Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
RAIS SAMIA“Niliwahi kusema na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo, Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanaozungumza sana sio uelevu hata kidogo, kuzungumza sana ni udebe tupu tu haliachi kuvuma lazima litavuma na anaenyamaza kimya sio mjinga ni mtu anayetafakari mambo, kwa hiyo Ukimya wangu si ujinga na kuropoka kwao sio uelevu”