Pre GE2025 Rais Magufuli angekuwepo angestaafu Oktoba mwaka huu. Je, angekubali kustaafu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,533
7,046
images (9).jpeg

Najiuliza hili swali mara nyingi.
Angekuwepo je wananchi wangemkubalia astaafu baada ya kumaliza mihula yake miwili?

Je, yeye mwenyewe angekuwa tayari kustaafu na kurudi Chato huku akimtazama Rais mwenzie kwenye TV?

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 

Najiuliza hili swali mara nyingi.
Angekuwepo je wananchi wangemkubalia astaafu baada ya kumaliza mihula yake miwili?

Je, yeye mwenyewe angekuwa tayari kustaafu na kurudi Chato huku akimtazama Rais mwenzie kwenye TV?

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
angesema hajamalizia SGR
 
Back
Top Bottom