Rais endelea kutumbua majipu Kwenye magari ya Serikali

Gari kama ili ni DFP 8323 liko bar muda hapa Mbeya Carnival, dereva anakula maraha!View attachment 327822
HIVI MAGARI IYA DFP NI YA SERIKALI??
TUANZIE HAPA

JE UNAJUA WATU WA DFP NI WATU WA MASAFA ? JE KAMA DEREVA ANASAFIRI KUTOKA DAR KWENDA TUNDUMA NDIYO ANAFIKA MBEYA NOW JE ASIPATE CHOCHOTE CHA KUBUST HATA REDBULL YA KUONGEZA ENERGY??


AU DEREVA KAKUZIDI KETE KWA BAR MAID HAPO NDIO UMEKUJA KUMUUMBUA HUKU?
 
kama walienda kula hapo baada ya kutoka safari au field kuna kosa...
 
Donor Funded Projects...magari ya miradi ya wafadhili

TARATIBU ZA KUENDESHA NA PROTOCAL YA MAGARI HAYA YANATOLEWA NA SERIKALI AU WAFADHILI??

NA TARATIBU ZINASEMAJE KUHUSU MADA ILIYOWEKWA HAPA KUHUSU HULU GARI?

TUELIMISHANE HAPA TAFADHALI
 
Donnor Fundend Projects...sawa kabisa hawa hawana ratiba pangwa kama STG
 
Hata Gari Ya Serikali Hivi Ukienda Mikoani Kikazi Unakwenda Na Nyumba Yako
Kuwepo Hapo Huwezi Kujua
 
mleta uzi analengo zuri,nakumbuka kama sikosei uncle MAGU akiwa waziri wa miundombinu kipindi cha MKAPA aliwahi kutoa ODA MAGARI ya serikali mwisho saa kumi jioni yawe yamepaki ofisini,baadae akalalamika aongezewe ulinzi watu walimtishia maisha deal likashindikana
 
Mshamba huyo yeye akiona DFP anajua ni serikali tu haya mengine ni zuga tu hayana hata namba kamata alafu uone mziki, acha umbea
 
Sijafagilia topic yako kbsa, ata kma ingekuwa ni STG haipendezi et wewe mtoto wa kiume na kimchina chako unapiga picha gari na kurusha jf na kumtuhumu directly, ivi umeongea nae akakuambia ni nini kimempeleka hapo! Ivi unajua kwemye miji mikunwa vyakula vingi vinapatikana kirahisi kwenye ma bar!
Labda ungemkuta anapiga nyoka tungesema hilo ni jipu lkn hii usiite jipu lbsaa haijafikia hata kuita chunusi, ndugu yangu kazi ya udereva ina changa moto sana, angali we unalenga madaraja boss kauchapa usingizi na mukifika hotelini we unabaki kwenye gari km sheria inavyosema.saa ukimfikisha boss unatafuta sehemu ya kubust tumbo kwa vile nina vidonda vya tumbo we unasema jipu, ebu tuambie we upaffect wako uko wapi hujawai kumdanganya mama au baba yako aliekuzaa au mkeo na watoto wako au boss wako?
Ebu jaribu kupost vitu vyenye mantic na siyo kuharibu maisha ya watu, au mkuu ndu,gu yangu tukuveshe kufuli nini?
 
mnabishana tu,
kwani hapo bar? au gest? au hoteli?
kama kuna bar hotel na restaurant na huoni usiku basi huwez jua, may be ndo kafikia hapo kesho asb annaendelea na kazi au anaanza kazi.
bado hana hatia kabisaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…