Pendo Paul aliyedai kupewa kazi ya kumuua Mpina, afikishwa mahakamani

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Aug 29, 2022
1,124
2,194
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani Pendo Paul Elikana, mkazi wa Mbuga ya Baya, Wilaya ya Meatu, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii kuwa amepewa kazi ya kutekeleza mauaji ya kiongozi wa kisiasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Edith Swebe, imesema uchunguzi umebaini kuwa taarifa alizozitoa binti huyo hazikuwa za kweli, bali alizitunga kwa maslahi binafsi na kwa nia ya kupotosha umma.

"Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, kuepuka kutoa taarifa zisizo sahihi au kuchafuana, ili kuepusha taharuki katika jamii," amesema ACP Swebe.

Soma Pia: Video: Askari akiri kupewa ofa ya kumshambulia na kumwangamiza Luhaga Mpina kwa silaha. Asema maisha yake yako hatarini

Ikumbukwe kuwa mnamo Machi 19, 2025, Pendo alidai kupitia mitandao ya kijamii kuwa alipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mbuga, aliyemweleza kuwa anataka kumpa kazi ya kumuua Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina
Screenshot 2025-04-23 230936.png
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani Pendo Paul Elikana, mkazi wa Mbuga ya Baya, Wilaya ya Meatu, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii kuwa amepewa kazi ya kutekeleza mauaji ya kiongozi wa kisiasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Edith Swebe, imesema uchunguzi umebaini kuwa taarifa alizozitoa binti huyo hazikuwa za kweli, bali alizitunga kwa maslahi binafsi na kwa nia ya kupotosha umma.

"Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, kuepuka kutoa taarifa zisizo sahihi au kuchafuana, ili kuepusha taharuki katika jamii," amesema ACP Swebe.

Soma Pia: Video: Askari akiri kupewa ofa ya kumshambulia na kumwangamiza Luhaga Mpina kwa silaha. Asema maisha yake yako hatarini

Ikumbukwe kuwa mnamo Machi 19, 2025, Pendo alidai kupitia mitandao ya kijamii kuwa alipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mbuga, aliyemweleza kuwa anataka kumpa kazi ya kumuua Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina
View attachment 3313528
Polisi wanatoa conclusion kama vile mahakama imeshahukumu kua alikua Muongo🤣🤣🤣
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani Pendo Paul Elikana, mkazi wa Mbuga ya Baya, Wilaya ya Meatu, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii kuwa amepewa kazi ya kutekeleza mauaji ya kiongozi wa kisiasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Edith Swebe, imesema uchunguzi umebaini kuwa taarifa alizozitoa binti huyo hazikuwa za kweli, bali alizitunga kwa maslahi binafsi na kwa nia ya kupotosha umma.

"Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, kuepuka kutoa taarifa zisizo sahihi au kuchafuana, ili kuepusha taharuki katika jamii," amesema ACP Swebe.

Soma Pia: Video: Askari akiri kupewa ofa ya kumshambulia na kumwangamiza Luhaga Mpina kwa silaha. Asema maisha yake yako hatarini

Ikumbukwe kuwa mnamo Machi 19, 2025, Pendo alidai kupitia mitandao ya kijamii kuwa alipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mbuga, aliyemweleza kuwa anataka kumpa kazi ya kumuua Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina
View attachment 3313528
Kibao kimemgeukia? Ama katishwa
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani Pendo Paul Elikana, mkazi wa Mbuga ya Baya, Wilaya ya Meatu, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii kuwa amepewa kazi ya kutekeleza mauaji ya kiongozi wa kisiasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Edith Swebe, imesema uchunguzi umebaini kuwa taarifa alizozitoa binti huyo hazikuwa za kweli, bali alizitunga kwa maslahi binafsi na kwa nia ya kupotosha umma.

"Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, kuepuka kutoa taarifa zisizo sahihi au kuchafuana, ili kuepusha taharuki katika jamii," amesema ACP Swebe.

Soma Pia: Video: Askari akiri kupewa ofa ya kumshambulia na kumwangamiza Luhaga Mpina kwa silaha. Asema maisha yake yako hatarini

Ikumbukwe kuwa mnamo Machi 19, 2025, Pendo alidai kupitia mitandao ya kijamii kuwa alipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mbuga, aliyemweleza kuwa anataka kumpa kazi ya kumuua Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina
View attachment 3313528
🤔🤔🤔
 
Of course kama ni Mbunge wa Thithiem sioni kama ni Big Deal. Wao Kutetea maslahi ya wananchi ahh kazi kusifia udwanzi tuu,

Huyu Dada angekua manka wa kichaga probably hesabu zingekua zimeshafungwa way back .
 
Back
Top Bottom