Sawa MUDA UTASEMAhuyu kijana inawezekana akafika mbali hata akawa rais au waziri wa tanzania hapo badae, hana skendo chefu za kifisadi
Kwa hiyo RC DSM aliwahi kuwa CCJ?Acheni mzaha na taifa hili.
Lini Makonda aliwahi kupigiwa kura na wananchi akashinda?
Kweli uko serious unataka Makonda awe Rais wako?
Hivi vyeo vya kupewa kama fadhila baada ya kulamba viatu vya wanasiasa fulani na kufanikisha malengo yao visiwafanye mvimbe vichwa!
huyu kijana inawezekana akafika mbali hata akawa rais au waziri wa tanzania hapo badae, hana skendo chefu za kifisadi
Cheti! Kipi??? Cha form four hahahahahahahaaaaa!!! hv huyo jamaa hajamalizaga tu MUCCOBS, du!!! alianzia ngazi chini ya cheti au........... kazi kweli kweliiiiiiiiiiiii....
Rest in Peace WILSONPaul Makonda ambeye ni waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi wa MUCCOBS amewaragaraza marais zaidi ya sita kutoka katika vyuo vya elimu ya juu hapa Tanzania katika kinyang'anyiro cha kugombea uraisi wa TAHLISO. Paulo Makonda ambaye pia ni kada maakini wa CCM ameudhibitishia umma kwamba yeye ni kiongozi anayekubalikana ana mvuto kwa watanzania ndani ya ulingo wa siasa na nje pia. Nani kama MAKONDA???
Leo unatuambia nin?huyu kijana inawezekana akafika mbali hata akawa rais au waziri wa tanzania hapo badae, hana skendo chefu za kifisadi
Leo unatuambia nin?
Pumbaaaavhuyu kijana inawezekana akafika mbali hata akawa rais au waziri wa tanzania hapo badae, hana skendo chefu za kifisadi
UwiiiiiiHuyu makonda ni mwanafunzi wa kudumu hapo Muccobs?! Mbona hamalizi?! Kilaza wa kudisco hata hiyo Tahliso pia ndio itazidi kushuka.
mmmmmmhhhhhh
mimi nilimkuta na nimemuacha hapo..... ni kiaz tuuuuuuuuu
mara ana-disco kisha anaanza upya!!!!!!!! mjingaaaaaaaaaa wa kutumia masaburiiiiii
TAHILISO, namshukuru Mungu sina connection tena na hii taasisi, i graduate a year back,
PAUL MAKONDA mwanzilishi wa CCJ leo amehamia tahiliso, duhhhhhhh yaan huyu jamaa ni kilaza cjapata ona halafu lazma ana watu wanamback coz hapo MUCCoBS jamaa kashadisco saaaaaaaaana tu halafu still anasoma I DON GET THE POINT HERE, kuna ile sheria ya kwamba mtu aki disco anatakiwa ake/ ajiulize for atleast muda kidogo mdo aapply tena chuo,
MASKINI TANZANIA NA CCM YENU, MWISHO WA YOTE HUYU JAMAA ANAKUJA KUA KIONGOZI WA SERIKALI SA TUTAKUA NA NCHI AU KICHAKA CHA VILAZA HAPA.
am out
Huyu makonda ni mwanafunzi wa kudumu hapo Muccobs?! Mbona hamalizi?! Kilaza wa kudisco hata hiyo Tahliso pia ndio itazidi kushuka.
bado unamkubari mpaka Leo 2017?Namkubali sana paul makonda only alivyomchana aka alivyompa makavu live Rostam Aziz
Haaaa Unafukua Unafukua tu,Kwa sasa simkubali baada ya kugundua behind the scene ya sinema zake.bado unamkubari mpaka Leo 2017?
Japo comment ni ya muda mrefu lkn mkuu uliona mbali kimtazamoTAHILISO, namshukuru Mungu sina connection tena na hii taasisi, i graduate a year back,
PAUL MAKONDA mwanzilishi wa CCJ leo amehamia tahiliso, duhhhhhhh yaan huyu jamaa ni kilaza cjapata ona halafu lazma ana watu wanamback coz hapo MUCCoBS jamaa kashadisco saaaaaaaaana tu halafu still anasoma I DON GET THE POINT HERE, kuna ile sheria ya kwamba mtu aki disco anatakiwa ake/ ajiulize for atleast muda kidogo mdo aapply tena chuo,
MASKINI TANZANIA NA CCM YENU, MWISHO WA YOTE HUYU JAMAA ANAKUJA KUA KIONGOZI WA SERIKALI SA TUTAKUA NA NCHI AU KICHAKA CHA VILAZA HAPA.
am out