Picha: Mlima Mbeya unavyoendelea kuteketea kwa moto muda huu

Mpap Ndabhit

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
299
367
Ni kawaida Miaka ya zamani miezi kama hii ya maandalizi ya kilimo safu za mlima Mbeya/Loreza kuteketea Kwa moto.

Ni Albeit Chalamila aliyeweza kukomesha tabia hiyo mbaya ya kuanzisha moto kwa kuwalazimisha wenyeji wa maeneo hayo wakishirikiana na JKT kuzima moto usiku kucha.

Naona Hali imerejea Tena. Wahusika naomba chukueni hatua kuokoa misitu inayoteketea.

IMG_20241022_190625_315.jpg
 
Ni kawaida Miaka ya zamani miezi kama hii ya maandalizi ya kilimo safu za mlima Mbeya/Loreza kuteketea Kwa moto. Ni Albeit Chalamila aliyeweza kukomesha tabia hiyo mbaya ya kuanzisha moto kwa kuwalazimisha wenyeji wa maeneo hayo wakishirikiana na JKT kuzima moto usiku kucha. Naona Hali imerejea Tena. Wahusika naomba chukueni hatua kuokoa misitu inayoteketea.
Kazi ya uvccm hiyo
 
Ni kawaida Miaka ya zamani miezi kama hii ya maandalizi ya kilimo safu za mlima Mbeya/Loreza kuteketea Kwa moto.

Ni Albeit Chalamila aliyeweza kukomesha tabia hiyo mbaya ya kuanzisha moto kwa kuwalazimisha wenyeji wa maeneo hayo wakishirikiana na JKT kuzima moto usiku kucha.

Naona Hali imerejea Tena. Wahusika naomba chukueni hatua kuokoa misitu inayoteketea.

Chadema watu wabaya sana kushirikiana naSugu, mdude na mwabukusi wametia moto wanataka nchi isitawalike!
 
Ni kawaida Miaka ya zamani miezi kama hii ya maandalizi ya kilimo safu za mlima Mbeya/Loreza kuteketea Kwa moto.

Ni Albeit Chalamila aliyeweza kukomesha tabia hiyo mbaya ya kuanzisha moto kwa kuwalazimisha wenyeji wa maeneo hayo wakishirikiana na JKT kuzima moto usiku kucha.

Naona Hali imerejea Tena. Wahusika naomba chukueni hatua kuokoa misitu inayoteketea.

Huko ni kidogo sana ukilinganisha na milima ya Morogoro ambayo miaka yote huchomwa moto usiku.
 
Back
Top Bottom