Rais Samia bring back Jerry Silaa Wizara ya Ardhi

NgerukeAbra

JF-Expert Member
Sep 5, 2022
1,064
1,517
Sijawahi kuipenda CCM tangu uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi wa mwaka 1995 kipindi hicho nakumbuka nilikuwa darasa la tano.

Lakini nilikuwa navutiwa na utendaji wa baadhi ya viongozi wa serikali ya CCM katika idara mbalimbali mfano wa viongozi hao wa chache ni Lyatonga Mrema, Samuel Sitta, professor Mwandosya, Jaji Warioba, professor Asadi n.k
Turudi kwa Jerry Slaa sina haja ya kuweka maelezo mengi juu ya utendaji wake wa kazi katika wizara ya ardhi mimi ni miongoni mwa watu ambao tulikuwa tunamfuatilia kwa makini jinsi alivyokuwa anatimiza majukumu yake kutatua migogoro ya ardhi sehemu mbalimbali za nchi hii iliyodumu kwa miongo kadhaa iliyopita.

Kwa kweli wananchi maskini na wanyonge walipata haki zao zilizoporwa na mafisadi papa kwa kushirikiana na viongozi waliokosa uadilifu tena walifikia hadi kunajisi mahakama na 'documents' zao feki.

#Mama bring back Jerry Slaa wizara ya ardhi.

Pia soma
> Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele
 
Sijawahi kuipenda CCM tangu uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi wa mwaka 1995 kipindi hicho nakumbuka nilikuwa darasa la tano.
Lakini nilikuwa navutiwa na utendaji wa baadhi ya viongozi wa serikali ya CCM katika idara mbalimbali mfano wa viongozi hao wa chache ni Lyatonga Mrema, Samuel Sitta, professor Mwandosya,Jaji Warioba, professor Asadi n.k
Turudi kwa Jerry Slaa sina haja ya kuweka maelezo mengi juu ya utendaji wake wa kazi katika wizara ya ardhi mimi ni miongoni mwa watu ambao tulikuwa tunamfuatilia kwa makini jinsi alivyokuwa anatimiza majukumu yake kutatua migogoro ya ardhi sehemu mbalimbali za nchi hii iliyodumu kwa miongo kadhaa iliyopita.
Kwa kweli wananchi maskini na wanyonge walipata haki zao zilizoporwa na mafisadi papa kwa kushirikiana na viongozi waliokosa uadilifu tena walifikia hadi kunajisi mahakama na 'documents' zao feki.
#Mama bring back Jerry Slaa wizara ya ardhi.
Hujui tu unachokiongea,huyo waziri Slaa hafai kabisa...mamia ya watu wamevunjiwa nyumba zao na hawana kwa kwenda.Tatizo lake ni kukurupuka kwa kusikikiza upande mmoja.Mambo ya ardhi kwakuwa yalikosewa tangu uhuru,yanahitaji hekima kubwa na siyo kukurupuka kuvunja nyumba zaidi ya 600,hawa watanzania wanakwenda wapi.

M/Mungu amlaani huyu jamaa,Kibaha kiwanja namba 34 alichokifanya...malipo ni hapa hapa duniani.
 
Sijawahi kuipenda CCM tangu uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi wa mwaka 1995 kipindi hicho nakumbuka nilikuwa darasa la tano.
Lakini nilikuwa navutiwa na utendaji wa baadhi ya viongozi wa serikali ya CCM katika idara mbalimbali mfano wa viongozi hao wa chache ni Lyatonga Mrema, Samuel Sitta, professor Mwandosya,Jaji Warioba, professor Asadi n.k
Turudi kwa Jerry Slaa sina haja ya kuweka maelezo mengi juu ya utendaji wake wa kazi katika wizara ya ardhi mimi ni miongoni mwa watu ambao tulikuwa tunamfuatilia kwa makini jinsi alivyokuwa anatimiza majukumu yake kutatua migogoro ya ardhi sehemu mbalimbali za nchi hii iliyodumu kwa miongo kadhaa iliyopita.
Kwa kweli wananchi maskini na wanyonge walipata haki zao zilizoporwa na mafisadi papa kwa kushirikiana na viongozi waliokosa uadilifu tena walifikia hadi kunajisi mahakama na 'documents' zao feki.
#Mama bring back Jerry Slaa wizara ya ardhi.
KAANDAMANE UPATE HAKI YAKO. MKIAMBIWA UONGOZI WA CHURA KIZIWI NI WAKUSUA MNALETA NGONJERA ZA DARASA LA SABA ZILE NYIMBO HUKU MKIZUNGUSHA VIONO KUSHOTO NA KULIA
 
Hujui tu unachokiongea,huyo waziri Slaa hafai kabisa...mamia ya watu wamevunjiwa nyumba zao na hawana kwa kwenda.Tatizo lake ni kukurupuka kwa kusikikiza upande mmoja.Mambo ya ardhi kwakuwa yalikosewa tangu uhuru,yanahitaji hekima kubwa na siyo kukurupuka kuvunja nyumba zaidi ya 600,hawa watanzania wanakwenda wapi.

M/Mungu amlaani huyu jamaa,Kibaha kiwanja namba 34 alichokifanya...malipo ni hapa hapa duniani.
Kama umevamia kiwanja cha mtu ukajenga kwa docs za kufoji kinachofuata ni kuvunjiwa wengine walikuwa wanapiga danadana hadi hukumu za mahakama
 
KAANDAMANE UPATE HAKI YAKO. MKIAMBIWA UONGOZI WA CHURA KIZIWI NI WAKUSUA MNALETA NGONJERA ZA DARASA LA SABA ZILE NYIMBO HUKU MKIZUNGUSHA VIONO KUSHOTO NA KULIA
Kwahiyo darasa la saba hawana haki ya kuongea??ishu ya ardhi iliwashika pabaya.....
Slaa hana shida tatizo ni mfumo mbovu wa chama chake weka siasa pembeni.
 
Kiukweli simuelewagi Raisi katika teuzi zake wale wanaofanya vizuri walipo ndio hutolewa na kupeleka sehemu nyingine

Sasa Yale mafaili ya migogolo ya aridhi yaliyokuwa katika meza ya Slaa yataenda wapi? Maana ule ulikuwa ni utashi wake sio majukumu yake
 
Kwahiyo darasa la saba hawana haki ya kuongea??ishu ya ardhi iliwashika pabaya.....
Slaa hana shida tatizo ni mfumo mbovu wa chama chake weka siasa pembeni.
umeelewa au ni wewe mmoja wapo kundi la wale ccm.baya unashangilia na zuri unashangilia ukisema kaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom