Rais wa Zambia Hichilema awasimamisha Kazi Majaji 3 wa Mahakama Kuu.Walikuwa Watoe Hukumu ya Kumruhusu Mpinzani Wake Edger Rungu Kugombea Urais 2026

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
56,095
66,508
Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.

Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.

Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇

View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19

My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.

Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.

Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.

Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.

Ni vile tuu Wananchi Huwa hawana akili za kupambanua na kufuatilia ndio maana wanahadaiwa na maneno matamu ya Wapinzani wakidhani ndivyo maisha Yao yatakuwa 😁😁😁😁

Ukweli ni kwamba mwanasiasa hawezi badilisha maisha Yako unless na wewe uhakikishe unapata fursa kwenye siasa (Uongozi) ndipo utabadili maisha yako.

Hawa Wapinzani sio tuu wamefeli Zambia bali Malawi,Senegal, Ghana,Kenya nk nk so it won't be different Kwa Tanzania.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAVYAZ_KE31/?igsh=MTZsam9qZDNkandwcQ==


#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.
 
Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.

Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.

Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇

View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19

My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.

Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.

Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.

Watu wa hivyo Polisi ikiwavunja miguu ni sawa siwezi hata kuwapa pole maana hawana akili.

Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.

#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.

Au tuyakamate machadema yote tuyafunge jela, ili tutawale tu sisi ccm, unaonaje mkuu?
 
Hata mimi siwezi kukubali kabisa kuona eti CCM inataka kuwaachia CHADEMA Nchi.wakati najuwa wakija kuongoza watawatesa sana watanzania na kuipasua kabisa Nchi yetu. CCM kamwe na katu hatuwezi wapa CHADEMA Nchi hata ingekuwaje.Maana Watanzania hawawezi kubali jambo hilo kufanyika na kutokea
 
Au tuyakamate machadema yote tuyafunge jela, ili tutawale tu sisi ccm, unaonaje mkuu?
Huko Sasa watajuana Wanasiasa na wale nyumbu wanaoburuzwa na Wanasiasa,Mimi kwangu either of the side ni sawa tuu Kwa sababu I don't sympathize na Wanasiasa.
 
An
Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.

Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.

Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇

View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19

My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.

Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.

Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.

Watu wa hivyo Polisi ikiwavunja miguu ni sawa siwezi hata kuwapa pole maana hawana akili.

Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.

#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.

Anachokifanya ni sahihi Kwa sababu edga lungu alipokuwa rais alimtesa sana jamaa hata akampigisha mago live so hii ndo kile tunacho kiita UBA... UBA.. UBA... UBAYA UBWE... UBWE... UBWE... UBWELA!
 
Hata mimi siwezi kukubali kabisa kuona eti CCM inataka kuwaachia CHADEMA Nchi.wakati najuwa wakija kuongoza watawatesa sana watanzania na kuipasua kabisa Nchi yetu. CCM kamwe na katu hatuwezi wapa CHADEMA Nchi hata ingekuwaje.Maana Watanzania hawawezi kubali jambo hilo kufanyika na kutokea
You don’t need a brain.
 
Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.

Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.

Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇

View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19

My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.

Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.

Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.

Watu wa hivyo Polisi ikiwavunja miguu ni sawa siwezi hata kuwapa pole maana hawana akili.

Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.

#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.

Hakainde Hichilema a.k.aHH is one term President, of Zambian People's Republic 🐒
 
Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.

Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.

Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇

View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19

My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.

Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.

Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.

Watu wa hivyo Polisi ikiwavunja miguu ni sawa siwezi hata kuwapa pole maana hawana akili.

Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.

#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.

Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021.
 
kwa kifupi, hata chadema wakishika nchi, watakuwa kama ccm tu, tena inaweza kuwa bora ccm kuliko hao. Tunamhitaji Mungu atuletee kiongozi, iwe kwa njia ya kura au kwa vyovyote Mungu atakavyoamua, kutoka chama chochote. cha muhimu awe chaguo la Mungu, basi.
Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021.
 
Hv huyu c ndo yule wa chama pinzani aliyeshinda urais? Na Chadema walimsifia sana na kuwaambia ccm kuondoka madarakani ni jambo la muda tuu?

Demokrasia ya nchi za Afrika ni ile ile tuu ila utofauti ni maeneo.
 
kwa kifupi, hata chadema wakishika nchi, watakuwa kama ccm tu, tena inaweza kuwa bora ccm kuliko hao. Tunamhitaji Mungu atuletee kiongozi, iwe kwa njia ya kura au kwa vyovyote Mungu atakavyoamua, kutoka chama chochote. cha muhimu awe chaguo la Mungu, basi.
Katiba mpya iliyo bora ndio suluhisho
 
Ukishaona Rais ni vuvuzela ujue ni sawa na empty set 😁😁
HH kapoteza uelekeo kabisa, kaacha kudeal na mipango ya maendeleo aliyowaahidi wa Zambian kwa mbwembwe sana. Na sasa ana deal na watu binafsi, na viongozi wa kisiasa wenye mirengo, mawazo, maoni na mitazamo tofauti, dhidi ya uongozi wake ulioshindwa kabisa, kuleta mageuzi na mabadiliko kwenye maisha ya watu muhimu sana Zambia ..

Bilashaka, ana uwazekano mkubwa mno, kua miongoni mwa viongozi wakuu wa nchi Africa , kuhudumu muhula moja pekee kikatiba na anawakilisha ubovu wa wapinzani kutwaa serikali 🐒
 
Hv huyu c ndo yule wa chama pinzani aliyeshinda urais? Na Chadema walimsifia sana na kuwaambia ccm kuondoka madarakani ni jambo la muda tuu?

Demokrasia ya nchi za Afrika ni ile ile tuu ila utofauti ni maeneo.
Ni chama tawala cha zamani kilichorudi madarakani.

Hata hivyo Majaji wa hovyo wanaoungana na mafisadi lazima wawajibishwe.
 
Hata mimi siwezi kukubali kabisa kuona eti CCM inataka kuwaachia CHADEMA Nchi.wakati najuwa wakija kuongoza watawatesa sana watanzania na kuipasua kabisa Nchi yetu. CCM kamwe na katu hatuwezi wapa CHADEMA Nchi hata ingekuwaje.Maana Watanzania hawawezi kubali jambo hilo kufanyika na kutokea
Hivi gharama za kushabikia CCM ndio kubwa kiasi hiki?

Yaani kujifanya mwehu kabisa!

Pole sana ndugu yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom