Kwa tangu lini Abas amekuwa na shida na Israel? Tangu lini Israel imekuwa na Shida na Abas? Kwa taarifa yako Abas ni kibaraka wa Israel, ndo maana hujawahi kusikia akiwa na msimamo mkali kinyume na matendo ya Israel dhidi ya wapalestina wa Gaza na hata ukingo wa magharibiKaenda kuwatia nuksi Syria.. Gaidi haachi asili.. IDF ndio atakuwa makini kabisa.. shauri zao
Fanya research kwanza ndipo useme.. Issue za Israel na Palestina ukiongopa hata kidogo unashikwa hapo hapo 40 yako ndio inakuwa imefika.. PA inamalalamiko yasiyoisha kila day.. hiyo safari tu Jordan kadhamini lakini Helicopter ilibidi imsubirie mpakani mwa Jordan ilikatwazwa kupata anga la Israel.Kwa tangu lini Abas amekuwa na shida na Israel? Tangu lini Israel imekuwa na Shida na Abas? Kwa taarifa yako Abas ni kibaraka wa Israel, ndo maana hujawahi kusikia akiwa na msimamo mkali kinyume na matendo ya Israel dhidi ya wapalestina wa Gaza na hata ukingo wa magharibi