Riba za benk za kibiasbara zisizidi asilimia 5

Dennis Roberts

JF-Expert Member
May 30, 2024
612
759
Kama kisemavyo kichwa cha habari riba za benk za kibiashara hazitakiwi kuzidi asilimia 5 hii itachochea ukuaji wa uchumi kwa sababu mikopo itapatikana kwa bei nafuu faida za mikopo kuwa na riba ndogo
  • Kuongeza mzunguko wa fedha
  • Kuondoa hofu ya kukopa ambayo wanayo watu wengi
  • Kuongeza ajira
  • Kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja
  • Kuongeza kodi serikalini
Ni vizuri serikali ikalifanyia kazi hili wazo sababu lina manufaa kwa nchi
 
Kwa Tanzania haiwezekani, hiyo ni fantasy au ndoto za mchana.

The best labda 14% na hapo ni ikiwa bunge litatunga sheria kabisa kwama walivyofanya Kenya kipindi fulani, na hapo benki kuu itabidi pia riba yake iwe ndogo sana walau 4% kitu ambacho ni kigumu kukitekeleza kwa aina ya uchumi wetu kutokana na madhara yake.
 
Hivi unajua kwa nini taasisi za kifedha zinafutiwa na tanzania?.
Sababu ya riba ambazo zinawapa faida kubwa.
 
Kwa Tanzania haiwezekani, hiyo ni fantasy au ndoto za mchana.

The best labda 14% na hapo ni ikiwa bunge litatunga sheria kabisa kwama walivyofanya Kenya kipindi fulani, na hapo benki kuu itabidi pia riba yake iwe ndogo sana walau 4% kitu ambacho ni kigumu kukitekeleza kwa aina ya uchumi wetu kutokana na madhara yake.
Ili undelee unahitaji maamuzi magumu maendeleo hayaji kwa kupetipeti
 
Kama kisemavyo kichwa cha habari riba za benk za kibiashara hazitakiwi kuzidi asilimia 5 hii itachochea ukuaji wa uchumi kwa sababu mikopo itapatikana kwa bei nafuu faida za mikopo kuwa na riba ndogo
  • Kuongeza mzunguko wa fedha
  • Kuondoa hofu ya kukopa ambayo wanayo watu wengi
  • Kuongeza ajira
  • Kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja
  • Kuongeza kodi serikalini
Ni vizuri serikali ikalifanyia kazi hili wazo sababu lina manufaa kwa nchi
Wanzania hawana tabia za kulipa madeni, hata uwape bila riba.

Ni mabingwa tu wa unafiki, ubinafsi na utapeli.

Halmashauri zinatoa mikopo isiyo na riba ila mtu anaona uvivu kufuatilia, anaona haifai
 
Wanzania hawana tabia za kulipa madeni, hata uwape bila riba.

Ni mabingwa tu wa unafiki, ubinafsi na utapeli.

Halmashauri zinatoa mikopo isiyo na riba ila mtu anaona uvivu kufuatilia, anaona haifai
Ni kwa sababu tu wengi wao hawatumii Bank ndo maana inakua ngumu kuwapata
 
Bank wanakopeshea biashara kutumia liability amana za wateja wao (non-transactional deposits/savings account).

Kwasababu wanatumia savings accounts ili kila upande upate faida (mteja na banks), inabidi banks walipe wateja wao wa savings accounts riba. Kwa Tanzania riba ya saving account zinafika mpaka 10% kwa savings accounts za muda mrefu.

Riba ndogo za savings za muda mfupi wanalipa interest kwa wateja wao 5%-7%.

Maana yake nini huo mkopo kwa biashara wa 5% aiwezekan hata siku moja kwa mazingira ya Tanzania.

Banks zinazoweza kutoa riba ndogo kwa Tanzania ni za serikali, kwa kutumia hela ya serikali. Shida ni kwamba kila wakifungua bank zao kusaidia sector iwe biashara au kilimo wanaopewa kuziongoza wanazichota baada ya muda utasikia bank zao zimejaza non-performing loans na hawana cash flow ya kuendelea na biashara na mikopo yenyewe haikuwa na backed na security mteja akishindwa kulipa.

Baada ya hapo uoni TAKUKURU, wala sijui nani kufanya uchunguzi ila utaona waziri husika wa wizara kama ni bank ya kilimo ana ukwasi wa kujengea CCM ofisi tsh 300 million huko Nzega hiyo kwake ni hela ya chai tu.

Tanzania ina safari ndefu, tukitoka hapo tunaanza kulaumu hoo tunalima pamba halafu tunaagiza nguo. Sasa utashindana na mchina vipi wakati kwao kiwanda chake mkopo wake labda riba 5%-7%, umeme wake unit cost chini $0.10 per unit, machine hana import duty (na ukute ana capital allowance ya 100%).

Halafu angalia na mazingira ya kuwekeza Tanzania, kuacha kuagiza bidhaa China ni hadithi za ‘Ali Nacha’ tu kwa sasa.

Kwa sehemu kubwa watanzania ni watu watukujitekenya na kucheka wenyewe.
 
Bank wanakopeshea biashara kutumia liability amana za wateja wao (non-transactional deposits/savings account).

Hizo savings accounts ili kila apate faida mteja na banks, kuna banks wana lipa savings accounts mpaka 10% kwa miaka ya savings.

Riba ndogo za savings za muda mfupi wanalipa interest kwa wateja wao 5%-7%.

Maana yake nini huo mkopo wa biashara wa 5% auwezekani hata siku moja.

Bank inazoweza fanya ni za serikali, kwa hela ya serikali. Lakini kila wakifungua bank zao kusaidia sector iwe biashara au kilimo wanaopewa kuziongoza wanazichota baada ya muda utasikia bank zao zimejaza non-performing loans na hawana cash flow ya kuendelea na biashara.

Baada ya hapo uoni TAKUKURU, wala sijui nani kufanya uchunguzi ila utaona waziri husika wa wizara kama ni bank ya kilimo ana ukwasi wa kujengea CCM ofisi tsh 300 million huko Nzega hiyo kwake ni hela ya chai tu.

Tanzania ina safari ndefu, tukitoka hapo tunaanza kulaumu hoo tunalima pamba halafu tunaagiza nguo, mchina kiwanda chake mkopo wake labda riba 5%-7%, umeme wake unit cost chini $0.10 per unit, machine hana import duty (na ukute ana capital allowance ya 100%).

Halafu angalia na mazingira ya kuwekeza Tanzania, kuacha kuagiza bidhaa China ni hadithi za ‘Ali Nacha’.

Kwa sehemu kubwa watanzania ni watukujitekenya na kucheka wenyewe.
Kwenye maisha kila mda ukiipa nafasi excuse ni ngumu sana kufanya jambo kubwa au la maana

Hakuna jambo rahisi kwenye maisha
Afrika na Tanzania haiwezi toka kwenye umaskini kama tukitegemea excuse
 
Kwenye maisha kila mda ukiipa nafasi excuse ni ngumu sana kufanya jambo kubwa au la maana

Hakuna jambo rahisi kwenye maisha
Afrika na Tanzania haiwezi toka kwenye umaskini kama tukitegemea excuse
Sasa excuse kwenye maandishi yangu iko wapi.

Mimi nimeelezea how banking works ni volatile business.

Wanakopesha kwa kutumia hela za wateja wao, sasa watalipaje wateja wao interest mpaka za 10% kwenye saving account, halafu wao wakopeshe 5%.

Wazo lako ni sawa na kumwambia mzalishaji mwenye unit cost 10000 kuzalisha halafu uuze kwa tsh 5000.

Nenda commercial bank za Tanzania angalia savings products zao na Interests wanazotoa; halafu uone kama inawezekana kukopesha wafanyabiashara kwa 5%.

Riba za savings Tanzania ni kubwa sana (hiyo sasa ni mada nyingine) nchi nyingi za ulaya savings ukipata interest ya 5% ni bahati
 
Halafu wakiambiwa ukweli wanatoa vitu tu kutoka vichwani kwao wengine wanakasirika.

Kuna vitu unasoma unabaki salalee
Riba ya 5% inawezekana kwenye uchumi ambao ni developed sana kama US Japan ambapo kipindi kisicho cha msukosuko wa uchumu default risk ni ndogo at the same time hapo central bank unakuta riba ni 1%. Na bado hata hiyo5% unakuta ni kwa category fulani fulani tu, ukienda kwenye indivudual loans kama credit cards riba unakuta zipo kwenye 7 to 10% na huko ni majuu.

Sasa Tanzania hii ambayo kukopa harusi kulipa matanga, ukiweka hiyo riba ya 5% si miaka miwili unafunga benki? Maana yake ni kwamba kwa nchi ya risk kubwa kiasi hichi, riba naturally zinekuwa juu kufidia hasara ya wateja magumashi
 
Riba ya 5% inawezekana kwenye uchumi ambao ni developed sana kama US Japan ambapo kipindi kisicho cha msukosuko wa uchumu default risk ni ndogo at the same time hapo central bank unakuta riba ni 1%. Na bado hata hiyo5% unakuta ni kwa category fulani fulani tu, ukienda kwenye indivudual loans kama credit cards riba unakuta zipo kwenye 7 to 10% na huko ni majuu.

Sasa Tanzania hii ambayo kukopa harusi kulipa matanga, ukiweka hiyo riba ya 5% si miaka miwili unafunga benki? Maana yake ni kwamba kwa nchi ya risk kubwa kiasi hichi, riba naturally zinekuwa juu kufidia hasara ya wateja magumashi
Ndio maana nikamuelezea hapo huko majuu uwezi kukuta kuna saving account inayolipa 5%.

Riba ya bank kuu ni baseline, lakini baada ya hapo lenders wanaongeza na cha juu chao.

Otherwise sehemu kubwa ya mikopo ya bank ni hela za wateja wao, ambao wanawalipa interest na wao wana charge interest kwenye loans.
 
Halafu wakiambiwa ukweli wanatoa vitu tu kutoka vichwani kwao wengine wanakasirika.

Kuna vitu unasoma unabaki salalee
Katika mtu wa ajabu ni wewe
Magufuli alikua na maamuzi ya ajabu au alikuwa na bold move na ulikua unamsupport wazi waz na kwa gharama yote

Afrika iendelee inahitaji kiongozi menye bold move kama magufuli ambaye wewe ulikua unamuimbia mapambio

Bold move ni pamoja na kushusha interest rate kuwa 5 unasemaje haiwezekani Inawezekana ni kwa sababu sisi waafrika tumeshahaminishwa haiwezekani

Mfano magufuli alitaka kujenga bwawa la Nyerere wakaibuka watu kama wewe haiwezekan tena wakaja na mpaka tafiti walizofanya lakin magufuli alifanya leo hii nchi inafaidika

Tambua mimi simkubali magufuli ila mazuri yake lazima niyakubali lazima viongoz wa afrika wawe na guts ili waeze kuondoa umaskini
 
Back
Top Bottom