Wewe uko ktk kumtetea Dr Mihogo, katiba, Ukawa, CCM au kama Ukawa imeshakufa sioni sababu ya kupoteza muda kuongelea vitu vilivyokufa otherwise ungekuwa unatupa historia yake namna ilivyokuwa.Wiki chache zilizopita nilifanikiwa kumuona na kumsikiliza Maalim Seif katika kipindi cha luninga cha ahsubuhi akielezea yanayojiri Zanzibar na Chama chake cha CUF. Kituo hiko hiko kesho yake walimualika Prof Lipumba na kuhojiana naye kuhusu yale waliyomuuliza Seif.
Hayo yamejiri kama matokeo baada ya washirika wa Seif katika UKAWA kuamua kuingilia uhuru na demokrasia ndani ya chama cha CUF huku ilihali wanapalilia mgogoro na kuutukuza ubaguzi mkubwa na wa wazi anaoufanya Seif na wenzake.
Naam, UKAWA kirefu chake ni Umoja wa Katiba ya Wananchi ambapo lengo lake lilikuwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi katika Katiba mpya (rasimu ya Warioba) yanaheshimiwa. Lakini kilichotokea ni hadaa kwani hata kabla hawajaunda huo Ukawa tayari viongozi hao walisimama kidete kuipinga rasimu ile ile kabla haijawasilishwa Bunge la Katiba.
Baada ya UKAWA kuundwa ikaonekana ndiyo namna pekee ya kuunganisha nguvu ya kisiasa dhidi ya CCM ili kuitoa madarakani. Lakini ukiwauliza watukufu wa Ukawa nini malengo yao watakujibu kwa kuhubiri mapungufu ya CCM na kasoro zake huku wakiapiza kurekebissha changamoto hizo. Kwa sisi wenye akili tunag'amua kwamba hapo hakuna jipya kwani unaposema unatarajia kutatua matatizo bila kuwa na mpangokazi ni sawa na kutegemea kudra kwenye jambo ambalo ni lazima juhudi ifanyike.
Tunashuhudia leo namna injini za propaganda zinavyofanyakazi mitandaoni na vyombo vya habari katika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe na wanavyojiundia udiktekta kwenye vyama vyao. Unapokuwa katika vyamba vya UKAWA na ukafanikiwa kuwa kiongozi wa umma basi wewe unakuwa na cheo cha kuwa msemaji wa chama na UKAWA. Hakuna nidhamu wala mpangilio.
Unakuta kiongozi anaongea maneno ya hovyo hata kufikia kiwango cha kutukana lakini hakuna anayekemea wala kuwarejesha katika mstari.
Badala ya kuunga mkono maendeleo, leo hii UKAWA imekuwa mstari wa mbele kupinga maendeleo na hata kupropagate dhidi ya mipango yote ya serikali kuwaletea maendeleo wananchi.
Ikumbukwe, Dr. Slaa alijitoa kwa kiwango cha juu kujenga upinzani wenye tija lakini alipoona kuna gia mbovu zilizolazimishiwa kubadilishiwa hewani akajiweka pembeni na hawakumuacha hivi hivi walimtukana na kumdhalilisha vya kutosha.
Leo wanapambana na Lipumba ambaye ni muasisi wa huo umoja wao
Wasichokijua wananchi ni kuwa injini nyuma ya mchezo huu wote ni Lowassa na Mbowe ambao kila mmoja kwa wakati wake alitumia njia za kuchafua wenzake wanaoonekana wana juhudi za kuimarisha vyama walivyokuwemo.
Mimi ninachokijua ni kwamba UKAWA imebaki jina, imekuwa ni kigenge cha kupata public sympathy na siyo tanuru la kupika viongozi na kuleta utunduizi wa hoja za kuwasaidia wananchi.
Wanadandia matukio
wanadandia hoja
wanadandia sera
wanadandia treni kwa mbele
Msanii
Historia utabaki nayo wewe na wachache walioitumia kuwachangisha watanzania kwa kuwahadaa kuchangia operesheni za ukombozi kumbe walaji.Wewe uko ktk kumtetea Dr Mihogo, katiba, Ukawa, CCM au kama Ukawa imeshakufa sioni sababu ya kupoteza muda kuongelea vitu vilivyokufa otherwise ungekuwa unatupa historia yake namna ilivyokuwa.
Ingekuwa vizuri kama ungefafanua uhai wa mbadala wake - Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambayo over 80% ya wanachama wake - huko kwenye matawi na mashina hawatarajii kumwona mwenyewekiti wao anytime soon kwa sababu anajua sehemu nyingi ccm iliiba kura. Kilichobakia ni kwamba kila anapopata Kipaza sauti kwenye mikutano ya Chama ni kulia lia tu Lowassa Lowassa. Uwanja ni wako.Wiki chache zilizopita nilifanikiwa kumuona na kumsikiliza Maalim Seif katika kipindi cha luninga cha ahsubuhi akielezea yanayojiri Zanzibar na Chama chake cha CUF. Kituo hiko hiko kesho yake walimualika Prof Lipumba na kuhojiana naye kuhusu yale waliyomuuliza Seif.
Hayo yamejiri kama matokeo baada ya washirika wa Seif katika UKAWA kuamua kuingilia uhuru na demokrasia ndani ya chama cha CUF huku ilihali wanapalilia mgogoro na kuutukuza ubaguzi mkubwa na wa wazi anaoufanya Seif na wenzake.
Naam, UKAWA kirefu chake ni Umoja wa Katiba ya Wananchi ambapo lengo lake lilikuwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi katika Katiba mpya (rasimu ya Warioba) yanaheshimiwa. Lakini kilichotokea ni hadaa kwani hata kabla hawajaunda huo Ukawa tayari viongozi hao walisimama kidete kuipinga rasimu ile ile kabla haijawasilishwa Bunge la Katiba.
Baada ya UKAWA kuundwa ikaonekana ndiyo namna pekee ya kuunganisha nguvu ya kisiasa dhidi ya CCM ili kuitoa madarakani. Lakini ukiwauliza watukufu wa Ukawa nini malengo yao watakujibu kwa kuhubiri mapungufu ya CCM na kasoro zake huku wakiapiza kurekebissha changamoto hizo. Kwa sisi wenye akili tunag'amua kwamba hapo hakuna jipya kwani unaposema unatarajia kutatua matatizo bila kuwa na mpangokazi ni sawa na kutegemea kudra kwenye jambo ambalo ni lazima juhudi ifanyike.
Tunashuhudia leo namna injini za propaganda zinavyofanyakazi mitandaoni na vyombo vya habari katika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe na wanavyojiundia udiktekta kwenye vyama vyao. Unapokuwa katika vyamba vya UKAWA na ukafanikiwa kuwa kiongozi wa umma basi wewe unakuwa na cheo cha kuwa msemaji wa chama na UKAWA. Hakuna nidhamu wala mpangilio.
Unakuta kiongozi anaongea maneno ya hovyo hata kufikia kiwango cha kutukana lakini hakuna anayekemea wala kuwarejesha katika mstari.
Badala ya kuunga mkono maendeleo, leo hii UKAWA imekuwa mstari wa mbele kupinga maendeleo na hata kupropagate dhidi ya mipango yote ya serikali kuwaletea maendeleo wananchi.
Ikumbukwe, Dr. Slaa alijitoa kwa kiwango cha juu kujenga upinzani wenye tija lakini alipoona kuna gia mbovu zilizolazimishiwa kubadilishiwa hewani akajiweka pembeni na hawakumuacha hivi hivi walimtukana na kumdhalilisha vya kutosha.
Leo wanapambana na Lipumba ambaye ni muasisi wa huo umoja wao
Wasichokijua wananchi ni kuwa injini nyuma ya mchezo huu wote ni Lowassa na Mbowe ambao kila mmoja kwa wakati wake alitumia njia za kuchafua wenzake wanaoonekana wana juhudi za kuimarisha vyama walivyokuwemo.
Mimi ninachokijua ni kwamba UKAWA imebaki jina, imekuwa ni kigenge cha kupata public sympathy na siyo tanuru la kupika viongozi na kuleta utunduizi wa hoja za kuwasaidia wananchi.
Wanadandia matukio
wanadandia hoja
wanadandia sera
wanadandia treni kwa mbele
Msanii
Nilipigwa butwa kusikia Tanzania ni nchi ya mia hamsini na kitu kwa kuwa na wananchi wasiokuwa na furaha tunapitwa hata na nchi zilizo na migogoro ya vita inawezekana watafiti wakitafiti pia na nchi gani zina mbumbumbu wengi duniani basi Tanzania yetu inaweza ikawa nchi ya kwanza kuwa na mbumbumbu wengi.Hiki chama kuendelea kuwa madarakani kwa sababu za kukosa katiba na tume huru ya uchaguzi na bado tunawaza mambo ya uchaguzi ni jambo la fedhea sana na linatia walakini kama akili zetu zina akili.Sijui kama akili zetu zinafikiria sawa sawa.Ebu fikiria kama mwenyekiti wa chama tawala ndie ana mamlaka ya kumteua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.Hivi hapo kuna uchaguzi kweli au ni uchafuzi tu.Nchi nyigine ungekuta kishanuka.Huwezi kuwafanya watu mbumbumbu kiasi hicho.Iwepo katiba na tume huru uone fisiem kama itashinda.Tutaambulia mabomu nchi nzima.Hao walishaisha.Yupo Mzee mmoja wa mvi sasa hivi anahangaika hangaika akidhani 2020 ataipata tena neema ya 2015.Amuulize Dr Slaa.Atalia kilio cha mbwa.
Anaendeshwa na hisia hasi huyo. Apuuzwe hadi apauke mdomo kwa kupayuka.Wewe uko ktk kumtetea Dr Mihogo, katiba, Ukawa, CCM au kama Ukawa imeshakufa sioni sababu ya kupoteza muda kuongelea vitu vilivyokufa otherwise ungekuwa unatupa historia yake namna ilivyokuwa.
Umekosea kuzipanga. Rambirambi ndiyo hatari zaidi. Mkisikia hiyo kitu mnaweweseka kama vibiriti ngoma. Na kila hoja ya utetezi mnayokuja nayo mnapigwa mwiko wa pua. Wala rambirambi wakubwa ninyi! Khaaa! Ptuuuuuu!Cheti
Bashite
Rambirambi
Kulilia Mic za Misibani
Ndo Sera yetu.
Miundombinu inaboreshwa
Elimu bure
Ufisadi unakomeshwa
Wabadhirifu mnashughulikiwa
Niseme zaidi?
Historia utabaki nayo wewe na wachache walioitumia kuwachangisha watanzania kwa kuwahadaa kuchangia operesheni za ukombozi kumbe walaji.
Mimi nawaeleza kuwa mmeshakwisha na kila mnalolishika linawaponyoka.
Ubinafsi na uchu wa madaraka uliopitiliza ndilo kaburi lenu
Imekaa poa sana kwa CCM kama ni kweli.Wiki chache zilizopita nilifanikiwa kumuona na kumsikiliza Maalim Seif katika kipindi cha luninga cha ahsubuhi akielezea yanayojiri Zanzibar na Chama chake cha CUF. Kituo hiko hiko kesho yake walimualika Prof Lipumba na kuhojiana naye kuhusu yale waliyomuuliza Seif.
Hayo yamejiri kama matokeo baada ya washirika wa Seif katika UKAWA kuamua kuingilia uhuru na demokrasia ndani ya chama cha CUF huku ilihali wanapalilia mgogoro na kuutukuza ubaguzi mkubwa na wa wazi anaoufanya Seif na wenzake.
Naam, UKAWA kirefu chake ni Umoja wa Katiba ya Wananchi ambapo lengo lake lilikuwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi katika Katiba mpya (rasimu ya Warioba) yanaheshimiwa. Lakini kilichotokea ni hadaa kwani hata kabla hawajaunda huo Ukawa tayari viongozi hao walisimama kidete kuipinga rasimu ile ile kabla haijawasilishwa Bunge la Katiba.
Baada ya UKAWA kuundwa ikaonekana ndiyo namna pekee ya kuunganisha nguvu ya kisiasa dhidi ya CCM ili kuitoa madarakani. Lakini ukiwauliza watukufu wa Ukawa nini malengo yao watakujibu kwa kuhubiri mapungufu ya CCM na kasoro zake huku wakiapiza kurekebissha changamoto hizo. Kwa sisi wenye akili tunag'amua kwamba hapo hakuna jipya kwani unaposema unatarajia kutatua matatizo bila kuwa na mpangokazi ni sawa na kutegemea kudra kwenye jambo ambalo ni lazima juhudi ifanyike.
Tunashuhudia leo namna injini za propaganda zinavyofanyakazi mitandaoni na vyombo vya habari katika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe na wanavyojiundia udiktekta kwenye vyama vyao. Unapokuwa katika vyamba vya UKAWA na ukafanikiwa kuwa kiongozi wa umma basi wewe unakuwa na cheo cha kuwa msemaji wa chama na UKAWA. Hakuna nidhamu wala mpangilio.
Unakuta kiongozi anaongea maneno ya hovyo hata kufikia kiwango cha kutukana lakini hakuna anayekemea wala kuwarejesha katika mstari.
Badala ya kuunga mkono maendeleo, leo hii UKAWA imekuwa mstari wa mbele kupinga maendeleo na hata kupropagate dhidi ya mipango yote ya serikali kuwaletea maendeleo wananchi.
Ikumbukwe, Dr. Slaa alijitoa kwa kiwango cha juu kujenga upinzani wenye tija lakini alipoona kuna gia mbovu zilizolazimishiwa kubadilishiwa hewani akajiweka pembeni na hawakumuacha hivi hivi walimtukana na kumdhalilisha vya kutosha.
Leo wanapambana na Lipumba ambaye ni muasisi wa huo umoja wao
Wasichokijua wananchi ni kuwa injini nyuma ya mchezo huu wote ni Lowassa na Mbowe ambao kila mmoja kwa wakati wake alitumia njia za kuchafua wenzake wanaoonekana wana juhudi za kuimarisha vyama walivyokuwemo.
Mimi ninachokijua ni kwamba UKAWA imebaki jina, imekuwa ni kigenge cha kupata public sympathy na siyo tanuru la kupika viongozi na kuleta utunduizi wa hoja za kuwasaidia wananchi.
Wanadandia matukio
wanadandia hoja
wanadandia sera
wanadandia treni kwa mbele
Msanii
Wiki chache zilizopita nilifanikiwa kumuona na kumsikiliza Maalim Seif katika kipindi cha luninga cha ahsubuhi akielezea yanayojiri Zanzibar na Chama chake cha CUF. Kituo hiko hiko kesho yake walimualika Prof Lipumba na kuhojiana naye kuhusu yale waliyomuuliza Seif.
Hayo yamejiri kama matokeo baada ya washirika wa Seif katika UKAWA kuamua kuingilia uhuru na demokrasia ndani ya chama cha CUF huku ilihali wanapalilia mgogoro na kuutukuza ubaguzi mkubwa na wa wazi anaoufanya Seif na wenzake.
Naam, UKAWA kirefu chake ni Umoja wa Katiba ya Wananchi ambapo lengo lake lilikuwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi katika Katiba mpya (rasimu ya Warioba) yanaheshimiwa. Lakini kilichotokea ni hadaa kwani hata kabla hawajaunda huo Ukawa tayari viongozi hao walisimama kidete kuipinga rasimu ile ile kabla haijawasilishwa Bunge la Katiba.
Baada ya UKAWA kuundwa ikaonekana ndiyo namna pekee ya kuunganisha nguvu ya kisiasa dhidi ya CCM ili kuitoa madarakani. Lakini ukiwauliza watukufu wa Ukawa nini malengo yao watakujibu kwa kuhubiri mapungufu ya CCM na kasoro zake huku wakiapiza kurekebissha changamoto hizo. Kwa sisi wenye akili tunag'amua kwamba hapo hakuna jipya kwani unaposema unatarajia kutatua matatizo bila kuwa na mpangokazi ni sawa na kutegemea kudra kwenye jambo ambalo ni lazima juhudi ifanyike.
Tunashuhudia leo namna injini za propaganda zinavyofanyakazi mitandaoni na vyombo vya habari katika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe na wanavyojiundia udiktekta kwenye vyama vyao. Unapokuwa katika vyamba vya UKAWA na ukafanikiwa kuwa kiongozi wa umma basi wewe unakuwa na cheo cha kuwa msemaji wa chama na UKAWA. Hakuna nidhamu wala mpangilio.
Unakuta kiongozi anaongea maneno ya hovyo hata kufikia kiwango cha kutukana lakini hakuna anayekemea wala kuwarejesha katika mstari.
Badala ya kuunga mkono maendeleo, leo hii UKAWA imekuwa mstari wa mbele kupinga maendeleo na hata kupropagate dhidi ya mipango yote ya serikali kuwaletea maendeleo wananchi.
Ikumbukwe, Dr. Slaa alijitoa kwa kiwango cha juu kujenga upinzani wenye tija lakini alipoona kuna gia mbovu zilizolazimishiwa kubadilishiwa hewani akajiweka pembeni na hawakumuacha hivi hivi walimtukana na kumdhalilisha vya kutosha.
Leo wanapambana na Lipumba ambaye ni muasisi wa huo umoja wao
Wasichokijua wananchi ni kuwa injini nyuma ya mchezo huu wote ni Lowassa na Mbowe ambao kila mmoja kwa wakati wake alitumia njia za kuchafua wenzake wanaoonekana wana juhudi za kuimarisha vyama walivyokuwemo.
Mimi ninachokijua ni kwamba UKAWA imebaki jina, imekuwa ni kigenge cha kupata public sympathy na siyo tanuru la kupika viongozi na kuleta utunduizi wa hoja za kuwasaidia wananchi.
Wanadandia matukio
wanadandia hoja
wanadandia sera
wanadandia treni kwa mbele
Msanii
Hao walishaisha.Yupo Mzee mmoja wa mvi sasa hivi anahangaika hangaika akidhani 2020 ataipata tena neema ya 2015.Amuulize Dr Slaa.Atalia kilio cha mbwa.
kwa hiyo mnajiona wajanja na mmewin baada ya kupandikiza mgogoro CUF,Historia utabaki nayo wewe na wachache walioitumia kuwachangisha watanzania kwa kuwahadaa kuchangia operesheni za ukombozi kumbe walaji.
Mimi nawaeleza kuwa mmeshakwisha na kila mnalolishika linawaponyoka.
Ubinafsi na uchu wa madaraka uliopitiliza ndilo kaburi lenu
Same old crap!Siku nyingine usipoteze muda kuandika,search utapata uzi unaoendana na idea yako kisha pachika!Wiki chache zilizopita nilifanikiwa kumuona na kumsikiliza Maalim Seif katika kipindi cha luninga cha ahsubuhi akielezea yanayojiri Zanzibar na Chama chake cha CUF. Kituo hiko hiko kesho yake walimualika Prof Lipumba na kuhojiana naye kuhusu yale waliyomuuliza Seif.
Hayo yamejiri kama matokeo baada ya washirika wa Seif katika UKAWA kuamua kuingilia uhuru na demokrasia ndani ya chama cha CUF huku ilihali wanapalilia mgogoro na kuutukuza ubaguzi mkubwa na wa wazi anaoufanya Seif na wenzake.
Naam, UKAWA kirefu chake ni Umoja wa Katiba ya Wananchi ambapo lengo lake lilikuwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi katika Katiba mpya (rasimu ya Warioba) yanaheshimiwa. Lakini kilichotokea ni hadaa kwani hata kabla hawajaunda huo Ukawa tayari viongozi hao walisimama kidete kuipinga rasimu ile ile kabla haijawasilishwa Bunge la Katiba.
Baada ya UKAWA kuundwa ikaonekana ndiyo namna pekee ya kuunganisha nguvu ya kisiasa dhidi ya CCM ili kuitoa madarakani. Lakini ukiwauliza watukufu wa Ukawa nini malengo yao watakujibu kwa kuhubiri mapungufu ya CCM na kasoro zake huku wakiapiza kurekebissha changamoto hizo. Kwa sisi wenye akili tunag'amua kwamba hapo hakuna jipya kwani unaposema unatarajia kutatua matatizo bila kuwa na mpangokazi ni sawa na kutegemea kudra kwenye jambo ambalo ni lazima juhudi ifanyike.
Tunashuhudia leo namna injini za propaganda zinavyofanyakazi mitandaoni na vyombo vya habari katika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe na wanavyojiundia udiktekta kwenye vyama vyao. Unapokuwa katika vyamba vya UKAWA na ukafanikiwa kuwa kiongozi wa umma basi wewe unakuwa na cheo cha kuwa msemaji wa chama na UKAWA. Hakuna nidhamu wala mpangilio.
Unakuta kiongozi anaongea maneno ya hovyo hata kufikia kiwango cha kutukana lakini hakuna anayekemea wala kuwarejesha katika mstari.
Badala ya kuunga mkono maendeleo, leo hii UKAWA imekuwa mstari wa mbele kupinga maendeleo na hata kupropagate dhidi ya mipango yote ya serikali kuwaletea maendeleo wananchi.
Ikumbukwe, Dr. Slaa alijitoa kwa kiwango cha juu kujenga upinzani wenye tija lakini alipoona kuna gia mbovu zilizolazimishiwa kubadilishiwa hewani akajiweka pembeni na hawakumuacha hivi hivi walimtukana na kumdhalilisha vya kutosha.
Leo wanapambana na Lipumba ambaye ni muasisi wa huo umoja wao
Wasichokijua wananchi ni kuwa injini nyuma ya mchezo huu wote ni Lowassa na Mbowe ambao kila mmoja kwa wakati wake alitumia njia za kuchafua wenzake wanaoonekana wana juhudi za kuimarisha vyama walivyokuwemo.
Mimi ninachokijua ni kwamba UKAWA imebaki jina, imekuwa ni kigenge cha kupata public sympathy na siyo tanuru la kupika viongozi na kuleta utunduizi wa hoja za kuwasaidia wananchi.
Wanadandia matukio
wanadandia hoja
wanadandia sera
wanadandia treni kwa mbele
Msanii