Presha waliyopigwa simba kwa ushindi mfululizo wa Yanga kwa 100% ndio anguko lao leo,,zilikuwa ni mbio za marathoni ili kuona nani atasalimu amri!

Makavuli

JF-Expert Member
Aug 27, 2024
1,305
1,710
Mbio hizi zilihitaji timu husika iwe Bora kweli kweli na Ichange karata zake vizuri kwenye Kila mechi ili kuweka sawa mahesabu,

Timu ambayo ingeteleza kidogo tu basi ndio ingeanza kutoa fursa kwa mwenzake kuuelekea ubingwa,,yanga aliteleza kwa Azam na Tabora na amepata somo kwamba alifanya kosa kubwa sana kudondosha zile point,,ameangaika sana kuzirudisha hizo point,,sasa kakaa pale juu sidhani kama atarudia Tena yale makosa!

Simba kudondosha point 2 Leo na yeye atazitafuta kwa tochi sio rahisi kuzirudisha na nafikiri yanga anajulikana akishakuacha kwa gape kama ilo sio rahisi kumpata Tena pamoja na kwamba Mpira unadunda!

Presha ya yanga kushinda mfululizo ilikuwa ni mtego mwingine kwa Simba walihitaji ubora wa ziada kufukia mashimo pale yanga inakotoka sio rahisi rahisi kama watu wanavyofikiria,,yanga keshakomaa na mbio hizi za ubingwa anajua acheze vipi na ashinde vipi kwenye Kila mechi!

Nasema Tena yanga kakaa pale juu kwa tofauti ya point 2 kumg'oa Tena pale ni mtihani mwingine mzito sana iyo ndio inaweza kuwa baba jeni bai bai!
 
downloadfile-239.jpg
 
Mbio hizi zilihitaji timu husika iwe Bora kweli kweli na Ichange karata zake vizuri kwenye Kila mechi ili kuweka sawa mahesabu,,
Timu ambayo ingeteleza kidogo tu basi ndio ingeanza kutoa fursa kwa mwenzake kuuelekea ubingwa,,yanga aliteleza kwa Azam na Tabora na amepata somo kwamba alifanya kosa kubwa sana kudondosha zile point,,ameangaika sana kuzirudisha hizo point,,sasa kakaa pale juu sidhani kama atarudia Tena yale makosa!
Simba kudondosha point 2 Leo na yeye atazitafuta kwa tochi sio rahisi kuzirudisha na nafikiri yanga anajulikana akishakuacha kwa gape kama ilo sio rahisi kumpata Tena pamoja na kwamba Mpira unadunda!
Presha ya yanga kushinda mfululizo ilikuwa ni mtego mwingine kwa Simba walihitaji ubora wa ziada kufukia mashimo pale yanga inakotoka sio rahisi rahisi kama watu wanavyofikiria,,yanga keshakomaa na mbio hizi za ubingwa anajua acheze vipi na ashinde vipi kwenye Kila mechi!
Nasema Tena yanga kakaa pale juu kwa tofauti ya point 2 kumg'oa Tena pale ni mtihani mwingine mzito sana iyo ndio inaweza kuwa baba jeni bai bai!
Tofauti ni point moja mkuu
 
Mbio hizi zilihitaji timu husika iwe Bora kweli kweli na Ichange karata zake vizuri kwenye Kila mechi ili kuweka sawa mahesabu,,
Timu ambayo ingeteleza kidogo tu basi ndio ingeanza kutoa fursa kwa mwenzake kuuelekea ubingwa,,yanga aliteleza kwa Azam na Tabora na amepata somo kwamba alifanya kosa kubwa sana kudondosha zile point,,ameangaika sana kuzirudisha hizo point,,sasa kakaa pale juu sidhani kama atarudia Tena yale makosa!
Simba kudondosha point 2 Leo na yeye atazitafuta kwa tochi sio rahisi kuzirudisha na nafikiri yanga anajulikana akishakuacha kwa gape kama ilo sio rahisi kumpata Tena pamoja na kwamba Mpira unadunda!
Presha ya yanga kushinda mfululizo ilikuwa ni mtego mwingine kwa Simba walihitaji ubora wa ziada kufukia mashimo pale yanga inakotoka sio rahisi rahisi kama watu wanavyofikiria,,yanga keshakomaa na mbio hizi za ubingwa anajua acheze vipi na ashinde vipi kwenye Kila mechi!
Nasema Tena yanga kakaa pale juu kwa tofauti ya point 2 kumg'oa Tena pale ni mtihani mwingine mzito sana iyo ndio inaweza kuwa baba jeni bai bai!
ni point 1 sio mbili mbumbumbu mkubwa
 
Mbio hizi zilihitaji timu husika iwe Bora kweli kweli na Ichange karata zake vizuri kwenye Kila mechi ili kuweka sawa mahesabu,

Timu ambayo ingeteleza kidogo tu basi ndio ingeanza kutoa fursa kwa mwenzake kuuelekea ubingwa,,yanga aliteleza kwa Azam na Tabora na amepata somo kwamba alifanya kosa kubwa sana kudondosha zile point,,ameangaika sana kuzirudisha hizo point,,sasa kakaa pale juu sidhani kama atarudia Tena yale makosa!

Simba kudondosha point 2 Leo na yeye atazitafuta kwa tochi sio rahisi kuzirudisha na nafikiri yanga anajulikana akishakuacha kwa gape kama ilo sio rahisi kumpata Tena pamoja na kwamba Mpira unadunda!

Presha ya yanga kushinda mfululizo ilikuwa ni mtego mwingine kwa Simba walihitaji ubora wa ziada kufukia mashimo pale yanga inakotoka sio rahisi rahisi kama watu wanavyofikiria,,yanga keshakomaa na mbio hizi za ubingwa anajua acheze vipi na ashinde vipi kwenye Kila mechi!

Nasema Tena yanga kakaa pale juu kwa tofauti ya point 2 kumg'oa Tena pale ni mtihani mwingine mzito sana iyo ndio inaweza kuwa baba jeni bai bai!
Mkuu, mm ni yanga lkn tusijiaminishe sana!mpira una maajabu yake sana!!
 
Mkuu, mm ni yanga lkn tusijiaminishe sana!mpira una maajabu yake sana!!
Ndio maana nikasema Mpira unadunda lolote laweza kutokea but kwa ninavyoujua Mpira wa kitanzania na mazingira yalivyo kwa sasa ya kufukuzia ubingwa kumtoa yanga pale juu Tena ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
 
Yanga ni Ile Ile ata ukimuweka manara ndio afundishe yanga atashinda tu,,wachezaji wa yanga ni matured wanaweza wakajiongoza wenyewe na wakashinda mechi,,usipate tabu na kocha ata kidogo
Kikosi cha yanga ni kizuri.
Hata kama kocha atakuwa mzee Magoma au mzee Mpili, tarehe 08/Machi makolo lazima walie.
 
Back
Top Bottom