Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Rais Mteule wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
1,380
889
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Rais Mteule wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuhutubia hafla ya uapisho iliyofanyika katika Ikulu ya nchi hiyo Windhoek tarehe 21 Machi, 2025. Mhe. Rais Nandi-Ndaitwah ni Rais wa kwanza Mwanamke kuchaguliwa katika Taifa hilo la Namibia
 

Attachments

  • IMG-20250321-WA0036.jpg
    IMG-20250321-WA0036.jpg
    254.4 KB · Views: 1
  • IMG-20250321-WA0035.jpg
    IMG-20250321-WA0035.jpg
    164.6 KB · Views: 1
  • IMG-20250321-WA0034.jpg
    IMG-20250321-WA0034.jpg
    249.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom