Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,626
- 41,095
Bila kumumunya maneno, hawa TFF wakishirikiana na hivi vilabu vya Simba na Yanga wamegundua sisi mashabiki wa Soka wa Tanzania ni wajinga, wapuuzi, wapumbavu na wafu. Wanaweza kutengeneza kanuni wanazozitaka wao, wakazistafsiri wanavyotaka, wakatengeneza matukio na kutuyumbisha wanavyotaka wao.
Sasa dawa ni moja, viwanjani hakuna kwenda tena, maana tumegundua Soka la Tanzania ni mchezo wa wahuni wa TFF wakishirikiana na hawa viongozi wa vilabu vya Yanga na Simba kwa gharama ya pesa zetu na kuhatarisha maisha yetu.
Sasa dawa ni moja, viwanjani hakuna kwenda tena, maana tumegundua Soka la Tanzania ni mchezo wa wahuni wa TFF wakishirikiana na hawa viongozi wa vilabu vya Yanga na Simba kwa gharama ya pesa zetu na kuhatarisha maisha yetu.