Pesa ya Zimbabwe hali ni hii Je? Pesa ya Tanzania itakuwaje baada ya miaka 5 ijayo???

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,882
34,406
Milioni moja za Zimbwabe = Baiza mia za Oman

Inamaana ukiende hoteli ya hali ya juu inabidi ubebe mfuko mkubwa wa noti

AOAf4-dx15_215149156.jpg

Na kulipa kwa Visa Card hairuhusiwi kwa hiyo inabidi ubebe mfuko mkubwa wa noti

Kila mtu ana ma-bilioni lakini ni masikini

Noti moja tu ya Milioni Mia Tano

1G4Pe-6iSg_149001415.jpg



Mfuko wa chakula cha kukauka kwa 50 milioni

74dc8-KXOy_608713446.jpg


Khas 5, kwa milioni moja


8NtSv-F64e_125066139.jpg



8a10j-aGDI_900090417.jpg


Kuku Milioni 10
7W31b-wQgQ_387717803.jpg


Bili ya Dinner (Malipo ya Chakula cha usiku tu)
5tr1H-pNW0_61754375.jpg


Dola Moja sawa na Noti zote hizi

oH13X-d2Om_258517341.jpg

__________________Kuku Mmoja bei gani hapo bongo?
 
Bora wenzutu wanaweza wakawa na sababu je sisi tutajitetea na lipi?
 
Back
Top Bottom