Prof. Kitila Mkumbo: 81% ya waliotoa maoni kwenye Dira ya Taifa 2050 ni vijana

Cute Wife

JF-Expert Member
Nov 17, 2023
583
2,243
Akizungumza katika uzinduzi wa Kongamano la Kikanda la Maandalizi ya Dira ya Maendeleo ya Mwaka 2050 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema zaidi ya 81% ya waliotoa maoni ni Vijana kati ya miaka 15- 35.

Pia soma:
Kongamano la Kwanza la Kitaifa kuhusu maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Ushiriki wa Wananchi katika Kuunda Dira ya Taifa

Amesema hayo Julai 20, 2024 jijini Mwanza na kufafanua kuwa Vijana wamependekeza Serikali kishughulikia zaidi uchumi na Ustawi wa Jamii kwa kuongeza nafasi za ajira na uwekezaji kwenye huduma bora za kijamii

 
Sawa ni vijana ila wa CiCieM hawa wengine huwa hawashirikishwi kwny Masuala ya kitaifa
 
Katika hiii dunia rafiki wa kweli ni pesa ,wewe hata na marafiki million 70 ila rafiki anayeweza kukusitiri ktk uhai wako wote ni bima yako,viwanja vyako,gari zako ,ofisi zako,mifugo yako na hela zako benk,hata ukiona ndugu na marafiki wanakuangaikia wakati unaumwa ujue wanaangalia ulicho nacho tu .hivyo kama ukiamini rafiki wa kweli ni mali zako, ng'ombe zako na aseti zako huto kaa ulaum mtu yeyote ktk dunia hiii na kusema ni marafiki,mbona ukiwa nacho huwi na urafiki na wachina yako unatafuta wenye uwezo zaidi yako?
 
Back
Top Bottom