Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,075
- 4,596
Hawa vijana wahalifu waliokuwa wanafanya uhalifu Kinshasa na miji mwingine ya DRC wamenyongwa hadharani: kunyongwa maana yake kuning'inizwa kwa kwamba.
Well,ndio habari yenyewe. Walikuwa wanafanya uhalifu kwa kutumia visu,mapanga,bisbis.
Of course kule DRC hawaitwi "Panya Road"
Kule wanaitwa "Kuluna".
Wamenyongwa na sasa Watetezi wa Haki za Binadamu,I understand,are working overtime,kusema kwamba wanasikitika hawa vijana wapole wameuawa.
Well,ndio habari yenyewe. Walikuwa wanafanya uhalifu kwa kutumia visu,mapanga,bisbis.
Of course kule DRC hawaitwi "Panya Road"
Kule wanaitwa "Kuluna".
Wamenyongwa na sasa Watetezi wa Haki za Binadamu,I understand,are working overtime,kusema kwamba wanasikitika hawa vijana wapole wameuawa.