Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akubali kuipa Marekani madini yake adimu ili iendelee kupata ulinzi

Mapenzi ya Mungu

JF-Expert Member
Feb 22, 2025
319
290
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amekubali dili la Donald Trump la kuipa madini nchi ya Marekani, ili Marekani iweze kuendelea kuipa Ulinzi Ukraine.

Mkataba huo, ambao utaiwezesha Marekani kupata rasilimali za asili za Ukraine kwa kubadilishana na msaada wa Marekani katika vita vya Ukraine dhidi ya Russia, umeandaliwa kwa siku kadhaa.

Rais Donald Trump alisema Ijumaa kuwa utawala wake uko "karibu sana" kufikia makubaliano hayo, na Jumatatu alidokeza kuwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelenskyy unakaribia.

"Itakuwa makubaliano kuhusu madini adimu na mambo mengine kadhaa. Na, kama nilivyoelewa, anapenda kuja hapa ili kuusaini. Kwangu, hilo litakuwa jambo zuri," alisema Trump. "Nadhani kisha wanapaswa kupata idhini kutoka kwa baraza lao au chombo kingine cha maamuzi, lakini nina uhakika hilo litatokea."
==========================================================

ze.png

Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy has agreed to a draft of a minerals deal with the White House on Tuesday, according to reports.

Reuters reported on Tuesday that the Ukrainian leader plans to travel to D.C. on Friday to meet with President Donald Trump after the officials agreed to the terms of the deal.

The pact, which would involve giving the U.S. access to natural resources in exchange for America’s support of Ukraine amid its war with Russia, was days in the making. Trump said on Friday that his administration was "pretty close" to striking a deal, and on Monday, he hinted that a meeting between him and Zelenskyy was imminent.

"It'll be a deal with rare earths and various other things. And, he would like to come, as I understand it, here to sign it. And that would be great with me," Trump said. "I think they then have to get it approved by their council or whoever might approve it, but I'm sure that will happen."

Source: Fox News
 
Hatimae tapeli kauza nchi imagine Ujinga aliokua nao huyu Kenge akatumika ili aipiganishe Russia..Watu wameuwawa kwa maelfu nchi imekatwa pande na limeendaaa....Imebomoka karibia asilimia 60....kuijenga ni mabilioni...Madini wamechukua...

Yale ya Kujinga NATO hayatawezekana tena maana Russia kagoma!!!
Na bado anatoka madarakani!!

Sasa kwanini.asingetii amri ya Russia mwanzo ili watu wasife..madini yao yasichukuliwe na zigo la madeni hilo wanalodaiwa lisiwepo!!! Mpuuzi mmoja anaharibu nchi
 
Hatimae tapeli kauza nchi imagine Ujinga aliokua nao huyu Kenge akatumika ili aipiganishe Russia..Watu wameuwawa kwa maelfu nchi imekatwa pande na limeendaaa....Imebomoka karibia asilimia 60....kuijenga ni mabilioni...Madini wamechukua...

Yale ya Kujinga NATO hayatawezekana tena maana Russia kagoma!!!
Na bado anatoka madarakani!!

Sasa kwanini.asingetii amri ya Russia mwanzo ili watu wasife..madini yao yasichukuliwe na zigo la madeni hilo wanalodaiwa lisiwepo!!! Mpuuzi mmoja anaharibu nchi
Umesoma umeelewa kweli? Au ni chuki uliyokuwa nayo kwa Zelensky/upendo uliokuwa nao kwa Putin?
 
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amekubali dili la Donald Trump la kuipa madini nchi ya Marekani, ili Marekani iweze kuendelea kuipa Ulinzi Ukraine.

Mkataba huo, ambao utaiwezesha Marekani kupata rasilimali za asili za Ukraine kwa kubadilishana na msaada wa Marekani katika vita vya Ukraine dhidi ya Russia, umeandaliwa kwa siku kadhaa.

Rais Donald Trump alisema Ijumaa kuwa utawala wake uko "karibu sana" kufikia makubaliano hayo, na Jumatatu alidokeza kuwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelenskyy unakaribia.

"Itakuwa makubaliano kuhusu madini adimu na mambo mengine kadhaa. Na, kama nilivyoelewa, anapenda kuja hapa ili kuusaini. Kwangu, hilo litakuwa jambo zuri," alisema Trump. "Nadhani kisha wanapaswa kupata idhini kutoka kwa baraza lao au chombo kingine cha maamuzi, lakini nina uhakika hilo litatokea."
==========================================================


Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy has agreed to a draft of a minerals deal with the White House on Tuesday, according to reports.

Reuters reported on Tuesday that the Ukrainian leader plans to travel to D.C. on Friday to meet with President Donald Trump after the officials agreed to the terms of the deal.

The pact, which would involve giving the U.S. access to natural resources in exchange for America’s support of Ukraine amid its war with Russia, was days in the making. Trump said on Friday that his administration was "pretty close" to striking a deal, and on Monday, he hinted that a meeting between him and Zelenskyy was imminent.

"It'll be a deal with rare earths and various other things. And, he would like to come, as I understand it, here to sign it. And that would be great with me," Trump said. "I think they then have to get it approved by their council or whoever might approve it, but I'm sure that will happen."

Source: Fox News
hata sijui ulinzi gani, yeye anataka ulinzi badala ya kujenga nchi na uchumi? na ulinzi anaousema ni ulinzi dhidi ya urusi. jambo ambalo marekani hajawahi kuiwa mwaminifu kwa mtu. usimwamini marekani hata kama ameapa
 
Cost of Living in Uganda

MarketsEdit
Milk (regular), (1 liter)2,443.37 USh1,500.00-4,000.00
Loaf of Fresh White Bread (500g)4,498.48 USh2,500.00-6,000.00
Rice (white), (1kg)4,876.92 USh4,000.00-6,000.00
Eggs (regular) (12)6,517.19 USh4,800.00-12,000.00
Local Cheese (1kg)16,299.86 USh6,000.00-30,000.00
Chicken Fillets (1kg)17,421.05 USh8,099.04-29,389.29
Beef Round (1kg) (or Equivalent Back Leg Red Meat)15,086.96 USh13,000.00-18,000.00
Apples (1kg)9,902.90 USh5,000.00-15,000.00
Banana (1kg)5,334.21 USh3,000.00-8,099.04
Oranges (1kg)6,756.19 USh3,000.00-15,000.00
Tomato (1kg)5,444.55 USh3,000.00-10,000.00
Potato (1kg)5,186.69 USh2,000.00-10,000.00
Onion (1kg)6,255.12 USh3,000.00-10,000.00
Lettuce (1 head)3,571.43 USh1,500.00-6,000.00
Water (1.5 liter bottle)2,045.45 USh1,500.00-3,000.00
Bottle of Wine (Mid-Range)40,000.00 USh20,000.00-65,000.00
Domestic Beer (0.5 liter bottle)4,205.88 USh3,000.00-5,000.00
Imported Beer (0.33 liter bottle)7,192.31 USh4,000.00-14,694.64
Cigarettes 20 Pack (Marlboro)10,000.00 USh5,000.00-20,000.00

Transportation
Edit
One-way Ticket (Local Transport)3,000.00 USh2,000.00-5,000.00
Monthly Pass (Regular Price)135,000.00 USh0.00-173,913.04
Taxi Start (Normal Tariff)2,500.00 USh2,000.00-10,000.00
Taxi 1km (Normal Tariff)1,000.00 USh1,000.00-3,000.00
Taxi 1hour Waiting (Normal Tariff)15,000.00 USh5,000.00-25,000.00
Gasoline (1 liter)5,302.69 USh5,000.00-6,000.00
Volkswagen Golf 1.4 90 KW Trendline (Or Equivalent New Car)32,500,000.00 USh25,000,000.00-35,000,000.00
Toyota Corolla Sedan 1.6l 97kW Comfort (Or Equivalent New Car)32,900,000.00 USh30,000,000.00-37,500,000.00
Restaurants
Edit
Range
Meal, Inexpensive Restaurant
10,000.00 USh​
5,000.00-15,000.00
Meal for 2 People, Mid-range Restaurant, Three-course
90,000.00 USh​
60,000.00-150,000.00
McMeal at McDonalds (or Equivalent Combo Meal)
33,736.50 USh​
25,000.00-36,736.61
Domestic Beer (0.5 liter draught)
5,000.00 USh​
3,000.00-7,000.00
Imported Beer (0.33 liter bottle)
10,000.00 USh​
7,000.00-15,000.00
Cappuccino (regular)
9,667.94 USh​
6,000.00-15,000.00
Coke/Pepsi (0.33 liter bottle)
1,666.67 USh​
1,000.00-3,000.00
Water (0.33 liter bottle)
1,107.14 USh​
1,000.00-2,000.00




Utilities (Monthly)Edit
Basic (Electricity, Heating, Cooling, Water, Garbage) for 85m2 Apartment151,388.89 USh80,000.00-240,000.00
Mobile Phone Monthly Plan with Calls and 10GB+ Data54,466.67 USh30,000.00-100,000.00
Internet (60 Mbps or More, Unlimited Data, Cable/ADSL)257,777.78 USh120,000.00-500,000.00

Sports And Leisure
Edit
Fitness Club, Monthly Fee for 1 Adult148,750.00 USh75,000.00-240,000.00
Tennis Court Rent (1 Hour on Weekend)19,000.00 USh10,000.00-36,000.00
Cinema, International Release, 1 Seat23,500.00 USh18,000.00-40,000.00

Childcare
Edit
Preschool (or Kindergarten), Full Day, Private, Monthly for 1 Child442,222.22 USh300,000.00-1,000,000.00
International Primary School, Yearly for 1 Child13,375,000.00 USh6,000,000.00-28,000,000.00

Clothing And Shoes
Edit
1 Pair of Jeans (Levis 501 Or Similar)63,000.00 USh30,000.00-80,000.00
1 Summer Dress in a Chain Store (Zara, H&M, ...)48,750.00 USh30,000.00-120,000.00
1 Pair of Nike Running Shoes (Mid-Range)122,222.22 USh70,000.00-200,000.00
1 Pair of Men Leather Business Shoes184,444.44 USh100,000.00-300,000.00

Rent Per Month
Edit
Apartment (1 bedroom) in City Centre1,227,272.73 USh500,000.00-2,543,822.07
Apartment (1 bedroom) Outside of Centre711,538.46 USh400,000.00-1,500,000.00
Apartment (3 bedrooms) in City Centre3,355,555.56 USh1,200,000.00-7,500,000.00
Apartment (3 bedrooms) Outside of Centre1,338,461.54 USh700,000.00-3,000,000.00

Buy Apartment Price
Edit
Price per Square Meter to Buy Apartment in City Centre4,113,880.53 USh3,600,000.00-4,741,641.60
Price per Square Meter to Buy Apartment Outside of Centre3,584,000.00 USh2,720,000.00-3,800,000.00
 
alooo ! kumbe kila kitu kipo planned kweli wasemavyo kwamba hakuna cha bure ni hivyo sasa kama wameweza kufanya hivyo kwa mti mbichi habari gani kwa mti mkavu .Kwa sera hizi za Trump mataifa mengi hasa ya ulimwengu wa tatu ya jiandae kwa mnyonyo.
 
Hatimae tapeli kauza nchi imagine Ujinga aliokua nao huyu Kenge akatumika ili aipiganishe Russia..Watu wameuwawa kwa maelfu nchi imekatwa pande na limeendaaa....Imebomoka karibia asilimia 60....kuijenga ni mabilioni...Madini wamechukua...

Yale ya Kujinga NATO hayatawezekana tena maana Russia kagoma!!!
Na bado anatoka madarakani!!

Sasa kwanini.asingetii amri ya Russia mwanzo ili watu wasife..madini yao yasichukuliwe na zigo la madeni hilo wanalodaiwa lisiwepo!!! Mpuuzi mmoja anaharibu nchi
very true
 
Back
Top Bottom