PlayMaster (PM Bet) acheni utapeli

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,806
29,819
Kwema Wakuu?

Nimekua nikitumia hii kampuni kubet bila tatizo muda mrefu tu. Lakin Sasa takriban siku kumi hivi nilikua Nina hela nimeshinda bet kwa hii kampuni ya PmBet nimeshindwa kuitoa.

Kila nikiwasiliana nao mara kwa mara but nimeishia tu kupigwa kalenda. Siku kumi unakaa na hela ya mtu unajiamini nini? Utarudisha na interest kwa siku Zote hizo?

Mnajishushia uaminifu, watu watawakimbia kwa style hiyo. Makampuni ya betting ni mengi sana kwa Sasa.
 
sibeti nao tena hao play master, waambia wakulipe doo yako chap au nenda makao makuu yao
 
Kwema Wakuu?

Nimekua nikitumia hii kampuni kubet bila tatizo muda mrefu tu. Lakin Sasa takriban siku kumi hivi nilikua Nina hela nimeshinda bet kwa hii kampuni ya PmBet nimeshindwa kuitoa.

Kila nikiwasiliana nao mara kwa mara but nimeishia tu kupigwa kalenda. Siku kumi unakaa na hela ya mtu unajiamini nini? Utarudisha na interest kwa siku Zote hizo?

Mnajishushia uaminifu, watu watawakimbia kwa style hiyo. Makampuni ya betting ni mengi sana kwa Sasa.
Umeacha forex
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom