Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 77
- 271
USHUPAVU WA PAUL MAKONDA UNAMFANYA KUWA KIUNGO MUHIMU KATIKA CHAMA, KOCHA ANAMCHEZESHA POPOTE
Na Comrade Ally Maftah
Mimi ni shabiki mkubwa wa aina za siasa anazofanya Paul Makonda, naweza kusema ndio mwanasiasa kinara kati ya miongo miwili yenye mabadiliko makubwa ya mitindo ya siasa, ukuaji wa uchumi na maendeleo ya teknolojia.
Uwezo wa makonda kwenye kupangilia mambo yaendane na mandhari ya siasa inamfanya kuendelea kuwa kiongozi na mwanasiasa bora kuwahi kutokea.
Kuna minongono mingi kuhusu Paul Makonda kupelekwa Arusha ila mimi nasema Jemedali yupo kazini na Dr Samia yupo imara sana kupanga safu yake kuingia kwenye chaguzi mbili zilizopo mbele yetu, uchàguzi wa serikali za mitaa 2024, na uchaguzi mkuu 2025.
SISI WANA CCM VINDAKINDAKI TUNAUONA USHINDI WA HESHIMA KWA DR SAMIA UKIOGELEA KWENYE CHAMA CHETU CHENYE HAZINA KUBWA YA VIONGOZI WENYE VIPAJI LUKUKI,
TUNA IMANI NA DR SAMIA
PAUL MAKONDA JEMEDARI PIGA KAZI TENA.
Ndimi Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
Na Comrade Ally Maftah
Mimi ni shabiki mkubwa wa aina za siasa anazofanya Paul Makonda, naweza kusema ndio mwanasiasa kinara kati ya miongo miwili yenye mabadiliko makubwa ya mitindo ya siasa, ukuaji wa uchumi na maendeleo ya teknolojia.
Uwezo wa makonda kwenye kupangilia mambo yaendane na mandhari ya siasa inamfanya kuendelea kuwa kiongozi na mwanasiasa bora kuwahi kutokea.
Kuna minongono mingi kuhusu Paul Makonda kupelekwa Arusha ila mimi nasema Jemedali yupo kazini na Dr Samia yupo imara sana kupanga safu yake kuingia kwenye chaguzi mbili zilizopo mbele yetu, uchàguzi wa serikali za mitaa 2024, na uchaguzi mkuu 2025.
SISI WANA CCM VINDAKINDAKI TUNAUONA USHINDI WA HESHIMA KWA DR SAMIA UKIOGELEA KWENYE CHAMA CHETU CHENYE HAZINA KUBWA YA VIONGOZI WENYE VIPAJI LUKUKI,
TUNA IMANI NA DR SAMIA
PAUL MAKONDA JEMEDARI PIGA KAZI TENA.
Ndimi Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam