Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,046
- 5,593
Wakuu
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustapha, amefanya ziara na kukagua maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Mjini kwa kutumia helikopta. Na si hivyo tu, akaenda mbali zaidi kuangalia mipaka ya mkoa huo, pamoja na mikoa mingine ya Kusini na Kaskazini ya Unguja.
Hii inamaanisha kwamba "angani ni mahali pake" sasa!
Soma, Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Mkuu Mkoa wa Mjini Magharibi
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustapha, amefanya ziara na kukagua maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Mjini kwa kutumia helikopta. Na si hivyo tu, akaenda mbali zaidi kuangalia mipaka ya mkoa huo, pamoja na mikoa mingine ya Kusini na Kaskazini ya Unguja.
Hii inamaanisha kwamba "angani ni mahali pake" sasa!