Paul Makonda kidedea TAHLISO awabwaga marais UDSM, UDOM.....

Kwa hiyo RC DSM aliwahi kuwa CCJ?
 
Rest in Peace WILSON
 
Kumbe huyu jamaa siyo wa kumbeza. Kama alishinda kwenye siasa za vyuo vikuu, basi atakuwa na hidden power in leadership in which can not be underestimated. Siasa za vyuoni huwa ni complex sana kutokana na uelewa mkubwa wa population yenyewe.
 


Bashiteeeeeeeeee
 
Japo comment ni ya muda mrefu lkn mkuu uliona mbali kimtazamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…