kichwabox Senior Member Feb 14, 2016 152 40 Feb 28, 2016 #1 MH.dr john pombe magufuli tunakuandikia email nyingi kupitia press@ikulu.go.tz ila hazina majibu huenda zinakwamishwa na majipu machache tunakuomba mheshimiwa uzifuatilie.
MH.dr john pombe magufuli tunakuandikia email nyingi kupitia press@ikulu.go.tz ila hazina majibu huenda zinakwamishwa na majipu machache tunakuomba mheshimiwa uzifuatilie.
MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,701 71,052 Feb 28, 2016 #2 Jamani mwacheni kwanza atumbue majipu, halafu ndiyo muanze kumtumia emails
P Pohamba JF-Expert Member Jun 2, 2015 27,632 61,191 Feb 28, 2016 #3 Labda Salva kafanya kama ya Ndolanga kipind cha FAT, kaondoka na password!
Mlaleo JF-Expert Member Oct 11, 2011 14,805 11,802 Feb 28, 2016 #4 Pohamba said: Labda Salva kafanya kama ya Ndolanga kipind cha FAT, kaondoka na password! Click to expand... Ndolanga Mtata alipotoka FAT akazamia msikitini balaa tupu hadi akafukuzwa lakini akagoma pia.... Ng'ang'anizi balaa
Pohamba said: Labda Salva kafanya kama ya Ndolanga kipind cha FAT, kaondoka na password! Click to expand... Ndolanga Mtata alipotoka FAT akazamia msikitini balaa tupu hadi akafukuzwa lakini akagoma pia.... Ng'ang'anizi balaa