
wenzie alimsogerea karibu na kumsemesha
“mambo mrembo?”
Ilikuwa ni salamu kutoka kwa daktari akiwa na
lengo la kutaka kuhakiki akili za binti Yule
“Poa za kwako?”Alijibu na kumtaka hali pia,kili
kuwa ni kitu cha kushangaza kwake kwa kuletewa
mgonjwa wa muda mfupi na kurejewa na fahamu
zake
“Mimi niko salama, pole sana unajua upo wapi
hapa?”
“Hapana ila nimeelewa kamani hospitali ya
wagonjwa wa akili” lilikuw jibu la pili ambalo
lilimpa matumaini daktari Yule bingwa hakutaka
kuamini juu ya muujiza uliokawa ukitokea mbele
yake
“Upo Dodoma katika hospitali ya milembe Kama
ulivyo Dai”chozi la binti Yule angavu kabisa
lilitiririka juu ya mashavu yake na kuacha alama za
michirizi ikifatiwa na sura yake kutandw na huzuni
alikumbuka maisha aliyokawa akiishiawali alijiuliza
nikipi alikosea mpaka kustahiki adhabu ile adhabu
ya kuwa mbali na wapendwa wake kwa muda
mwingi, adhabu ya kujikuta hospitali ya wagonjwa
wa akili bila kutarajia, Machozi yalizidi kumtoka na
kwikwi za kilio ziliongezeka hakuna aliyekawa
akiifahamu vizuri historia ya binti Yule ambaye hata
kimuonekano tuu hakufanana kabisa na mgonjwa wa
akili .
Jambo la binti Yule kushusha machozi lilimuumiza
sana Daktari aliyekuwa akimuangaikia kwa lengo la
kumuamisha daraja Dk.lamek, siku moja ndani ya
asubuhi tulivu kabisa Dk.lamek alipita ndani ya
bwalo lile la wagonjwa akili na kumkuta binti Yule
akiendelea na tabia ile ile ya kujitenga na
kutoshirikiana kwa jambo lolote na wagonjwa
wenzie ndipo alipoomba watu wa uangalizi waweze
mchukua na kumpeleka panapo ofisi yake
“Mambo mpendwa?”Ilikuwa ni kwa mara nyingine
tena ambapo Dk.lamek alipata nafasi ya
kukutanisha tena uso wake na uso wa binti Yule
mrembo ambaye hakupata kuona maishani mwake
“poa”alijibu kwa nukta
“unaitwa nani?”aliuliza tena Dk.lamek huku akiandika
maelezo yale kwenye karatasi na kumuangalia usoni
kikamilifu msichanayule aliyevutia kila kona ijapo
kuwa alikuwa ndani ya sare za wagonjwa wa akili ila
bado uzuri wasura yake ulikosa kizibo umbo zuri la
mwili wake likakosa ifadhi rangi ya ngozi yake pia
ilimfanya uzuri wake uzidi mara mia,
”Naitwa anna, anna Magesa” alilitaja jina lake
kiufasaha zaidi
“mzaliwa wa wapi wewe?””mimi mzaliwa wa
morogoro matombo huko” Dk.lamek alishangazwa
na utimamu wa msichana Yule kiasi akataka kujua
mengi juu ya mpaka kilicho sababisha yeye kuwepo
mahali pale ukweli hakuwepo aliyekawa akitambua
vizuri historia nzima mpaka yeye kufikia pale alipo
hata yeye mwenyewe alikiri kujikuta mahali pale
tena akiwa mzima wa macho wakati kwa mara ya
mwisho alikuwa na wazazi wake pamoja mpnz wake
wakifanya mikakati ya kwenda india kwa ajili ya
matibabu anna hakuona sababu ya kumficha lamek
jambo kwani alijua dhahiri ndio msaada pekee
uliokawa umebakia pahali pale,baada ya maongezi
ya muda mrefu lamerk aliamrisha wamshushe
Daraja anna kutoka daraja AA mpaka AC ambapo
walikaa wagonjwa ambao akili zao sasa zilikuwa
zinapata afueni na kuwa timamu.
Masiku yalikatika na miezi kibao ilipita bila majibu
hatimaye mwaka na mpaka miaka Geb alikaa
kumsubiri anna wake mwanamke wapekee
aliyemuahidi ndoa aweze kurejea mbele ya mboni
za macho yake ila haikuwa hivyo, mawazo ya
kumuoa anna yalianza kufutika katika akili yake siku
moja katika pita pita zake aliingia ndani ya
supermarket kubwa kwa ajili ya mahitaji mbali
mbali alipo maliza mahitaji yake alilipa pesa na
kuondoka na vitu vyake kwenda kunako maegesho
ya magari mara akamuona dada aliyemuhudumia
pale kaunta akija mbio huku akimuashiria amsubiri
“Vipi dada kuna tatizo?” alimuwahi kumuuliza Geb
“Am. hapana ni hii pochi yako uliisahau pale
mezani kwang”
“Ooh shit! Mungu wangu asante sana dada angu”
alimshukuru na kuifungua ndani kisha akatoa kiasi
kidogo cha pesa na kumkabidhi ikiwa kama
shukrani kwa wema aliomtende
“Usijali kaka angu nimefanya kwa ihisani na wala
sikutarajia malipo unaweza kwenda karibu tena
kupata huduma zetu” alimaliza na kisha kushika njia
na kurejea panapo ofisi yake na kumuacha Geb
aliyebaki akishangaa juu ya tabia na ukarimu wa
msichana Yule alikuwa na umbo zuri lakuvutia rangi
angavu yenyekupendezesha ngozi alikuwa mzuri na
wakuvutia kweli Geb alitamani kuwekaukaribu na
msichana huyo.
Miezi sasa ilikatika tangu Geb ameanza mazoea na
Yule msichana wa pale kaunta supermarket mara
kwa mara alikuwa akienda kumchukua na kwenda
naye out mara nyinge hujitahidi kumletea lunch
ofisini hatimaye Geb alimsahau kabisa msichana
aliyeitwa anna na kuzama katika dibwi la mapenzi
na muhudumu wa kaunta supermarket alitambulikwa
kwa jina la Iren.
 
SEHEMU YA 18
Ilikuwa ni mara ya nne sasa tangu baraa lilipoanza
ndani ya hospitali ya wagonjwa wa akili ambapo
anna alikuwa nimtu wa kubadilishwa adaraja kila
kukicha na mara hii alipelekwa mpka AF ambapo
alitarajiwa baada ya AG basi anna ataachwa
kuendeleza maisha yake mtaani akiwa kama mtu
mwenye akili timamu jioni moja wakiwa wanapewa
chakula anna alipanga msitari wa kukingia cha kula
na kuwa mtu wa mwisho kabisa watu walipewa
chakula na kikaenea kila watu walikaa makundi kw
makundi wakiongea lugha ambazo walikuwa
wakizielewa wenyewe anna alibeba chakula chake
na kujitenga kando na kuanza kula taratibu ghafra
ilisikika sauti ya mtu akiita
“merisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
?”
Watu wote walishtuka wagonjwa wote walisogea
pembezoni na kuacha uwazi ambapo anna sasa
aliweza kuangusha kichwa chake chini na kulala
mfano wa mtu aliyepoteza famahamu baada ya
dakika mbili alifurukuta na kuanza kuruka ruka tena
walitwa wakaguzi na kumtoa kisha kumpandisha
daraja mpaka AA ambako huko walikaa wale
wasiojielewa kabisaa alikuwa akifanya hivi mara
kadhaakitu kilicho muumiza sana akili Dk.lamek
ambaye tayari alikuwa amekwisha anza kuingiza
moyo wake katika mapenzi na mgonjwa Yule wa
akili pasi nay eye wala anna kujua kama moyo wa
Dk.lamek uliangukia kifuani kwake.
Hata yeye mwenyewe alishindwa kuelewa kwanini
aliumizwa sana na hali ya anna kuliko hali ya
wagonjwa wote pale hospitalini ila akajipa moyo
uwenda sababu historia yake anaijua ila haikutosha
hilo peke ake maana walikuwamo wagonjwa
wengine ambao pia alizitambua vyema historia zao
na kumfanya hata atoe machozi ila kwa nini anna na
huyu merisa aliyekuwa akimtaja kabla ya kurejea
uchizi ni nani yake na alikuwa na tatizo gani naye
kiasi yeye awekama chanzo cha yeye kuwa vile.
Alijiuliza maswali mengi ila takribani yote yalikosa
majibu.
Usiku mmoja tulivu sana, na kutokana na siku ile
kuwa ijumaa watu walilala mapema kupumzisha
vichwa vyao kwa ajili ya kuanza wikend yao vizuri
wakati Geb bado hajatulia vizuri kitandani mara
alisikia mtu akigonga mlango wa chumbani kwake
akaamka taratibu kujikongoja na kwenda kuufungua
chakushangaza hakukuwa na mtu ila upepo mkali
ulipita baada tu ya geb kuwa ameuacha wazi
mlango alipohakiki kama hakukuw namtu hata
aliyethubutu kubisha hodi chumbani kwake alifunga
mlango na kurejea kitandani kutahamaki alkutana
uso kwa uso na merisa ibilisi wa moyo wake hasidi
wa mambo yake na mvunjaji wa ndoto za watu
“Wewe tena?” aliuliza Geb maana alimtambua
vyema merisa hivyo hakutaka hata kujua alifikaje
mahali pale
“yeah ni mimi”akainuka lipoketi na kuanza
kutembea tembea hatua fupi fupi ndani ya kile
chumba “nimekuja nina habari njema kwako
Geb,kwanza kukujuza kuwa kila unachokimiliki sasa
hivi sio mali zangu hata hizi ni zile ambazo
zilitokana na mali ambazo nilikupatia mimi ila
nimekuja leo kukuacha huru wewe pamoja na anna
alinyosha kidole ukutani ambapo kilitokea kitu
mfano wa sinema alionekana anna tangu
alikohifadhiwa na kuwa kijakazi wa mfalme kisha
kutupwa kando ya ufukwe wa bahari ambapo Geb
alipuuza juu ya tukio la watu kumzunguka msichana
alielazwa ufukweni mwa bahari mpka anna anafikia
hatua ya kwenda hospitali ya wagonjwa wa akili ila
pia kuna nguvu ambazo Geb alipewa na merisa na
siku hii ndio ilikuwa siku ya kunyang’anywa nguvu
hizo ambazo merisa alimvuta Geb na kumziba
macho yake kwa kutumia mkono wa kushoto,Ghafra
alikurupuka kutoka kitandani kiasi akamwamsha
Irene ambaye alikuwa amelala naye
“vipi baby?”Aliuliza Irene
“amna kitu mpenzi ni ndoto tuu”alijibu huku
akishusha pumzi kubwa na kurejea ndani ya shuka
na kujifunika vizuri kisha kupitiwa na usingizi.
Yapata wiki ya pili sasa hali ya anna ilizidi
kuimarika siku moja anna alikuwa ameketi pahali
huku akiwaza la hapa na pale mara alitokea
mkaguzi akamshitua na kumuomba anna amfate
kwa nyuma ambapo alipewa rasmi taharifa zakuwa
anaweza kuishi popote atakapo na kuwa huru kama
mtu mwenye akili timamu japo kuwa Dk.lamek
hakuwepo siku hiyo na alionekanakusafiri kwa safari
za kikazi hivyo aliagiza anna apatiwe bussinesscard
yake ilimradi panapo shida yoyote aweze
kumtaharifu.lamek alikuwa tayari kujitoa kwakila
namna alijikuta tuu akitokea kupenda na kutamani
kujitoa kwa namna yoyote ile kwa jili ya anna
historia ya anna ilimuumiza sana,kiasi ilifikia hatua
kila akifikiria chozi lilikuwalikimtoka sio hilo tuu
mara nyingine alitamani kumueleza anna ukweli wa
hisia zake ila alihofia kumkwaza kulingana na
maradhi yake.
Anna alitoka nje ya jingo lile akiwa hajui nini afanye
na wapi aende alikuwa mgeni Dodoma hakuwa na
ndugu jamaa wala rafiki na hata kama alikuwa nao
basi alishawasahau alilala katika vituo vya
madaladala kila kukicha alipigwa na baridi kali,
upepo wa vumbi ulimuumiza macho yake kila
kukicha alikuwa ni mtu wakutap tapa kwa makazi
napo mawazo hayakukaambali naye aliwaza jinsi
miaka michache ilivyotumika kumvurugia kila kitu
katika maisha yake alilitazama bango kubwa lililopo
katika lango la kutokea mabasi ambapo kulikuwa
na tangazo la cocacola ambalo kulikuwa na watu
wawili msichana na mvulana wakionesha tabasamu
zito lililopita kiasi wakishikiria chupa zao za soda
mikononi akajikuta akitabasamu mwenyewe maana
picha ile ilimkumbusha mbali sana ambako alijua
kurudi mahali hapo ilikuwa ni kazi kubwa ,kuirejesha
nafasi yake iliyokapote ilikuwa yataka moyo,
alilitazama tena lilebango na kutafakari kwa kina
“ni miaka mitano sasa tangu 2011,ilipo pangwa
safari yangu ya kwenda india na kushindikana Geb
atakuwa amekwisha nisahau na bila shaka atakuwa
ameshaoa nakuzaa watoto na mwanamke mwingine
“ alijisemea mwenyewe kisha akashusha pumzi
ndefu na kuendelea na safari yake kushtuka
anakutana na basi kubwa aina la ABC ambalo
lilijitahidi kumkwepana na hatimaye lika msukuma
nakumkwaruza sehemu ndogo ya mwili wake,
kumbe alikuwa akitembea hali ya kuwa bado
anamawazo kichwani kiasi hakuweza kuliona gari
wala kusikia honi, alijikongoja pale alipo anguka na
kujiegesha panapo mti mkubwa wa nyaya za umeme
“ pole sana binti ajakuumiza sana?” ilipita sauti
nzito masikioni mwake kutazama alikuwa mzee wa
makamo, aliweza hata kumfananisha hata na baba
yake mzazi kiumri “hapana, kidogo tuu nahisi
nitakuwa sawa “ alijitetea huku akimuonyesha
sehemu yake ya bega ambayo kwa sasa ilikuwa
ikivuja damu
“Mmh! Hiyo sio sehemu ndogo mwanangu
naombanikupe msaada wa hospitali” walikubaliana
na wote wakaondoka taswira ya mwanaume Yule
aliyemuonyesha utu anna na kutaka kumsaidia
ilikuwa tofutti sana na watu wengi wanao penda
kusaidia mara nyingi watu wenye uwezo wakipesa
ndo hutamani kumsaidia mtu ilikuwa tofauti kwa
mzee huyu ambaye mpaka sasa anna hakulitambua
jina lake, alionekana dhaifu na nimtu mwenye hali
duni ila nafsi yake ilimtuma kufanya wema ule kiasi
kidogo cha pesaalichokawa nacho chote alimpatia
daktari kwa ajili ya matibabu ya anna walipo pewa
huduma walisogea mbali kidogo na zahanati “Binti
mimi naitwa mzee bernad,ila wengu hupenda kuniita
uncle Ben” alianza kujitambulisha mzee Yule wa
makamo” asante uncle ben mimi naitwa anna “
anna pia alijitambulisha kisha akaweka nukta
kumsikiliza uncle ben ambaye alionekana kuwa na
shauku la kusema jambo
“unajua anna, Dodoma au hata mikoa mingine
inatofauti sana na Dar e salaam, na huku ni
agharabu sana kukuta watu wakitembea bila kuwa
na makazi maalumu, name nimekuwa nikikuona
mahali hapa nina zaidi ya siku mbili hivi ukiwa auna
melekeo mzuri embu niambie wewe kwenu hasa
niwapi?” swali alilo ulizwa anna na uncle ben
alitamani asiulizwe na yeyote ulimwenguni kwani
alikuwa akikifukua kidonda ambacho bado kibishi
ndani ya moyo wa anna machozi yalijaa ndani ya
macho yake na kuanza kutiririka mashavuni kwa
uchungu historia yake mwenyewe lakini ilimliza kila
kukicha akiikumbuka, hakuwa na namna
alimuhadithia uncle ben kila kilichotokea na mpaka
siku ile kufika mahali pale ,kiasi ilimgusa uncle Ben
ambaye naye aliwapoteza watoto wake wawili na
mkewe katika mazingira ya kutatanisha baadaya
kufuja mbali ambazo hakuzipata kwa njia ya halali
na kulitumikia kanisa kwa kutumia mali hizo pasi
na hofu yoyote kitu kilichokuwa tofauti na masharti
ya mali hizo. Waliongea mengi na uncle ben
alimkaribisha anna nyumbani kwake na kuishi naye
kama binti yake.
 
SEHEMU YA 19
Ilipita miezina hatimaye mwaka ulikalibia kuisha
siku moja mida ya jioni wakati uncle ben anatoka
kutafuta chochote kitu alishangaa kumkuta anna
amejilaza nje ya kibanda kile cha nyasi
hukuakitetemeka mithili ya mtu anayehisi baridi kali
alimsogelea karibu na kumshika “anna mama nini
tatizo?” alimuuliza
“Uncle….si.sijisikii vizuri” aliongea kwa tabu kweli
anna alikuwa na homa kali mno uncle alimuinua
anna na kumuingiza ndani kisha kumfunika nguo
nzito na kuwasha mshumaa kwani tayari giza
lilikuwa limetanda “kulikoni anna nini cha mno
“aliuliza uncle ambaye alitaka kujua namna ya
kumsaidia “ nikichwa tuu uncle na homa kali pia
najihisi mwenye kupata baridi kali” alijielezea anna
jinsi anavyojisikia taratibu alisogea pembeni na
kuchukua kikombe cha maji na tambara kubwa
kisha akakilowesha maji kile kitambaa na
kumfunikanacho juu ya paji la uso “sasa sikia binti
yangu wacha nikakuangalizie dawa nakuja sasa hivi
kwa lolote utamuita jirani akusaidie sawa?”
“Sawa”
Alinyanyuka taratibu bembezoni mwa kitanda cha
anna akatoka mpaka mbele ya kibanda kile
akaingiza mikono yake mfukoni akatoa shilingi mia
mbili
“Daaah sijui nitapata wapi pesa ilinikamnunulie
dawa binti yangu?” alinung’unika mwenyewe huku
akiangalia anga jinsi ilivyotanda Giza “bila shaka
yatakuwa nimalaria embu tuone itakavyokuwa”
aliendelea kujadili Na halimashauri yake ya kichwa
huku akikanyanga hatua kutoweka maeneo yakaribu
Na nyumbani.
Zilipita sekunde dakika na sasa ikawa nusu saa
tayari alikwisha pata dawa na kurejea nyumbani
jirani kabisa na nyumbani kwake alishuhudia moto
mkali ukiwaka na watu wakiizunguka nyumba yake
kwa mandoo ya maji na michanga wakijitahidi
kuzima moto huo kutazama vizuri bila shaka
aligundua nikibanda chake ndicho kilichokawa
kikiwaka moto “mungu wangu!” alihamaki na
kushika mikono kichwani
“Binti wa watu jamani “aliendeleakuisononesha nafsi
yake alikimbia Na kusogea karibu na eneo lile
ilikupata taharifa juu ya binti aliyekawa amemuacha
ndani ya kibanda kile
“Samahani kijana kuna binti nilimuacha humu ndani
vipi amefanikiwakutoka?” alimuuliza kijana
aliyesimama naye jirani
“Ndio kafanikiwa ila ameungua kidogo na dhani
wamempeleka dhahanati ya hapo karibu” alijibu
huku akiashilia kwa kidole kumuelekeza zahanati ya
pale karibu ambapo alikuta anna akipewa huduma
ya kwanza juu ya jeraha lile la moto masikini anna
alikuwa ameungua usoni na sehemu yake kubwa ya
uso iliharibika sana hakukuwa na uwezekano
wakusema akipona itarejea taswira yake ya zamani
bila shaka ilikuwa lazima abadilike,lilikuwa pigo
kubwa kwa anna kwa mara ya kwanza alianza
kupoteza tumaini la kuonana na Geb.
Siku zilipita Na anna akapata auheni Na kidonda
kilianza kuonyesha matumaini
“Mzee mginjwa wako anaendelea vizuri tuu Na
unaweza kuondoka naye baada ya kukamilisha
malipo”aliongea daktari aliyefika wodi ya wagonjwa
Kwa lengo la kuangalia maendelea ya wagonjwa
“Nikiasi gani itagharimu matibabu yote hayo”aliuliza
uncle ben
“Uwenda yakafika laki tatu na nusu ila kwa uhakika
zaidi ungeulizia pale mapokezi”ilikuwa Ni kiwango
kikubwa Sana cha pesa hawakujua wapiwa ngeweza
kukipata kukicha uncle ben alikuwa akitafuta pesa
hizo ambazo bado matumaini ya kuzipata
hayakuwepo na kiasi cha pesa walichokawa
wakidaiwa kilizidi kuongezeka kila siku na mpaka
kufikia laki tano siku moja jioni anna akiwa katika
mizunguko yake ndani ya ile hospitali kwa mbali
alimuona mtu aliye mfahamu Dk.lamek, alikumbuka
amaagizo aliyopewa siku ya mwisho wakati
anaondoka hospitalini hapo akakumbuka alipewa
namba ya simu ya Daktari huyo ila aliipuuza leo
aliuona umuhimu wake na kuamua kumfatilia,
alimfata pale alipokawa amesimama akiongeana
baadhi ya wauguzi wa hospitali ile. Ali msubiri
mpaka alivyomaliza kuongea na wauguzi kisha
akaomba kuongea naye
“Habari yako dokta?” alimsalimia anna ila lamek
alionekana kutokujali kwani alimshukuria kama
wagomjwa wengine tuu
“Salama nieleze unatatizo gani dada angu?”
alimuuliza huku akiendelea kupekua faili alilokawa
amepewa mkononi baada ya kuwapa maelekezo
wauguzi wale
“Naitwa anna Nina matatizo?”jina la anna lilienda
kuugusa moyo wa lamek bila kutarajia alishtuka na
kumtazama vizuri upande mmoja wa sura yake
alikuwa amejiziba na kanga kumtazama lamek
aligundua kuwa ni kweli alikua ni anna tena ni anna
magessa Yule Yule aliyekuwa akimtafuta kwa
kipindi kirefu.
Wakajikuta wakikatisha maongezi na kuanza
maongezi mapya lamek alianza kuelezea jinsi
alivyochukua muda kumtafuta anna huku akijua
hakuwa na mahala pakuishi kwa pale Dodoma
alimuelezea anna alivyogombana na watu ofisini
kwa kumruhusu anna kutoka wakati hakuwa na
pakwenda kwa muda ule il mwisho ilibidi warudi
katika mada ya tatizo la anna .
“nina daiwa laki tano katika hospitali hii na kila siku
zinavyozidi kwenda ndivyo pesa inavyozidi kuwa
kubwa na kugharimu maisha yangu”
“usijali tatizo lako ni dogo na tangu sasa
limekwisha, ila hujanieleza uliletwa hapa kwa tatizo
gani?” baada ya swali hilo ndipo anna alipoamua
kufunua ule upande mwinginewa sura yake ama
alikuwa ameharibika mno
“kulikoni anna umekutwa na nini?”
“ni stori ndefu Dk ila nitakuhadithia usijali”
Waliongea mengi ya hapa na pale na lamek
alimuhakikishia anna kuwa anamlipia kiasi chote
cha pesa anayodaiwa pia alimchukua anna na uncle
ben akaenda nao kuishi nao kwake ambapo alikuwa
akiishi mwenyewe tuu pamoja na dada wa kazi.
Walikaribishwa ndani ya jumba lile la kifahari na
wao wakawa miongoni mwa familia ile , masiku
yalipita anna akiwa na mawazo tele juu ya Geb fikra
zake zilitamani kumsahau Geb ila moyo ulikuwa
mgumu kushawishika kwa hilo, kila alipojitazama
katika kioo alihofu na taswira aliyokuwa nayo.
Siku moja jioni lamek alikuwa akipata chakula cha
jioni na anna katika moja ya hoteli nzuri na
yakifahali pale Dodoma huku wakipiga story za hapa
na pale
“anna nimejaribu kukuangalizia daktari wa kuliondoa
hilo kovu lako hapo usoni na hatimaye amepatikana

“waow jamani asante lamek”
“usijali mimi naona nikama wajibu wangu
kukusaidia katika jambo kama hili ndomana unaona
hata leo nipo hapa kwa ajili yako” aliongea lamek
maneno yaliyomfanya anna awemakini zaidi
kumsikiliza
“unajua mbali na yote haya ninayo yafanya leo hii
kwa ajili yako ni kwa ajili yangu pia”
“Unamaana gani?” aliuliza anna huku akiwa na hofu
kubwa
“tangu siku ya kwanza nakuona ukiwa katika hali ya
uchizi nilitokea kukupenda mno ila sikuweza kupewa
nafasi kwa wakati ule nikiwa kama daktari
kukueleza hisia zangu,ila kwa kudhihirisha dhamila
yangu kuwa ni ya kweli leo nimekutana tena na
anna na ninakuelezea hisia zangu, anna ninakupenda
na nina hitaji nikuoe” yalikuwa maneno
yaliyoustahaja bisha sana moyo wa anna hakuelewa
kama alikuwa ndotoni au ni kweli yalitokea ,
alisimama kisha akagonga meza kwa hasira
“lamek huu ndo msaada unaotaka kunisaidia?,
samahani sana sitoweka kukubaliana na wewe
maana bado moyo wangu upo kwa Geb na wewe
unajua hilo kama msaada wako siwezi kuupata bila
kuwa na wewe kimapenzi basi bora niendelee kuwa
hivi hivi maisha yangu yote”hapana anna sikuwa na
maana hiyo bado nahitaji kukusaidia japo kuwa
nakupenda ila pia na elewa kama moyo wko upo
kwa mtu mwingine ila daaah sawa basi niahidi
iwapo huto onana na Geb na kurudiana naye
tenautakuwa wangu?”Zilikuwa hisia za kweli za
lamek zikisimama kulitetea kile kinachokiitaji,
walielewana na anna alipewa matibabu huko india
na kufanyiwa upasuaji wa sura yake ilikuweza
kuliondoa kovu alilokawa nalo na kurejeshewa ngozi
yake na sura yake ya awaliilimchukua masiku
kadhaa kitandani mpaka atakapopona na kutolewa
bandeji usoni.
Siku moja jioni kulitangazwa uzinduzi wa yard mpya
ya magari ambaye mmiliki wa yard hiyo alikuwani
Mr Gabriel Msigwa zikatajwa na namba zake za
simu na mwenyew alonysha akitoa maelekezo
mafupi juu ya yardi yake ya magari, anna
alimgundua ni kweli alikuwa geb wake ndo Yule
aliyekawa akionyeshwa kwenye runinga aliikariri
vyema namba ile iliyotajwa pale ili asije kuisahau au
kuipoteza kwa namna yoyote ile, bado ilibaki kuwa
siri yake juu ya namba ya Geb aliyoipata baada ya
masiku mengi kupita sasa iliwadia ile siku ya
kutolewa ile bandeji usoni walitwa ndugu wa karibu
ambao ni Uncle Ben na lamek mwenyewekisha
wakamfungua taratibu mpaka mwisho kabla
ajafungua macho anna alihisi ukimya uliojawa na
mshangao juu ya watu wliokwa wanamtazama kwa
wakati ule hasa uncle ben ambaye alionyesha
kupotea kwa matumaini kadhaa mbili yake anna
aliinua mkono wake na kupapasa uso wake ambao
alihisi ngozi nyororo kupita maelezo ngozi ile
ilitofautiana na ngozi yake ya awali kitu
kilichomshangaza mno kwani anakumbuka kuaidiwa
kurejeshewa hali yake ya mwanzo . Kutahamaki
alikutana na chungu cha udongo kilicho na ngozi ya
mwanadamu alipoitazama vizuri aligundua ilikuwa ni
ile sura yake ya awali ilitolewa yote nay eye
aliwekwa nyingine hakutaka kuamini alikisogerea
kioo kilipo aliumia sana kuona taswira yake
imeharibika alijua dhahiri utakuwa ni mpango wa
lamek ilikuweza kupoteza taswira ya anna ili abaki
kuwa wake maisha yote, japo anna alipojaribu
kumtupia lawama lamek lamek alijitetea kuwa
hayakuwa makubaliano yake na madaktari na hata
yeye alishangaa kuona anna amebadilishwa sura .
Mpango wa lamek wa kumbadilisha sura anna
ulikuwa wa siri kubwa mno, lamek aliweza kumpatia
ktita kizito cha pesa kila daktari ili asiweze
kuvujisha siri ile na ibaki kuwa ndani yao tuu, alijua
kuwa amemuumiza sana anna juu ya kitendo kile ila
hakuwa na namna wala jinsi zaidi ya kumtenganisha
na taswira ambayo itamsumbua geb,
Baada ya masiku mengi kupita anna sasa ilibidi
amsahau Geb na kufungua kurasampya wa maisha
yake akiwa kama msichana mwanamusiki ila kabla
ya yote alitamani kurudi dar-es-salaam kujua hali ya
wazee wake ambapo alipewa taharifa za mama na
baba yake kufarikimiaka mingi iliyopita na kuzikwa
katika makabuli ya public kutokana na ukosefu wa
wasimamizi aliikuta nyumba yao ikiwa gofu tuu
nyasi kila kona zilitapa kaa haikuonekana kama ni
nyumba ambayo walikuwa wakiishi watu ,taswira ile
ilimuumiza zaidi ila hakuwa najinsi japo ulikuwa
msiba mzito wakondokewa na wazazi wote wawili ,
aliludi nyumbani ambapo alishika gita lake na
kuanza kuimba nyimbo za majonzi ,wkati akipiga
gita lake zikamjia fikra za kuwa mimbaji mzuri
“pamoja na huu umaridadi niliokuwa nao mbona
nitaweza
Kuimbamusic aliwaza Sana juu ya Hilo mwishoni
aliacha kupiga gita kisha akasema tangu sasa
nitaitwa angle,”
*********************************************
****************
Tangu hapo niliitwa angle Na jina la anna lilifutika
kichwani wangu mpaka nilipokuja kuonana Na Geb
katik moja ya kasino mara ya kwanza mpaka
kuniambia anamchumba roho iliniuma sana ila yote
ni kwa sababu geb alikuwa hajui kama alikuwa
akiongea na mtu ambaye alikuwa akimchoma sana
moyo wake, Geb samahani kwa yote yatakayo tokea
mahali hapa ila huu ndio uhalicia wa maisha yangu
mimi ndiye anna wako niliyetolewa kizazi kwa ajili
yako nimefanyiwa mengi yakudharaulika kwa ajili
yako ilakubwa nililokuja kusema ni shukrani za dhati
na kuwatakia maisha mema……………
***********************************
 
Sehemu ya 20 (MWISHO)
Tangu hapo niliitwa angle Na jina la anna lilifutika
kichwani wangu mpaka nilipokuja kuonana Na Geb
katik moja ya kasino mara ya kwanza mpaka
kuniambia anamchumba roho iliniuma sana ila yote
ni kwa sababu geb alikuwa hajui kama alikuwa
akiongea na mtu ambaye alikuwa akimchoma sana
moyo wake, Geb samahani kwa yote yatakayo tokea
mahali hapa ila huu ndio uhalicia wa maisha yangu
mimi ndiye anna wako niliyetolewa kizazi kwa ajili
yako nimefanyiwa mengi yakudharaulika kwa ajili
yako ilakubwa nililokuja kusema ni shukrani za dhati
na kuwatakia maisha mema……………
Mara ile screen ilizimakila mtu ndani ya ukumbi ule
alikuwa ameshachoka kila mtu alimuonea huruma
anna kwa tabu alizopitia mpaka alipofikia kwao
ilikuwa simulizi yenye kuumiza mno ila ilimuumiza
zaid anna na Geb ambao ndio walikuwa wahusika
wakuu Geb alitazama huku na kule kuona ni wapi
angeweza kumuona anna lakini anna alikuwa
amekwisha ondoka ndani ya ukumbi ule, alimtafuta
kwa simu yake ya mkononi mara kadhaa iliita ila
baadae ilikata na kuzima kabisa hata alipo piga
aliambiwa simu anayopiga haipatikani,alimtafuta
bila mafanikio wakati bado anaangaika kumtafuta
anna kwa simu yake ghafra alishikwa bega na mtu
siye mjua
“samahani m naitwa mr lamek” alijitambulisha
lamek huku akimpa mkono geb ,
” bila samahani “
“mimi ndiye lamek niliyekawa naongelewa mahali
hapa ni kweli nimemkosea sana angle nilikuwa
nakuomba unisaidie walau kuniombea msamaha
kwa kosa la kumbadilisha sura yake “ aliongea
mengi lamek hakuacha kuelezea juu ya ukweli alio
kawa ameuweka siku nyingi ndani ya moyo wake
mwisho wa siku alimchukua Geb na kumkutanisha
na anna ambao walisameheana na kuombana radhi
kwa kila chembe waliyokoseana na kufunga ndoa
kisha wakaanza maisha yao upya wakiwa kama
baba na mama na kwa kuwa anna alikuwa hana
kizazi hivyo hawakuwa na matumaini ya kupata
mototo hivyo wakaomba mtoto katika kituo cha
watoto yatima na kumlea kama mototo wao na
kusahau kabisa maisha ya awali ikiwemo na kufuta
taswira ya misukosuko yote waliyopitia katika
maisha yao.
JIFUNZE MAISHA SIO MTEREMKO KAMA
UNAVYOFIKIRIA LEO UPO KWA WAZAZI AU WALEZI
WANAKUPA KILA UNACHOKITAKA UWEZI KUONA
MTIKISIKO WOWOTE HATA KAMA BABA ASIPO
ACHA PESA YA CHAKULA KWAKO LAZIMA
UTAKULA KWANI MAMA ATALIPIGANIA TUMBO
LAKO ILI UWEZEKULA, ILA UTAKAPO ANZA
KUSEMA LEO NATAKA NISIMAME PEKE YANGU
EIZA NA MUME, MKE AU MPENZI NDIPO
MAJARIBU MENGI HUANZA KUTOKEA ILA YOTE NI
KATIKA NAMNA YA KUZITENGENEZA NAFSI ZENU
JUU YA UVUMILIVU………………!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ANGALIZO KILA KINACHO TOKEA KWAKO LEO HII
KILISHAWAHI KUTOKEA MIAKA YA NYUMA
MWISHO!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom