Papa Francis aambiwa asiingilie maamuzi ya Rais Trump kuhusu wahamiaji haramu, ajikite kwenye shughuli za kikanisa

The redemeer

JF-Expert Member
Jan 28, 2025
832
1,423
Baada ya ombi la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kulegeza sera yake dhidi ya wahamiaji haramu kwamba utekelezwaji wake unawakandamiza wahamiaji haramu waliokimbia umasikini na machafuko kwenye mataifa yao, mshauri wa masuala ya uhamiaji wa serikali ya Trump Bw. Tom Homan amemjibu vikali kiongozi huyo wa kanisa na kusema hata kanisa hilo haliruhusu wahamiaji haramu, shirika la habari la Marekani Voice of America limeripoti taarifa hiyo nmekuekea hapo chini kwenye comments



Homan amesema hata Vatican (makao makuu ya kanisa hilo) imejengewa ukuta na ni kosa mtu kuingia ndani ya eneo hilo la kanisa bila kibali na iwapo akiingia na kukamatwa huchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kutishia usalama wa eneo hilo

Homan amemsihi kiongozi huyo wa kidini kujikita kufanya marekebisho ya kikanisa ila suala la uhamiaji haramu Marekani amuachie Trump kwakua ni wajibu wake kama Rais kudhibiti wahamiaji haramu na uhalifu

Trump kaweka vyuma tupu nyuma yake aisee...
 
Baada ya ombi la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kulegeza sera yake dhidi ya wahamiaji haramu kwamba utekelezwaji wake unawakandamiza wahamiaji haramu waliokimbia umasikini na machafuko kwenye mataifa yao, mshauri wa masuala ya uhamiaji wa serikali ya Trump Bw. Tom Homan amemjibu vikali kiongozi huyo wa kanisa na kusema hata kanisa hilo haliruhusu wahamiaji haramu, shirika la habari la Marekani Voice of America limeripoti taarifa hiyo nmekuekea hapo chini kwenye comments

Homan amesema hata Vatican (makao makuu ya kanisa hilo) imejengewa ukuta na ni kosa mtu kuingia ndani ya eneo hilo la kanisa bila kibali na iwapo akiingia na kukamatwa huchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kutishia usalama wa eneo hilo

Homan amemsihi kiongozi huyo wa kidini kujikita kufanya marekebisho ya kikanisa ila suala la uhamiaji haramu Marekani amuachie Trump kwakua ni wajibu wake kama Rais kudhibiti wahamiaji haramu na uhalifu

Trump kaweka vyuma tupu nyuma yake aisee...
Hakuna nchi yoyote ile hapa duniani ambayo inawakubali Wahamiaji haramu.
Watu wafuate Sheria Kama wanataka kuhamia katika nchi nyingine.
 
Wapigania uhuru walipotosha waafrika wapigania uhuru Leo baada ya uhuru waafrika wanalilia kuzamia ulaya na USA.
Kumbe wapigania uhuru walipigania maslai yao binafsi
 
Daah Afrika ndio tuna bahati mbaya huwa hatupati Marais kama hawa.
JPM alikuwa zaidi ya Trump
Usikasirike, ni kwa viwango vyetu huku kanda ya ziwa!

Naona na JD Vance (Makamu WA Rais wa USA) anakuja kwa kasi.

"The threat that I worry the most about vis-à-vis Europe is not Russia, it’s not China, it’s not any other external actor. What I worry about is the threat from within: the retreat of Europe from some of its most fundamental values." By JD Vance
Hapa akiwapa makavu wapendwa vita wa Ulaya!
 
Aisee hii iko poa Papa aanze yeye kutoa ukuta kwake ndipo anzungumze kuhusu uhamiaji haramu
 
Baada ya ombi la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kulegeza sera yake dhidi ya wahamiaji haramu kwamba utekelezwaji wake unawakandamiza wahamiaji haramu waliokimbia umasikini na machafuko kwenye mataifa yao, mshauri wa masuala ya uhamiaji wa serikali ya Trump Bw. Tom Homan amemjibu vikali kiongozi huyo wa kanisa na kusema hata kanisa hilo haliruhusu wahamiaji haramu, shirika la habari la Marekani Voice of America limeripoti taarifa hiyo nmekuekea hapo chini kwenye comments

View attachment 3237632

Homan amesema hata Vatican (makao makuu ya kanisa hilo) imejengewa ukuta na ni kosa mtu kuingia ndani ya eneo hilo la kanisa bila kibali na iwapo akiingia na kukamatwa huchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kutishia usalama wa eneo hilo

Homan amemsihi kiongozi huyo wa kidini kujikita kufanya marekebisho ya kikanisa ila suala la uhamiaji haramu Marekani amuachie Trump kwakua ni wajibu wake kama Rais kudhibiti wahamiaji haramu na uhalifu

Trump kaweka vyuma tupu nyuma yake aisee...
Trump na serikali yake safari hii wameamua
 
Papa nilishamdharau kitambo sana alipoanza kumkumbatia iblis yaani waarabu wa Israel haswa Hamas.. alikuwa zaidi ya mwehu kimba kabisa... eti ile sio vita ni mauaji.. sasa hivi linaumwa huku limevaa kofia ya Dagon Fish Goddess miungu ya pagani

1739906750645.png
1739906703405.png
 
Back
Top Bottom