Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,677
- 1,615
Habari zenu wapenzi na wafuatilia muziki wa Tanzania na mashabiki kwa ujumla.
Hivi lebo ya WCB mbona kama imemtelekeza msanii wake (Queen darleen)? Awali alikuwa akifanya nao kazi na bila shaka alikuwa na mkataba hai tukiachana na suala la kuwa ndungu wa Nassibu Abduli Nyange.
Je sababu ya kuolewa laweza kuwa chanzo? Au lipo jambo linaendelea nyuma ya pazia? Nauliza si kwa ubaya bali ni kutaka kujua ukizingatia ni mtu maarufu na sisi ni mashabiki wake. 🙏
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Hivi lebo ya WCB mbona kama imemtelekeza msanii wake (Queen darleen)? Awali alikuwa akifanya nao kazi na bila shaka alikuwa na mkataba hai tukiachana na suala la kuwa ndungu wa Nassibu Abduli Nyange.
Je sababu ya kuolewa laweza kuwa chanzo? Au lipo jambo linaendelea nyuma ya pazia? Nauliza si kwa ubaya bali ni kutaka kujua ukizingatia ni mtu maarufu na sisi ni mashabiki wake. 🙏
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app