Rais wa Ethiopia aondolewa, Samia abakia Rais Pekee Mwanamke Afrika

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,159
2,046
Sahle Work Zewde.jpg
Taye Aske Selassie.jpg

Aliyekuwa Rais wa Ethipia Sahle-Work Zewde (kushoto) na Rais mpya wa nchi hiyo Taye Atske Selassie (kulia)

Taye Atske Selassie, aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje tangu Februari, 2024, ameapishwa mbele ya Bunge kuwa Rais wa Nchi hiyo huku mamlaka ya kisiasa ikiwa kww Waziri Mkuu, Abiy Ahmed

Inaripotiwa kuwa Rais aliyeondolewa (Sahle-Work) alikuwa na mgongano wa maoni na Waziri Abiy katika Miaka ya hivi karibuni

Japokuwa Kuteuliwa kwa Sahle-Work (Mwaka 2018) kulipongezwa kama hatua muhimu kwa usawa wa kijinsia katika siasa za Ethiopia, alikosolewa kwa kutokuzungumza zaidi kuhusu Ukatili wa Kijinsia wakati wa mapigano huko Tigray
..........

Ethiopia's new president: Taye Atske Selassie replaces Sahle-Work Zewde

Ethiopia's parliament has approved the appointment of a new president to replace the country's first female head of state, Sahle-Work Zewde.

Taye Astike Selassie, foreign minister since February, has taken up the largely ceremonial role. In Ethiopia, political power lies with the prime minister - currently Abiy Ahmed.

Sahle-Work had reportedly fallen out with Abiy in recent years.

The prime minister's backing of her initial appointment in 2018 was hailed as a breakthrough for gender equality in Ethiopian politics.

On Saturday, Sahle-Work posted a brief and somewhat cryptic message on X, implying she was unhappy as a result of staying silent for the past year.

Sources close to the 74-year-old told BBC Amharic she had not been happy for some time and was eagerly awaiting the end of her term, due later this month.

During her presidency, she made several calls for peace across the country, though she was criticised for not talking more about the gender-based violence during the two-year civil war in Tigray. But it is believed she was concerned about the current conflicts in Oromia and Amhara regions.

In Amhara, federal forces have been fighting a local militia, which has led to hundreds of deaths and security forces being accused of committing crimes against humanity.

President Taye, 68, an experienced diplomat having served at the UN and in Egypt, is considered close to Abiy. He was sworn in in front of MPs on Monday.

The replacement of Sahle-Work means that Tanzania's President Samia Suluhu Hassan is currently Africa's only female head of state.

Source: BBC
 

Attachments

  • 1728370799162.png
    1728370799162.png
    2.1 MB · Views: 3
  • 1728370907085.png
    1728370907085.png
    477.6 KB · Views: 10
Taye Atske Selassie, aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje tangu Februari, 2024, ameapishwa mbele ya Bunge kuwa Rais wa Nchi hiyo huku mamlaka ya kisiasa ikiwa kww Waziri Mkuu, Abiy Ahmed

Inaripotiwa kuwa Rais aliyeondolewa (Sahle-Work) alikuwa na mgongano wa maoni na Waziri Abiy katika Miaka ya hivi karibuni

Japokuwa Kuteuliwa kwa Sahle-Work (Mwaka 2018) kulipongezwa kama hatua muhimu kwa usawa wa kijinsia katika siasa za Ethiopia, alikosolewa kwa kutokuzungumza zaidi kuhusu Ukatili wa Kijinsia wakati wa mapigano huko Tigray
..........

Ethiopia's new president: Taye Atske Selassie replaces Sahle-Work Zewde

Ethiopia's parliament has approved the appointment of a new president to replace the country's first female head of state, Sahle-Work Zewde.

Taye Astike Selassie, foreign minister since February, has taken up the largely ceremonial role. In Ethiopia, political power lies with the prime minister - currently Abiy Ahmed.

Sahle-Work had reportedly fallen out with Abiy in recent years.

The prime minister's backing of her initial appointment in 2018 was hailed as a breakthrough for gender equality in Ethiopian politics.

On Saturday, Sahle-Work posted a brief and somewhat cryptic message on X, implying she was unhappy as a result of staying silent for the past year.

Sources close to the 74-year-old told BBC Amharic she had not been happy for some time and was eagerly awaiting the end of her term, due later this month.

During her presidency, she made several calls for peace across the country, though she was criticised for not talking more about the gender-based violence during the two-year civil war in Tigray. But it is believed she was concerned about the current conflicts in Oromia and Amhara regions.

In Amhara, federal forces have been fighting a local militia, which has led to hundreds of deaths and security forces being accused of committing crimes against humanity.

President Taye, 68, an experienced diplomat having served at the UN and in Egypt, is considered close to Abiy. He was sworn in in front of MPs on Monday.

The replacement of Sahle-Work means that Tanzania's President Samia Suluhu Hassan is currently Africa's only female head of state.

Source: BBC
Samia is there by DEFAULT and not by MERIT! Yaani hata kama, It is like that, kama Kingwendu angelikuwa makamu wa Rais chosen by CCM for their known reasons, best known to them, by default, after the death of Magufuli, he would have been our president today! Hivyo si ajabu kumuona samia yuko pale

Labda nikufahamishe, and this is my intuition, nobody expected Magufuli to die shortly. Walimvuta Samia ili waweze kupata kura za wanawake na support ya Zanzibar, not because she was competent to the position of a president in case of any "accident" /death to the incumbent president!
 
Taye Atske Selassie, aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje tangu Februari, 2024, ameapishwa mbele ya Bunge kuwa Rais wa Nchi hiyo huku mamlaka ya kisiasa ikiwa kww Waziri Mkuu, Abiy Ahmed

Inaripotiwa kuwa Rais aliyeondolewa (Sahle-Work) alikuwa na mgongano wa maoni na Waziri Abiy katika Miaka ya hivi karibuni

Japokuwa Kuteuliwa kwa Sahle-Work (Mwaka 2018) kulipongezwa kama hatua muhimu kwa usawa wa kijinsia katika siasa za Ethiopia, alikosolewa kwa kutokuzungumza zaidi kuhusu Ukatili wa Kijinsia wakati wa mapigano huko Tigray
..........

Ethiopia's new president: Taye Atske Selassie replaces Sahle-Work Zewde

Ethiopia's parliament has approved the appointment of a new president to replace the country's first female head of state, Sahle-Work Zewde.

Taye Astike Selassie, foreign minister since February, has taken up the largely ceremonial role. In Ethiopia, political power lies with the prime minister - currently Abiy Ahmed.

Sahle-Work had reportedly fallen out with Abiy in recent years.

The prime minister's backing of her initial appointment in 2018 was hailed as a breakthrough for gender equality in Ethiopian politics.

On Saturday, Sahle-Work posted a brief and somewhat cryptic message on X, implying she was unhappy as a result of staying silent for the past year.

Sources close to the 74-year-old told BBC Amharic she had not been happy for some time and was eagerly awaiting the end of her term, due later this month.

During her presidency, she made several calls for peace across the country, though she was criticised for not talking more about the gender-based violence during the two-year civil war in Tigray. But it is believed she was concerned about the current conflicts in Oromia and Amhara regions.

In Amhara, federal forces have been fighting a local militia, which has led to hundreds of deaths and security forces being accused of committing crimes against humanity.

President Taye, 68, an experienced diplomat having served at the UN and in Egypt, is considered close to Abiy. He was sworn in in front of MPs on Monday.

The replacement of Sahle-Work means that Tanzania's President Samia Suluhu Hassan is currently Africa's only female head of state.

Source: BBC
Imagine,hiyo ni nchi ambayo waziri mkuu ana mamlaka kuliko Raisi ila bado ameonekana hatoshi.
Mi naona wanawake hizi nafasi wakati mwingine tunalazimisha tu.
 
Jinsia yake bado haina tija kwenye uongozi, bado yupo kundi lile lile la ma rais wanaume wasio na vision kwenye nchi zao. Mods watafuta maoni haya ila ujumbe umewafikia
 
Back
Top Bottom