Penzi letu na mpenzi limevuja tena ndio bye bye limeishaa! Almost 4 years ila sio riziki isee!

covid 19

JF-Expert Member
May 9, 2014
5,645
13,294
Jamani ndo hivyo limeshavuja tena nimebaki napuliza majivu maana moto siuoni.. ndio ameshatoboa mtungi majii yananimwagikia tu pwaaa!pwaa!

Zile sifa zote alizoniambia kwamba kama mimi hajawahi kumuona ila nashangaa hakuniambia alivyokutana nae!

Dah....!
 
Watu mnajiamini sana, unaishije bila bebi wa akiba jamani? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hapo ulikuwa umpigie bebi wa akiba ujipoozepo......maisha mafupi haya, hatuna muda wa kulia lia.
 
Back
Top Bottom