Maninho21
Member
- Apr 22, 2022
- 58
- 93
Ndugu zangu habari zenu.. nahitaji maoni na ushauri katika hili. Nahitaji kununua pori walau ekari 50 niligeuze shamba mkoani morogoro; ni wilaya gani mkoani morogoro ina ardhi nzuri hasa kwa kilimo cha mpunga. Gharama zake huwa ni bei gani ekari ya pori. Na kwa namna ya pekee kwa wale wataalamu wa ardhi ni mambo na hatua gani nizingatie kwenye kufanya manunuzi ili niepuke migogoro baadae.
Natanguliza shukurani za dhati.
Natanguliza shukurani za dhati.