Rais William Ruto atangaza Baraza Jipya la Mawaziri 11 na Mwanasheria Mkuu mpya

Ikaria

Member
Jul 17, 2019
93
238
Wiki moja tu baada ya kuvunja Baraza lake la Mawaziri na kumfukuza Kazi Mwanasheria Mkuu, Rais William Ruto ametangaza Baraza Jipya la Mawaziri na kumteua Mwanasheria Mkuu mpya.

✓ Ni Mawaziri 6 tu wamerejeshwa kazini:

• Waziri wa Ulinzi Adan Duale
• Waziri wa mambo ya ndani Professor Kithure Kindiki.
• Waziri David Chirchir ambaye amehamishwa kutoka Wizara ya Kawi hadi Wizara ya Barabara na Miundo Mbinu.
• Waziri wa Mazingira Soipan Tuya.
• Waziri Alice Wahome ambaye amehamishwa kutoka Wizara ya maji hadi Wizara ya ardhi.

✓ Aliyekuwa Waziri wa Biashara Rebecca Miano ameteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu mpya.

Mawaziri Wapya:

*Afya - Debrah Barasa (waziri mpya)
*Elimu - Julius Migosi (waziri mpya)
Kilimo- Andrew Karanja (mpya)
Maji - Eric Muriithi (mpya)
ICT - Dkt Margaret Ndung'u
 
H
Wiki moja tu baada ya kuvunja Baraza lake la Mawaziri na kumfukuza Kazi Mwanasheria Mkuu, Rais William Ruto ametangaza Baraza Jipya la Mawaziri na kumteua Mwanasheria Mkuu mpya.

✓ Ni Mawaziri 6 tu wamerejeshwa kazini:

• Waziri wa Ulinzi Adan Duale
• Waziri wa mambo ya ndani Professor Kithure Kindiki.
• Waziri David Chirchir ambaye amehamishwa kutoka Wizara ya Kawi hadi Wizara ya Barabara na Miundo Mbinu.
• Waziri wa Mazingira Soipan Tuya.
• Waziri Alice Wahome ambaye amehamishwa kutoka Wizara ya maji hadi Wizara ya ardhi.

✓ Aliyekuwa Waziri wa Biashara Rebecca Miano ameteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu mpya.



*Afya - Debrah Barasa (waziri mpya)
*Elimu - Julius Migosi (waziri mpya)
Kilimo- Andrew Karanja (mpya)
Maji - Eric Muriithi (mpya)
ICT - Dkt Margaret Ndung'u
Hata akibadilisha baraza mara 100 hakuna jipya.. Mambo ni yaleyale.
 
Kwanini?! Wakati Raisi Rutto kakubali masharti yao yote, hilo la RUTTO ajiuzulu haliwezekani Mtu kachaguliwa Kidemokrasia.

Hawa GenZ wa Kenya wanaanza kuwa Wapuuzi.
Eti kachaguliwa kidemokrasia...hahaaa unachekesha. Hao hao waliompigia Kura ndio wanataka asepe. Nakujibu kama mpiga Kura WA kijani.
 
Kwanini?! Wakati Raisi Rutto kakubali masharti yao yote, hilo la RUTTO ajiuzulu haliwezekani Mtu kachaguliwa Kidemokrasia.

Hawa GenZ wa Kenya wanaanza kuwa Wapuuzi.
Kurudisha Mawaziri 6 (zaidi ya 50%) kati ya 11 awamu ya kwanza Ni kejeli
 
Eti kachaguliwa kidemokrasia...hahaaa unachekesha. Hao hao waliompigia Kura ndio wanataka asepe. Nakujibu kama mpiga Kura WA kijani.
Sasa ikiwa hivyo ni Nchi gani itatawalika mtajikuta mnafanya Uchaguzi mara saba katika miaka mitano.

Nchi zenyewe Masikini hizi.
 
Hotuba ya Ruto leo huko Bomet County imenifurahisha sana huu ni wakati wa kazi Nchi haiwezi kukalia Maandamano tu.

Biashara zinadorora Uchumi unadorora Watalii wanakimbia Wawekezaji wanakimbia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom