Sijafagilia topic yako kbsa, ata kma ingekuwa ni STG haipendezi et wewe mtoto wa kiume na kimchina chako unapiga picha gari na kurusha jf na kumtuhumu directly, ivi umeongea nae akakuambia ni nini kimempeleka hapo! Ivi unajua kwemye miji mikunwa vyakula vingi vinapatikana kirahisi kwenye ma bar!
Labda ungemkuta anapiga nyoka tungesema hilo ni jipu lkn hii usiite jipu lbsaa haijafikia hata kuita chunusi, ndugu yangu kazi ya udereva ina changa moto sana, angali we unalenga madaraja boss kauchapa usingizi na mukifika hotelini we unabaki kwenye gari km sheria inavyosema.saa ukimfikisha boss unatafuta sehemu ya kubust tumbo kwa vile nina vidonda vya tumbo we unasema jipu, ebu tuambie we upaffect wako uko wapi hujawai kumdanganya mama au baba yako aliekuzaa au mkeo na watoto wako au boss wako?
Ebu jaribu kupost vitu vyenye mantic na siyo kuharibu maisha ya watu, au mkuu ndu,gu yangu tukuveshe kufuli nini?