Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,187
Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amesema takwimu zinaonesha udumavu kwa watoto unaongoza katika mikoa ambayo inazalisha chakula kwa wingi
Mikoa hiyo ni Njombe 53.6%, Rukwa 47.9%, Iringa 47.1, Songwe 43.3%, Kigoma 42.3% na Ruvuma 41%
Amesema hali hiyo hairidhishi. Serikali imeendelea na juhudi za kuhakikisha hali ya utapiamlo nchini inapungua
Mikoa hiyo ni Njombe 53.6%, Rukwa 47.9%, Iringa 47.1, Songwe 43.3%, Kigoma 42.3% na Ruvuma 41%
Amesema hali hiyo hairidhishi. Serikali imeendelea na juhudi za kuhakikisha hali ya utapiamlo nchini inapungua