Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 624
Kila wakidhani umeisha ndo unafufuka upya, kule kulitaja jina la Mungu wako kila siku linakupa ulinzi na maono ya kesho yako.
Unawatesa sana wapinzani wako mind you wapinzani wako siyo kutoka vyama vya upinzani wako ndani ya nyumba, kwa jinsi unavyopenya na kujibu shida za wale unaowaongoza.
Mimi binafsi nakuona mbali saaana kutokea hapo ulipo na nina hakika utafika huko ikimpendeza Mungu. La muhimu uwe mnyenyekevu tu tunakuombea.
Unawatesa sana wapinzani wako mind you wapinzani wako siyo kutoka vyama vya upinzani wako ndani ya nyumba, kwa jinsi unavyopenya na kujibu shida za wale unaowaongoza.
Mimi binafsi nakuona mbali saaana kutokea hapo ulipo na nina hakika utafika huko ikimpendeza Mungu. La muhimu uwe mnyenyekevu tu tunakuombea.