Rais mpya wa Lebanon anasema magaidi wa hezbollah hawana nafasi katika nchi hio

Financial Analyst

JF-Expert Member
Nov 27, 2017
1,792
3,284
Mwamba anaitwa joseph aoun. Aliwahi kuhudumu kama jenerali katika jeshi la Lebanon.
Screenshot_20250112-171236.png
 
Awe na akiba ya maneno.na akumbuke jinsi Hezbollah walivyopigana Bega kwa Bega na wakristo dhidi ya masalafi wa kisuni Lebanon. Kuanguka kwa Hezbollah ni kuwa expose wakristo wa Lebanon dhidi ya masalafi wa kisuni.
 
Awe na akiba ya maneno.na akumbuke jinsi Hezbollah walivyopigana Bega kwa Bega na wakristo dhidi ya masalafi wa kisuni Lebanon. Kuanguka kwa Hezbollah ni kuwa expose wakristo wa Lebanon dhidi ya masalafi wa kisuni.
Hajasema kuwa hata hiyo ni kwa maslahi ya Wakristo
 
Back
Top Bottom