Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,367
Ni kizuri ila by that time huwa nimechoka sana ....ila weekend huwa kinanisaidia sanamm kifurush changu pendwa cha GB 10 kwa 1500 usiku tu wamekiacha salama ....
asanteni halotel
Kwa wifi ya chuo ni kama gombania goli, Router chache wanafunzi na wagonga vya bure wapo wengi, kuhusu zile mb 500 kwa jero hazisaidiiNjoo chuo uselebuke
Njoo voda 3000 2.7GBTuna pigwa kote. Amna pa kukimbilia.
Nunua laini ya Halotel ya mwanachuo, inauzwa sh. 5000|=Kama kawaida yangu huwa naunga kile kifurushi cha GB 2.8 kwa 2000 kila siku kwa mtandao wa Halotel, Ila leo cha kushangaza ni kwamba kwa sasa nitaweza kupata gb 1.5,
Maumivu nayoyapata ni makali sana maana hizo gb 1.3 walizozipiga panga ni nyingi sana, Napenda kutumia internet kuanzia youtube , streaming plus downloading various stuff,
Hapa nilipo ninawaza sana ni jinsi gani ntavyoweza ku utilize hizi G.B 1.5 ili kutumia internet kama hapo awali
Guys haya ni majanga kwa Heavy Internet users kama mimi walichofanya halotel niliokuwa nawategemea sana na hapa ndio kwanza hata sijui nihamie wapi maana voda, tigo na Airtel
wana bei zao nilizozikimbiaga zamani sana na kuhamia mtandao wa Halotel waliokuwa wana unafuu kupita kiasi enzi hizo.
NAOMBENI USHAURI AMA NYONGEZA NDUGU WANAJAMII
Hamia SmartKama kawaida yangu huwa naunga kile kifurushi cha GB 2.8 kwa 2000 kila siku kwa mtandao wa Halotel, Ila leo cha kushangaza ni kwamba kwa sasa nitaweza kupata gb 1.5,
Maumivu nayoyapata ni makali sana maana hizo gb 1.3 walizozipiga panga ni nyingi sana, Napenda kutumia internet kuanzia youtube , streaming plus downloading various stuff,
Hapa nilipo ninawaza sana ni jinsi gani ntavyoweza ku utilize hizi G.B 1.5 ili kutumia internet kama hapo awali
Guys haya ni majanga kwa Heavy Internet users kama mimi walichofanya halotel niliokuwa nawategemea sana na hapa ndio kwanza hata sijui nihamie wapi maana voda, tigo na Airtel
wana bei zao nilizozikimbiaga zamani sana na kuhamia mtandao wa Halotel waliokuwa wana unafuu kupita kiasi enzi hizo.
NAOMBENI USHAURI AMA NYONGEZA NDUGU WANAJAMII
He meant GB 10 kwa ten thousands per month halotel kifurushi cha chuoKwa wifi ya chuo ni kama gombania goli, Router chache wanafunzi na wagonga vya bure wapo wengi, kuhusu zile mb 500 kwa jero hazisaidii
Njoo airtel unapata kifurushi cha sh1000 ukifika kwa mangi, mwambie hivi nataka vc ya chuo ya buku. akikupa fanya hivi *149*94*.........…...#ok. utapata gb2 dk100 airtel na dk10 mitandao mingine kwa siku 3 (kinachacha baada ya Siku tatu) mwenzio kila siku napakua mi cinema.Kama kawaida yangu huwa naunga kile kifurushi cha GB 2.8 kwa 2000 kila siku kwa mtandao wa Halotel, Ila leo cha kushangaza ni kwamba kwa sasa nitaweza kupata gb 1.5,
Maumivu nayoyapata ni makali sana maana hizo gb 1.3 walizozipiga panga ni nyingi sana, Napenda kutumia internet kuanzia youtube , streaming plus downloading various stuff,
Hapa nilipo ninawaza sana ni jinsi gani ntavyoweza ku utilize hizi G.B 1.5 ili kutumia internet kama hapo awali
Guys haya ni majanga kwa Heavy Internet users kama mimi walichofanya halotel niliokuwa nawategemea sana na hapa ndio kwanza hata sijui nihamie wapi maana voda, tigo na Airtel
wana bei zao nilizozikimbiaga zamani sana na kuhamia mtandao wa Halotel waliokuwa wana unafuu kupita kiasi enzi hizo.
NAOMBENI USHAURI AMA NYONGEZA NDUGU WANAJAMII
Hao SMart na Smile wakoje internet speed zao?2.8GB per day != Heavy Internet User
2000 per day means kama utaunga kila siku Total monthly cost itakua around 60,000/=
Kuna Bundle za Unlimited zinacheza kwenye 70,000/= kwa Smile na Smart nafikiri
Hulali usiku?mm kifurush changu pendwa cha GB 10 kwa 1500 usiku tu wamekiacha salama ....
asanteni halotel
ila mwendo wa jongoo, nimeweka 1000 jana ikaja mb 300 nikasikia moyo lip!Njoo airtel 1000 unapata gb 2 na midakika kibaooooo