Pesa zipo za kutosha, Uwezo wa kulea na kuhudumia upo, Afya za uzazi ni imara, kuna sababu ipi ya kupata mtoto moja au watatu tu ?

round kick

JF-Expert Member
Feb 3, 2025
659
2,251
Hatukatai uzazi wa mpango ni muhimu, tunazalisha idadi ya watoto tunaoweza kuwamudu na kuwahudumia.

Tatizo linakuja mna uwezo wa kuhudumia hata watoto nane lakini unakuta watu wanaamua kuzaa mtoto moja tu hadi watatu tu. INASHANGAZA !!

Mimi nina watoto wanne tu lakini laiti ningekuwa na uwezo zaidi ndoto ilikuwa ni 8 (Eight)

Kwetu tupo tisa asikwambie mtu raha ya familia muwe wengi aisee, nina ndugu yangu ni mlemavu lakini as a family tunamsaidia sijui ingekuwaje angekuwa peke yake, nina ndugu yangu moja tulikosana hatuongei sana lakini bado nina ndugu wengi tunaoelewana, Nikiwa na shida najua marafiki watanipambania kwa kiasi flani lakini ndugu zangu watanipigania kufa kupona
 
Wazee wengi sana hata kama wanajiweza huwa wanajilaumu sana kwanini waliamua kuwa na watoto wachache wakati uwezo wa kuwa na wengi ulikuwepo
 
Kimsingi ni kwamba fedha sio tool pekee inayoweza kumshape mtoto
Imagine mama ni daktari baba ni mjeshi Huyu mtoto atapata muda sangapi? Wa uangalizi kwa watoto

Factors Za kuzaa
1.unaweza kuhandle budget
2.Unaweza kutenga muda wa kutosha kuwa displine
3.unaweza kuwa care and love au ndo kutuma pesa imeisha

Familia tulizozaliwa sisi mkuu tuliza liwa mwenye familia Za kajumba kamoja tunalia kwenye sinia wote Yan inakua Ata rahisi kujoin upendo, kumonitor tabia,


Imagine mtoto wanazaliwa kwenye family kila mtoto ana room yake, kila mtu anakula kwa time yake hakuna Ile kukutana pamoja msosi upo kwenye friji au dining hall

Shimba ya Buyenze baba mkwe unasemaje juu ya huu uzi
 
Kimsingi ni kwamba fedha sio tool pekee inayoweza kumshape mtoto
Imagine mama ni daktari baba ni mjeshi Huyu mtoto atapata muda sangapi? Wa uangalizi kwa watoto

Factors Za kuzaa
1.unaweza kuhandle budget
2.Unaweza kutenga muda wa kutosha kuwa displine
3.unaweza kuwa care and love au ndo kutuma pesa imeisha

Familia tulizozaliwa sisi mkuu tuliza liwa mwenye familia Za kajumba kamoja tunalia kwenye sinia wote Yan inakua Ata rahisi kujoin upendo, kumonitor tabia,


Imagine mtoto wanazaliwa kwenye family kila mtoto ana room yake, kila mtu anakula kwa time yake hakuna Ile kukutana pamoja msosi upo kwenye friji au dining hall

Shimba ya Buyenze baba mkwe unasemaje juu ya huu uzi
Rejea kichwa cha habari "Pesa zipo za kutosha, Uwezo wa kulea na kuhudumia upo"

room zinaweza kuwa tatu tu kwa watoto wote, hata familia zenye watoto watatu ni kawaida kukuta wote wanalala room moja very comfortable kila moja na kitanda chake au double decker, ni njia nzuri ya bonding

Kuhusu kula cha maana ni chakula kikipikwa cha kutosha kila mtu anaweza kujisevia muda wake, wala hakuna tatizo.
 
Kimsingi ni kwamba fedha sio tool pekee inayoweza kumshape mtoto
Imagine mama ni daktari baba ni mjeshi Huyu mtoto atapata muda sangapi? Wa uangalizi kwa watoto
Hapa unamaanisha nini mkuu kwa kazi hizo haiwezekani kuleta ?
 
Rejea kichwa cha habari "Pesa zipo za kutosha, Uwezo wa kulea na kuhudumia upo"

room zinaweza kuwa tatu tu kwa watoto wote, hata familia zenye watoto watatu ni kawaida kukuta wote wanalala room moja very comfortable kila moja na kitanda chake au double decker, ni njia nzuri ya bonding

Kuhusu kula cha maana ni chakula kikipikwa cha kutosha kila mtu anaweza kujisevia muda wake, wala hakuna tatizo.
Muda wa kulea ndio kip
Hapa unamaanisha nini mkuu kwa kazi hizo haiwezekani kuleta ?
Time yakulea hakuna hizi kazi unazjua jinsi ambayo Zina emergency kama zote muda wowote unaitwa urudi kituoni muda Wote upo kambi mzee
 
Mali na watoto ilikuwa ni fahari kwa watu wa zamani asaivi Mali ndio fahari pekeee watoto si fahari tena mitoto yenyewe ishavurugwa kabla haijazaliwa
 
Back
Top Bottom