nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Natoa pongezi kwa wale waliokuwa wanakwazika na habari zilizokuwa zinarushwa hewani kupitia redio kuanzia saa 6 usiku hadi saa 11 alfajiri.
Kupitia hapahapa JF kulikuwa na maandiko kadhaa kuelekea TCRA kuwa wajiridhishe kuhusu kituo cha Redio kinachorusha habari zake, takribani wiki sasa redio iliyokuwa inarusha matangazo yanayomhusu anajiita "Kiboko ya Wachawi" haisikiki.
Kama habari hizo za kituo cha Redio kutokuwa hewani zinahusiana na kuruhusu kurusha matangazo ya anayejiita "Kiboko ya Wachawi" ni za kweli TCRA itoe tamko ili iwe fundisho kwa vituo vya Redio vingine.
Pia Soma: DOKEZO - Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"
Kupitia hapahapa JF kulikuwa na maandiko kadhaa kuelekea TCRA kuwa wajiridhishe kuhusu kituo cha Redio kinachorusha habari zake, takribani wiki sasa redio iliyokuwa inarusha matangazo yanayomhusu anajiita "Kiboko ya Wachawi" haisikiki.
Kama habari hizo za kituo cha Redio kutokuwa hewani zinahusiana na kuruhusu kurusha matangazo ya anayejiita "Kiboko ya Wachawi" ni za kweli TCRA itoe tamko ili iwe fundisho kwa vituo vya Redio vingine.
Pia Soma: DOKEZO - Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"