Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
1,088
4,887
Traore amejizolea umaarufu mkubwa Duniani hasa kwa ulinzi wa rasilimali. Amekuwa na nguvu kubwa ya mapokezi kila anapokwenda. Amekuwa mwana mapinduzi anayetisha mabepari kwa misimamo yake.

Natambua Watanzania siyo wafuatiliaji wa siasa za nje, ila naamini ujio wa Traore ukifanyiwa matangazo vizuri nje ya nchi itakuwa sehemu yakitangaza nchi kiuchumi na kiutalii.

Katika mbinu za kuitangaza nchi tunayo kila sababu ya kuruhusu vyombo vyetu vya habari vifanye matangazo makubwa kuanzia mapokezi yake hadi hotuba zake.

Pia soma > Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso alikaa Jukwaa kuu na bunduki yake wakati wa uapisho wa Rais mpya wa Ghana

Tunapaswa kutumia fursa ya ujio wake kama njia ya kuifanya Duniani kufahamu ulinzi wa rasilimali zetu upo vipi na nini wafanye kuja kuwekeza.

Vyombo vya magharibi vitataka kumsikia anasema nini kuhusu nishati ! Vitataka kusikia anaeneza sumu gani kuwafanya waafrika wafikirie kujikomboa kwenye ukoloni Mamboleo. Fursa hii ina faida kwetu hasa pale tutakapounganisha matangazo ya nchi yetu na ujio wake.

Tunatakiwa kuitangaza Tanzania kwa kila opportunity tunayopata. Tuache kujifungia na ujamaa usio na tija. Chana wameweza na sasa wanajadiliwa Duniani kote, tutangaze nchi kibepari tuachane na ujamaa wakuabudi wazungu
 
Traore amejizolea umaarufu mkubwa Duniani hasa kwa ulinzi wa rasilimali. Amekuwa na nguvu kubwa ya mapokezi kila anapokwenda. Amekuwa mwana mapinduzi anayetisha mabepari kwa misimamo yake.

Natambua Watanzania siyo wafuatiliaji wa siasa za nje, ila naamini ujio wa Traore ukifanyiwa matangazo vizuri nje ya nchi itakuwa sehemu yakitangaza nchi kiuchumi na kiutalii.

Katika mbinu za kuitangaza nchi tunayo kila sababu ya kuruhusu vyombo vyetu vya habari vifanye matangazo makubwa kuanzia mapokezi yake hadi hotuba zake.

Tunapaswa kutumia fursa ya ujio wake kama njia ya kuifanya Duniani kufahamu ulinzi wa rasilimali zetu upo vipi na nini wafanye kuja kuwekeza.

Vyombo vya magharibi vitataka kumsikia anasema nini kuhusu nishati ! Vitataka kusikia anaeneza sumu gani kuwafanya waafrika wafikirie kujikomboa kwenye ukoloni Mamboleo. Fursa hii ina faida kwetu hasa pale tutakapounganisha matangazo ya nchi yetu na ujio wake.

Tunatakiwa kuitangaza Tanzania kwa kila opportunity tunayopata. Tuache kujifungia na ujamaa usio na tija. Chana wameweza na sasa wanajadiliwa Duniani kote, tutangaze nchi kibepari tuachane na ujamaa wakuabudi wazungu
Anakuja kujifunza nini Masta?
 
Traore amejizolea umaarufu mkubwa Duniani hasa kwa ulinzi wa rasilimali. Amekuwa na nguvu kubwa ya mapokezi kila anapokwenda. Amekuwa mwana mapinduzi anayetisha mabepari kwa misimamo yake.

Natambua Watanzania siyo wafuatiliaji wa siasa za nje, ila naamini ujio wa Traore ukifanyiwa matangazo vizuri nje ya nchi itakuwa sehemu yakitangaza nchi kiuchumi na kiutalii.

Katika mbinu za kuitangaza nchi tunayo kila sababu ya kuruhusu vyombo vyetu vya habari vifanye matangazo makubwa kuanzia mapokezi yake hadi hotuba zake.

Tunapaswa kutumia fursa ya ujio wake kama njia ya kuifanya Duniani kufahamu ulinzi wa rasilimali zetu upo vipi na nini wafanye kuja kuwekeza.

Vyombo vya magharibi vitataka kumsikia anasema nini kuhusu nishati ! Vitataka kusikia anaeneza sumu gani kuwafanya waafrika wafikirie kujikomboa kwenye ukoloni Mamboleo. Fursa hii ina faida kwetu hasa pale tutakapounganisha matangazo ya nchi yetu na ujio wake.

Tunatakiwa kuitangaza Tanzania kwa kila opportunity tunayopata. Tuache kujifungia na ujamaa usio na tija. Chana wameweza na sasa wanajadiliwa Duniani kote, tutangaze nchi kibepari tuachane na ujamaa wakuabudi wazungu
Aache bunduki zake huko, Tz hatujazoea Kila wkt bastola kiunoni bhana!!!!! it's a jokes
 
Huyu hatakiwi kukanyaga hii nchi, Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka miaka ya 2020s Sasa atakuja kutupa Nini nchi ya kidemocrasia halafu yeye dikteta
 
Huyo dogo ana kipi jipya tofauti na harakati za kizamani za resource nationalism kama akina Mugabe ambazo hazina tija, Rasilimali kama huwezi kuzitumia ni bure hata kama ukizikumbatia

Africa inahitaji kunufaika na resources zake, issue sio kushindwa kuzitumia, issue zitumike kwa manufaa ya wengi na sio wachache na familia zao.

Huko Canada, Australia, USA, UAE, Saudia nk inamaana wenyewe resources wanazitapanya tu?
 
Traore amejizolea umaarufu mkubwa Duniani hasa kwa ulinzi wa rasilimali. Amekuwa na nguvu kubwa ya mapokezi kila anapokwenda. Amekuwa mwana mapinduzi anayetisha mabepari kwa misimamo yake.

Natambua Watanzania siyo wafuatiliaji wa siasa za nje, ila naamini ujio wa Traore ukifanyiwa matangazo vizuri nje ya nchi itakuwa sehemu yakitangaza nchi kiuchumi na kiutalii.

Katika mbinu za kuitangaza nchi tunayo kila sababu ya kuruhusu vyombo vyetu vya habari vifanye matangazo makubwa kuanzia mapokezi yake hadi hotuba zake.

Tunapaswa kutumia fursa ya ujio wake kama njia ya kuifanya Duniani kufahamu ulinzi wa rasilimali zetu upo vipi na nini wafanye kuja kuwekeza.

Vyombo vya magharibi vitataka kumsikia anasema nini kuhusu nishati ! Vitataka kusikia anaeneza sumu gani kuwafanya waafrika wafikirie kujikomboa kwenye ukoloni Mamboleo. Fursa hii ina faida kwetu hasa pale tutakapounganisha matangazo ya nchi yetu na ujio wake.

Tunatakiwa kuitangaza Tanzania kwa kila opportunity tunayopata. Tuache kujifungia na ujamaa usio na tija. Chana wameweza na sasa wanajadiliwa Duniani kote, tutangaze nchi kibepari tuachane na ujamaa wakuabudi wazungu
Huku ataitwa dikteta maana marais wetu ni wezi
 
My Take
Diplomasia ya Samia inazidi kuihwshimisha Nchi.

Kazi Iendelee 👇 👇

==
Rais wa mpito wa Bukina Faso, Capt. Ibrahim Traoré ni miongoni mwa marais 25 watakaoshiriki mkutano wa nishati uliopangwa kufanyika Dar es Salaam Januari 27 na 28 mwaka huu.

Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayeshughulikia masuala ya nishati na mabadiliko ya hali ya hewa, Dk Kevin Kariuki amesema pia mawaziri wa fedha na nishati 60 wa Afrika watashiriki mkutano huo.
1737622862298.png
Aidha, viongozi wengine wa kimataifa watashuhudia wakuu wa nchi za Afrika wakikubaliana kusaini Mpango Mahususi wa Nishati wa Afrika, awamu ya kwanza utakaozishirikisha nchi 14. Nchi hizo ni Tanzania, Malawi, Chad, Nigeria, Burkina Faso, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Niger, Liberia, Msumbiji, Madagascar, Zambia, Mali, Ivory Coast na Mauritania.

Alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya mkutano huo unadhaminiwa na Benki ya Dunia, AfDB na washirika wengine wa maendeleo kuhakikisha watu milioni 300 Afrika wanafikiwa na umeme ifikapo mwaka 2030.

Chanzo: HabariLeo
 
Back
Top Bottom