Rais Ruto anafanya ziara ya kuwatembelea wakenya majumbani kwao

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
2,323
7,712
Rais Ruto anaendelea na ziara yake ya kuwatembelea Wakenya majumbani mwao.

Leo alikuwa Kisii na kama kawaida ameinza siku kwa kupata chai ya maziwa na Mkate akiwa na wenyeji wake.

Ingekuwa bongo, tungeambiwa hao wote pichani ni TISS

IMG_2751.jpeg
 
Huku mama kawatuma wakusanya mapato wapite nyumba Kwa nyumba kunusa km Kuna shughuli yyt inafanyikia bac watozwe Kodi ya sh 50000 elfu Kwa shughulii .🤪🤪🤪🤪

Kazi iendeleee..
IMG-20240813-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom