RC Chalamila: Siku ya mkesha wa Eid Al Adha Watoto wawili Walilawitiwa jijini DSM, Mmoja miaka 4 mwingine 9

Wanapowabughudhi wauza nyapu matokeo yake ndiyo haya sasa. Watu wana kutu halafu mnawaondolea sehemu za kujihifadhi mnataka waende wapi?
 
Hatari sana!
 
Duuh sio poa mara paap paroko huku watoto kulawitiwa naona hayo yanayoendelea bongo heri nianze kuchonga mtumbwi nipakie mbuzi ndama na vifaranga watu wanamuuzi Mungu kila kukicha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…