Atakosea tuAtakosea kama sukari
Viwanda vya ndani havijiwezi
Ha ha aiseeeeAtakosea tu
Leo kaona mbali kidogo. Hakuna sababu ya kuzuia bidhaa za kutoka nje. Linda viwanda vyako kwa kuwapunguzia kodi ili waweze kushindana na bidhaa za nje. Sio kusema hamna kuingiza bidhaa. Sukari imemshtua
Soma tena kutoka kwenye riport iliyotolewa na kaimu mkurugenzi wa Ikulu!Hii hoja inahitaji mjadala mpana ili kweli tuamini tunajengewa Tanzania ya viwanda na sio porojo,kulikuwa na hoja wakati wa kampeni kwamba walionunua viwanda na hawakuviendeleza watanyanganywa....hakuna kauli mpaka sasa,hakuna kauli ya kufufua viwanda iliyotoka,anasema bidhaa kutoka nje ziongezwe kodi,hilo kwenye bajeti halionekani,na hata jinsi ya kufanya haipo ili mwananchi asiumie.....siasaaaaaaa tupu